HAKUNA ANAYE PINGA KATIBA MPYA, ISIPOKUWA KWANZA WANAODAI KATIBA MPYA NI WANAHARAKATI WENYE VYAMA VYAO NA MATAKWA YA VYAMA VYAO. KWAHIYO MPAKA SASA WANASIASA KUDAI KATIBA NIKUTAFUTA KATIBA ITAKAYOJAA MLENGO NA MATAKWA YA WANASIASA KWA MASILAHI YA VYAMA VYAO. OMBILANGU NI KWAMBA, WANASIASA WOTE WA VYAMA VYA SIASA WAKAE PEMBENI KABISA KWAKUWA TAYALI WAMESHA NAJISI ZOEZI ZIMA. KWA HALI ILIVYO MPAKA SASA IKITOKEA MCHAKATO UKAWA RASMI KATIBA HAITATOKA TENA ZAIDI KAMA HATUTAKUWA MAKINI TUTAISHIA KWENYE MACHFUKO MAKUBWA. WANASIASA WA VYAMA VINGI HAWAWEZI LETA KATIBA KWAKUWA WANAMLENGO TOFAUTI.
Sio kweli kuwa wanaodai katiba mpya ni wanaharakati tu, kwani sioni kama nao ni wanufaika wakubwa, bali ni mwananchi wa kawaida kabisa!!na wanachi mbona walishatoa maoni yao kupitia tume ya warioba?ili kilichotokea kila mtu anajua nani ni mchawi (CCM), chama tawala ndio kizingiti kikubwa , kwani hawako tayari kuona madaraka ya RAIS, yanapunguzwa!!na kuwe na tume huru ya uchaguzi, matokeo ya rais yahojiwe mahakamani, teuzi za upendeleo zisiwepo, mbunge aweze kuwajibishwa na wapiga kura wake?!!kweli kwa haya machache tu ccm watakuwa tayari kuyaona yanafanyika?
Hivi leo tuseme ile katiba ya warioba ipitishwe kama ilivyo nani atakuwa mhanga mkubwa??kweli kuna mwananchi ambaye hataki kuona hayo?mtu unawekwa mahabusu miaka, huku DPP, anasema kirahisi tu ushahidi bado haujakamilika!!Kwa Afrika kumwambia kiongozi aliyeko madarakani akubali katiba kutoka kwa wananchi anaona ni sawa na kumshika MAKALIO!!
Hata hao upinzani wakiingia madarakani hiyo katiba wanayoipigania wataona tena ni kero kwao, hao ndio wanasiasa, lakini kama taifa likiamua katiba haitaweza kuchezewa chezewa tu.
 
HUYO MBOWE NIKADA MTIIFU WA CHAMA CHAKE. TENA NIKOSA KUBWA MTU KAMA MBOWE MWENYEKITI WA CHADEMA KUZUNGUMZIA KITU KAMA KATIBA, KUMBUKA KATIBA NI MALI YA WATANZANIA WOTE. HIVYO MBOWE HATAKIWI KUANZISHA SUALA LINALOHUSU KATIBA YA NCHI. MBOWE ANAHAKI YA KUTAFUTA KATIBA YA CHADEMA AMBAYO YEYE NI KIONGOZI WAKE. MWANASIASA YOYOTE AKAE PEMBENI HATAKIWI KUINGILIA KATIBA. KAMA WANASIASA HAWA WATAINGILIA ZOEZI TUJIANDAE KUPOKEA KATIBA MBOVU ZAIDI. KIPINDI CHA AKINA WALIOBA HAWAKUWA NA MSUKUMO WOWOTE WA CHAMA CHOCHOTE NDIO MAANA IKAPATIKANA RASIMU SAFI. HIVYO VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WASITUCHAFULIE MCHAKATO WA KATIBA AMBAYO NI MALI YA NCHI.
Nashangaa kuona mnazjibu hoja kwa kutaja uvyama!!huu ni ubaguzi wa wazwaz!! Kwani wakat katiba hii ilyopo inatengenezwa wewe ulikuepo?je waliotengeneza hawakua ni wanachama wa CCM? Katiba sio jambo la uvyama ni jambo la Mstakabali wa nchi Basi!!
 
