- Kwanza niliwaamsha wananchi hapa na nyumba ya Sugu mkahamisha ile topic, sasa tizama yaliyowakuta aibu ya mwaka sasa njooni mhamishe na kwenye media ya bongo maana huwa ni mab ingwa wa kuhamisha na kuficha, aibu Mwalimu alisema mficha maradhi, ugonjwa au kifo vitamuumbua wakombozi wa wananchi mnawaandamanisha wananchi wanapigwa mabomu ya machozi na wengine mapaka kufa kumbe mna majumba ya kujipumzisha huko Dubai? aibu!!
- Mlisema MWalimu angekuwepo hili neno mnasema kila siku sasa tuwaulize Mwalimu alikuwa na nyumba ngapi nje? Ndio maana kila siku ninawatwanga maana ni wanafiki sana, mara mseme CUF ni mashoga halafu mnajiunga nao hao hao mashoga nyinyi ni watu hatari sana kwa taifa, eti wakombozi wa ulisikia wapi kwamba MAdela ana nyumba nje? aibuu sana!!
LE Mutuz