Freeman Mbowe anamiliki jumba la kifahari Dubai!

Freeman Mbowe anamiliki jumba la kifahari Dubai!

hilo jumba limesababisha ata ndoa yao kuingia doa kwa kumpeleka mbunge wa viti maalum chadema kutoka Arusha kwenda kujifungua Dubei. ila ni be mdogo wa Mbowe. hawa jamaa ni wafuska sana.

Mkuu usishangae ndo mtei enterprse hiyo..maisha ni ujanja mkuu.
 
tutayasikia mengi mwaka huu, bado huyu babu anaeenda na vimada honeymoon.
 
Kama nimejidhalilisha sana kwa Typing Error sijui yule aliyeamrisha Wezi wa EPA warudishe fedha walizoiba atakua amefanyaje?Yule aliyesimamia mchakato wa Kifisadi wa RICHMOND atakua amefanyaje?Yule aliyeshiriki kuanzisha CCJ atakua amefanyaje?Yule aliyeshinikiza kufungua kesi za Ugaidi dhidi ya CHADEMA atakua amefanyaje?Aliyesema safari hii ni zamu ya Mwanamke kuwa Spika wa Bunge atakua makini kiasi gani?Aliyesema Polisi wapige Raia je?Aliyesema wanaoua albino nao wauawe je?Aliyesema Majangili wauawe je?Aliyesema hajui kwanini Tanzania ni Maskini tena msomi wa Taaluma ya Uchumi ni makini kiasi gani?Nadhani aliyesema wanafunzi wanaopata mimba ni kiherehere chao huku akiwa kama mzazi na kiongozi wa nchi alijiheshimu sana.Loh!

Kumbe ndo upeo wako wa kufikiri ulivyo!?
 
ina maana mbowe hana ndugu kama mnavyodai kuwa mali ni za kurithi!? Huyu ni fisadi kama walivyo nafisadi wengine..shame on him.
anaye nduguyake wa kiume ni msaidizi wa mrs Mbowe ili kala sana unga ukimwona utafikili shoga.
 
Muda si mwingi jamaa watakuja na singo juu ya pesa za Ndesapesa. Pesa ya Mbowe ipo wazi sana. Jamaa kazaliwa pesa kazikuta.

Kwani kazaliwa peke yake ? Ina maana hana ndugu? Mbna hao nduguze sio matajiri kama yeye?
 
we ndo umeandika point? ndo maana jana mlianzisha mada ili kumtetea mhalifu. mwenzenu anapiga mpunga wa maana nyie mnabaki kung'arisha viatu vyake

Kama mnavyofanya ninyi kumpigia debe jk kwa kulipwa 7500!??
 
Niliipenda CHADEMA ya kipindi cha akina Chacha Wangwe lakini hii ya kikanda zaidi sina imani nayo maana iko kijasiliamali zaidi.

Kama Mbowe, ananunua nyumba Dubai halafu anaandamanisha watanzania ili kikinuka yeye fasta Dubai.[/QUOTE]

Childish thinking!!
Watu wengine wanaishi kwasababu tu ni kosa la jinai kuwakata vichwa.
 
Mabepari wanataka kuongoza nchi hii, tutabaki salama kweli?
Kesho akiingia ikulu na kuchota mahela mtasema kazaliwa kazikuta.......zakurithi

Kwani mabepari hawaruhusiwi kuongoza nchi hii!?? au unamaanisha nini mkuu..
 
mwakani?hamuwezi kutegemea kuichafua chadema na kujifanya mna uchungu na chama.kama huna viererezo kwa haya kaeni kimya

Kumbe hadi wewe mbulula umesoma hujaelimika kiswahili lugha yako lakin hukijui unachafua "viererezo" ndio nn? Sema "vielelezo" na kama wewe una ushahidi utoe basi sio kupinga tu bila kutoa sababu
 
-Mbowe ni Mfanyabiashara anayelipa kodi kwa Mujibu wa Sheria

-Kuna kasumba mbaya imeibuka inayojenga Taswira hasi kwa kila mfanyabiashara.Hatuwezi kujenga Taifa kubwa kwa mentality hizi

Sera ya CHADEMA kulingana na Mrengo wetu kiitikadi ni kuwa Mazingira mazuri ya Biashara na mfumo wa soko uendeshe uchumi ambapo individual efforts zinakua rewarded.

Umaskini si jambo la kujivunia.CHADEMA kimeweka msimamo wake very Clear.Kuweka mazingira mazuri ya kibiashara na kukuza uchumi kupitia uboreshaji wa maisha ya mtu mmoja mmoja.Tungefuata sera sahihi za kiuchumi na kibiashara basi nchi hii ingekua na mabilionea wengi zaidi na turnover ya wafanyabiashara tunaowaona leo hii ingekua tofauti na turnover zao kwa sasa.