HAKUNA ANAYE PINGA KATIBA MPYA, ISIPOKUWA KWANZA WANAODAI KATIBA MPYA NI WANAHARAKATI WENYE VYAMA VYAO NA MATAKWA YA VYAMA VYAO. KWAHIYO MPAKA SASA WANASIASA KUDAI KATIBA NIKUTAFUTA KATIBA ITAKAYOJAA MLENGO NA MATAKWA YA WANASIASA KWA MASILAHI YA VYAMA VYAO. OMBILANGU NI KWAMBA, WANASIASA WOTE WA VYAMA VYA SIASA WAKAE PEMBENI KABISA KWAKUWA TAYALI WAMESHA NAJISI ZOEZI ZIMA. KWA HALI ILIVYO MPAKA SASA IKITOKEA MCHAKATO UKAWA RASMI KATIBA HAITATOKA TENA ZAIDI KAMA HATUTAKUWA MAKINI TUTAISHIA KWENYE MACHFUKO MAKUBWA. WANASIASA WA VYAMA VINGI HAWAWEZI LETA KATIBA KWAKUWA WANAMLENGO TOFAUTI.
Si kweli kwa sababu tayari kuna maoni ya wananchi wa Tanzania nzima yaliyokusanywa na Tume ya Jaji Warioba. Hayo ndiyo tunayodai yatekelezwe!
 
W
Si kweli kwa sababu tayari kuna maoni ya wananchi wa Tanzania nzima yaliyokusanywa na Tume ya Jaji Warioba. Hayo ndiyo tunayodai yatekelezwe!
YATATEKEREZWA NA AKINA NANI?? KUMBUKA MWAKA 2014 TULIKAA PALE DODOMA KILICHOTOKEA NIMVUTANO ULIOJAA MASILAHI YA KIVYAMA MPAKA MWISHOWE IKAWA MACHAFUKO, WATU WAKAPIGA FEDHA ZA WALIPA KODI NA WALA KATIBA HAIJAPATIKANA HADI LEO. MAONI YANGU NIKWAMBA HAWA WANASIASA AU WANAHARAKATI WENYE MISIMAMO YA KIVYAMA VYAO WASIHUSIKE KABISA KWENYE MCHAKATO WA KATIBA KWANI WATAISHIA KUVUTANA TUU KAMA KIPINDI KILE. WANAOTAKIWA KUSHIRIKI MCHAKATO WA KATIBA WATAFUTWE WANAHARAKATI HURU KABISAA, HAO NDIO WATAKAO SIMAMA NA WATANZANIA KUTULETEA KATIBA MPYA. HATA LEO IKATOKEA TURUDI KWENYE ULEMCHAKATO WA KUJADILI RASIMU YA WALIOBA LAZIMA TUTAPIGANA TUUU KWAKUWA KILA MUMOJA ATATAKALAZIMA KUWEKA VIFUNGU VYENYE MASILAHI YA CHAMA CHAKE.
 
Nadhani Taifa lolote linapaswa kuwa na vipaumbe vyake je watanzania wengi leo kipaumbele Chao NI katiba ,? Maana tuache kuchezeshwa kwata na maslahi ya watu wachache wenye urohowao ili tutoke hapa tunahitaji Nini zaidi
Tunahitaji katiba mpya na tume huru ya uchaguzi
 
Waliotoa ni wananchi ila wanaoleta sekeseke niwanaufipa. Kwa maaana hiyo mchakato huuu ni batiri kwakuwa katiba itajaaa matakwa ya uchadema ambapo nihatari saaanaaa.
Kwa fillies zako unadhani wajumbe wa kuandika katiba watakuwa viongozi wa Chadema? Mbona mnafikiri kinyume nyume au tunajadili na underage.
 
