Mkuu Mwita Maranya mimi ninachojua bungeni, M23, Tume ya Katiba, Simiyu yetu, njiwa na baba yako ni six in one mkuu. Huyu ndugu amejiongezea wigo tu wa kupata buku 7 kwa siku
hatutaki kujua nani amelifanyia nn taifa kwanza tunataka kujua unawadhifa ok je cv yako inatuhusu kuwa nabuwo wadhifa au unagombea kitu flani je unasifa? Acha kuongea kama umeshakunywa huo mvinyo wako hapoNaomba ulete cv ya Chenge halafu uniambie kalifanyia ni i Taifa .
zimetusaidia kujenga miundombinu na mtandao wa barabara za lami nchi nzima, shule za sekondari kila kata, vyuo vikuu kila mkoa, hospitali za rufaa kila mkoa na za kawaida kila kijiji na kazi inaendelea kutuletea katiba mpya, demokrasia ya kweli nk
Nyimbo za Ugaidi,Ukabila ,Udini na ukanda zimechuja sasa unakuja kwenye cv, uongozi siyo cv ni kipaji kutoka kwa mungu,ni madudu mangapi yanafanywa na watu wanao jiita wana Phd, mirambo alikuwa na cv ipi mbona ni shujaa na atakumbukwa na vizazi vyote.Hebu tupatie cv yako
Mvumbuzi, kuhusu talent wapo fit sana mbowe dj, msigwa mchungaji, sugu mwanamuziki, duh leme sijui talent yake ila inhusu mitutu! issue ni shuuuuuleee! waende shule bhana!Leo ni CHADEMA day kumbe!!! kwani Magamba wamevamia jamvi asubuhi na mapema. Hoja za CV zimeshapitwa na wakati tunachopima ni pale mpira upo katikati ni CV itacheza au talent?
Kama akili yako inafikiri na kufanya research vizuri utagundua talent haipimwi na CV.. Hata kama Mbowe, Msigwa, sugu, Lema,Mnyika, nk wangekuwa na CV nzuri halafu kwenye uwanja wa siasa wakawa bogus hizo CV zingekuwa na maana gani?
Leo ni CHADEMA day kumbe!!! kwani Magamba wamevamia jamvi asubuhi na mapema. Hoja za CV zimeshapitwa na wakati tunachopima ni pale mpira upo katikati ni CV itacheza au talent?
Kama akili yako inafikiri na kufanya research vizuri utagundua talent haipimwi na CV.. Hata kama Mbowe, Msigwa, sugu, Lema,Mnyika, nk wangekuwa na CV nzuri halafu kwenye uwanja wa siasa wakawa bogus hizo CV zingekuwa na maana gani?
Nyimbo za Ugaidi,Ukabila
,Udini na ukanda zimechuja sasa unakuja kwenye cv, uongozi siyo cv ni
kipaji kutoka kwa mungu,ni madudu mangapi yanafanywa na watu wanao jiita
wana Phd, mirambo alikuwa na cv ipi mbona ni shujaa na atakumbukwa na
vizazi vyote.Hebu tupatie cv yako