Kiongozi mkuu2020
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 1,748
- 997
Hakuna mananchi anaeimba katiba mpya kama sio vyama vya upinzani kwa uroho wao na uchu wamadaraka yakudhani kwamba katiba mpya itawasaidia kuondoa ccm madarakani. Kwa ujinga huu katiba haiwezi kupatikan, na hataikipatikana itakuwa katiba ya hovyo saaana kwa kuwa itajaaa masilahi ya uvyama na si matakwa ya wananchiii.Umefanya utafiti kwa wananchi