Naomba wanasiasa msithubutu kuzungumzia katiba ya wanainchi, nyinyi hangaikieni katiba ya chadema hapo sawaa. Katiba ya wanainchi italetwa na watanzania wasio na mihemko ya uchamaa.
 
Hakuna mananchi anaeimba katiba mpya kama sio vyama vya upinzani kwa uroho wao na uchu wamadaraka yakudhani kwamba katiba mpya itawasaidia kuondoa ccm madarakani. Kwa ujinga huu katiba haiwezi kupatikan, na hataikipatikana itakuwa katiba ya hovyo saaana kwa kuwa itajaaa masilahi ya uvyama na si matakwa ya wananchiii.
Una uhakika kua hakuna mwananchi anaehitaji?
 
Nadhani Taifa lolote linapaswa kuwa na vipaumbe vyake je watanzania wengi leo kipaumbele Chao NI katiba ,? Maana tuache kuchezeshwa kwata na maslahi ya watu wachache wenye urohowao ili tutoke hapa tunahitaji Nini zaidi
Hiki hakitakiwi kuwa kipaumbele. Bila katiba hata nchi haitakiwi kutambulika. Imagine leo unapigwa ngumi na askari bila kosa lolote na hakuna mahakama, wala sheria, wala katiba. Utaweza ishi kweli
 
Salute mkuu.
Katiba nzuri haitatokana na matakwa ya kisiasa.
Ingekuwa siasa ina tija kwenye Katiba basi mwaka 2014 tungepata Katiba, maana vyama vya siasa vilishirikishwa kiasi cha kutosha.
Siasa ndo kila kitu ndo maisha mwl Nyerere aliwahi kusema ya kwamba ile taifa liendelee linahitaji ardhi , watu na siasa safi
 
26 May 2021
Nairobi, Kenya

MAHOJIANO EXCLUSIVE NA MWANASIASA FREEMAN MBOWE TOKA TANZANIA



Maureen Medza akimkaribisha ktk mahojiano exclusive yaliyofanyika kupitia chombo cha media ya Mwanzo TV nchini Kenya akiongea na Freeman Mbowe .​


Anazungumzia hali ya kisiasa iliyopo nchini Tanzania baada Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kuchukua hatamu za kiuongozi toka kwa Hayati rais John Pombe Joseph Magufuli .

Mwenyekiti Freeman Aikaeli Mbowe afafanua kuhusu Haki, Uhuru na Maendeleo ya Watu pamoja na demokrasia ni miongoni mwa mambo mengi chombo hiki cha habari cha Kenya kilitaka ufafanuzi.

Freeman Mbowe agusia sera za biashara na kiuchumi ikiwemo kurejesha urali (balance of trade) baina ya Intercontinental trade ya nchi za Africa na dunia ni kubwa kuliko baina ya nchi za kiafrica .

Freeman Mbowe anataka kuona maroli yanayokwenda baina ya nchi za kiafrica yawe mengi kama yale yaendayo bandari za Mombasa au Dar es Salaam kupeleka biashara Ulaya na Asia .

Tanzania inapaswa kujiondoa ktk sera ya utengefu kikanda pia kimataifa na kuja na uwazi kwa kujongea kurejesha mahusiano mazuri ya kimataifa na diplomasia ya kiuchumi .

Chanzo: mwanzo tv

N.B
This is utter nonsense. Mr Mbowe ni mmoja wa viongozi 3 Afrika Mashariki maarufu: YEYE, KAGAME, na Mu7. Hawai wanaitwa Octenoragians, yaani watawala wakongwe. Wengine ni Kenya, wanaongozwa na ufisadi na ukabila, in that order. Ebu sikiliza hii, msikie Mhe arap Ruto na Raila:



Hawa ndiyo wanahitaji Katiba, sisi nduhu, haie, oode, mma, no no no!
 
Back
Top Bottom