Leo hii kutokana na kuwa na sera ya 'Kuchanganyikiwa" ya kiuchumi na kijamii hatuwezi hata kuweka estimation ya kuwa tutakua na Mamilionea au mabilionea wangapi in 5-15 years baadae.Tunapiga ramli kama waganga wa Kienyeji badala ya scientific forecasting

Hizi mentality za Kimaskini tunazoona zimejengwa kwa muda mrefu na kupaliliwa na mfumo na zinajenga chuki kwa kila mfanyabiashara lakini cha ajabu wanasiasa wezi wezi na waroho wa mali za Umma wanakua celebrated na kushangiliwa kuwa fulani ni Noma.Tunajenga taifa dogo la ovyo lenye uwezo wa kupiga reverse kimaendeleo tu na sio zaidi ya hapo.

Kuhusu Malicious intent kwa kuandika story zenye malengo mabaya kisiasa ni.jambo la hatari sana

Raia Mwema nimekua nikiliheshimu na hadi sasa nawapa benefit of doubt ili niwe rational.

Ukweli wa jambo lolote ni suala la Muda.Sidhani sasa kama Raia Mwema wamebadili dimension ya Legacy yao waliojenga kwa muda Mrefu kwa kuamua kwenda Gutter na irresponsible Journalism.

Jenerali Ulimwengu ana heshima kubwa nchini kitaaluma na katika weledi.Sidhani kama anaweza kuruhusu mambo haya

Wakati huo huo hatuwezi kupuuza kila lisemwalo maana kuna mambo mengi.Uchaguzi ndani ya CHADEMA unakaribia,Hoja ya Kuficha Mabilioni nje inaweza kuwa diluted kwa mbinu mbalimbali na pia kwa kuwa kuna wanasiasa wanahusika na hoja hii wanaweza kuitumia kisiasa kujinufaisha na kuwalenga maadui zao kwa sababu wanazozijua ambazo no doubt ni za Kisiasa

Najua wanapita wahariri hapa,Sasa sote tujiulize ;

Je,Tunapokubali kutumia vyombo vyetu kwa maslahi ya kisiasa ya watu wachache tunaitendea haki jamii?Je,misingi ya Demokrasia na mhimili wa media tunautendea haki?Tunakuza au tunafifisha tasnia ya Habari?

waambie hawa wanaokaa vijiweni wakitunga propaganda za kuwachafua Hard workers.Watz tufanye kazi tule jasho letu.HAKUNA ANAYEMZUIA MTU KUJENGA POPOTE HATA KAMA NI MWEZINI ILI MRADI AFANYE YOOOOOOOOOOOOOOTE KWA JASHO LAKE.
 
mwakani?hamuwezi kutegemea kuichafua chadema na kujifanya mna uchungu na chama.kama huna viererezo kwa haya kaeni kimya

Kama Mbowe anamiliki mali hizo na bado anakubali kula makande na Chipsi kavu na kulala chini kwenye harakati za M4C bila kujali maslahi yake binafsi na anarisk maisha yake kwa ajili ya sisi walala hoi, mimi niko tayari kufa nae mstari wa Mbele kwenye mapambano, nyie akina TUNTEMEKE mmetufanyia nini watanzania zaidi ya kusambaza umbea dhidi wa watu wengine wanaolitakia mema taifa hili?
 
Last edited by a moderator:
Mungu ni mwema sana na siku hadi siku mambo yaliofichwa mvunguni sasa yanakuwa wazi. Yeyote mwenye kuchukia ufisadi lazima kukemea haya ila kutumia nguvu nyingi kutetea ni wazi wewe huchukii ufisadi bali ni muumini wa ufisadi na kelele zako unazitumia kama mlango wa kutokea.
 
mkuu, ipo siku CHADEMA watakuja kulikana hata gazeti lao Pendwa la Tanzania Daima

Mkuu humu wamechangia watu binafsi. Hakuna tamko lolote la CHADEMA kuhusu habari ya Mbowe kumiliki nyumba dubai. Kwangu mimi sioni tatizo Mtanzania yeyote akiwemo mbowe kumiliki kihalali nyumba au mali nyingine nje ya nchi
 
mzee, unataka ukaguzi upi? wewe na genge lako ndio mkafanye huo ukaguzi mkanushe kwa ushahidi kuwa mbowe sio fisadi ila hadi sasa huna mamlaka ya kupinga wizi uliofanywa na mbowe then akaenda kununua jumba dubai badala ya hata kuwekeza hapa nchini ili angalau basi watz wanufaike na kile alichokiiba kilichotokana na kodi zao...ruzuku!!!
slaa, bora ukae kimya kuliko kutetea ufisadi.pole sana kwa kuumbuka kwenu

una ukiliema wa kufikiri.toa ushahidi wa wizi alofanya Mbowe.usiongee tu kama unahara damu.
 
Back
Top Bottom