Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,731
- 218,309
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba , Kile Chama cha siasa kinachoungwa mkono na Wananchi wengi zaidi kuliko chama chochote Nchini Tanzania , kitaongea na Waandishi wa Habari wa ndani na nje ya Nchi kwenye ofisi ndogo za Makao Makuu , Ufipa Street , Kinondoni.
Kaa tayari kupokea mbinu mpya za kupambana ba Majangili wa Haki za Uchaguzi Nchini Tanzania
Usiondoke JF , kwa sababu yako mengi sana mazuri yanakuja
Kaa tayari kupokea mbinu mpya za kupambana ba Majangili wa Haki za Uchaguzi Nchini Tanzania
Usiondoke JF , kwa sababu yako mengi sana mazuri yanakuja