Freeman Mbowe, Sugu, Msigwa na Lema

Freeman Mbowe, Sugu, Msigwa na Lema

Status
Not open for further replies.
Kwa hali hii nchi haiwezi kupata maendeleo wala demokrasia haiwezi kukua. Tutaongozwaje na darasa la saba karne hii?
 
Pamoja na kusema elimu yao ni ndogo lakini wanawasumbuaje? Sisani kipaji ndg yangu..Siyo bla bla za kijinga...hata hao waliowachagua wengine ni maprofesa na ma doctor..
 
Shoza, leo umeibukia kwenye CV's? huku sasa ndiyo kuhangaika kama kimtetea kinachotaka kutaga yai la kwanza!!

Mkuu kumbe huyu ndo yule Kahaba wa Siasa? Hii nchi tuko Bise na CV Wakati sasa hivi Wakenya na watu wengine wakiwemo Waganda wamejaa Bongo kufanya kazi, Tuko bise na kuzania elimu ndo kila kitu ni ujinga mtupu,
 
Njoo na hoja sio vitu vya kucopy na kupaste! sasa unataka tujadili pumba? wahi lumumba ukachukue chako
 
Nasikia JK na kundi lake kule baraza lake la mawaziri kuna watu na lundo la vyeti vya ukweli nauongo pia bado alishindwa kuwasiliana siku ya Obama mbele ya watanzania wote na Ncho bado inaenda mrama .CV means what sasa
 
Katika katiba mpya kuwe na kiwango maalum cha mtu kuingia katika siasa hasa kugombea ubunge na udiwani
 
Ila Ngoma Yao unaiona uongozi haijalishi shule. Ni kipaji. Akili yako imeruka si mchezo io tindikali aliyokumwagia mumeo Mwigulu
 
JamiiForums siku hizi imeingiliwa!!
Hawa joiners wa mwaka huu wote inabidi wapewe orientation kidogo. Wawe wanasearch kwanza mada kama ilishawahi kujadiliwa hapa kabla ya kuja nayo tena. Hizi CV za hawa watu tumeshaziscuss kwa zaid ya miaka 3. Kila mtu anafahamu hawana shule na sidhani kama kuna jipya tena . Mods, muwe mnafanya kazi yenu ya kuziunganisha bana!!
Mkuu umeshasema joiners, km ww ni mkongwe na mlishayajadili haya inabidi new members nao wapate fursa ya kuwajadili viongozi wao ambao hawana elimu, kiongozi ni kiigwa cha jamii
 
Kama ndizo CV zao, inabidi turudi nyuma tutafakari upya vyeti vya watu na tusibakie kuona CV. Ni heri kuwa na form iv aliyesoma na kuelewa vizuri alichofundishwa kuliko kuwa na form iv aliyeshindwa akatumia udanganyifu mpaka Phd ya kuchonga. Kama mleta mada na wachangiaji ni wasomi wa Tanzania wanajua ninachomaanisha. Chukua vijana walisoma vizuri wa form iv na graduate baadhi ambao wamechonga vyeti wafungia chumbani wasimamie waandike hata barua ya maombi ya kazi ndipo utapata jibu.

 
Hivi hujui mwenye PHD hajui kama wewe kwa nini ni masikini.
Phd anaamini kuwa na foleni kali ni kigezo cha maendeleo.
Phd anaamini wanafunzi kupata mimba ni viherehere vyao.
Lakini darasa la saba anajua wewe kwa nini ni masikini na anataka kukupunguzia mzigo wa huo umasikini wako.
Darasa la saba anatafuta mbinu za kufanya wanafunzi wasipate mimba mashureni.
Darasa la saba anatafuta mbinu za kukuwezesha usikae kwenye foleni masaa matatu ubungo posta au gongo la mboto tazara.

TAFAKARI MKUU USISUBIRI MUWEKEZAJIA AJE KWENYE UBONGO WAKO.
 
Weka ya baba ako kwanza


tanzania ndo nch pekee ambayo
2naongozw na m2 aliyekatw kichwa na
kuwekea boga ndo maana maendeleo
hamna@ nchi inatisha
 
Pamoja na kusema elimu yao ni ndogo lakini wanawasumbuaje? Sisani kipaji ndg yangu..Siyo bla bla za kijinga...hata hao waliowachagua wengine ni maprofesa na ma doctor..
 
Chadema hakuna mbunge mwenye elimu ya darasa la saba..lakini ccm wapo..
Said kess
Jairo
Moshi kakoso
profesa maji marefu
Liviston Lusinde...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom