Freeman Mbowe anamiliki jumba la kifahari Dubai!

Freeman Mbowe anamiliki jumba la kifahari Dubai!

Unarudia yaleyale hakuna
ambaye hajasema Mbowe sio mfanyibiashara kinachoangaliwa na uhalali wa
upatikanajia wa pesa na kama taratibu za nchi zilikiukwa; pesa nyingi
zinazohifadhiwa Uswisi ni magumashi matupu ndio maana hata wao wenyewe
Uswisi wanazisaidia serikali za Afrika kukamata hizo pesa.

acheni uzandiki nendeni mkamuchunguze,munataka ajichunguze mwenyewe au sisi ndani ya chadema ndio tumuchunguze hawezi kua mtuhumiwa na hakimu at the same time
 
Mkuu.....kirahisi kabisa.
Mbowe ni mfanyabiashara sku nyingi kitambo. Ana kampuni nje ya nchi - Dubai, ana nyumba SA, Uingereza na US.

Tatizo ni kwamba, ana tuhuma za wizi wa mali ya umma? ana mashtaka ya ukwepaji kodi au kavunja sheria ya kodi? yeye au makampuni yake?

Kama hapana, basi tuwe na reserve ya maneno.
Watanzania tumezidi wivu na maneno maneno tu.

ni kweli kabisa, tunataka kulinganisha Mbowe na public servants wanokwiba mno
 
kweli jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza. familia ya Mbowe ni matajiri wa siku nyingi. ndo maana una nyumba sio dubai tu na uingereza, sud afriqeu na marekani
hajaja kunyonya bali kukomboa
 
...Nashangazwa sana na watu waliokwazwa na Mbowe kuwa na utajiri...lakini ikumbukwe kuwa kbla hata ya Freeman,baba yake Mzee Aikael alikuwa tajiri tena mkubwa tu...kuna ubaya gani Mtanzania kuwa tajiri?

Au mlitaka kwa sababu amekuwa mwanasiasa basi mali zake zote azimilikishe kwa chama?

Au awe muongo kama viongozi wa CCM ambao wanamiliki majumba na akaunti za fedha nje kwa majina ya bandia huku wakikaa nanyi huku kwenye umasikini wakijidai kuwa na wao ni kama ninyi?
 
nampongeza Mbowe kwa kuwa na nyumba nzuri, sawa na JK na viongozi wengine... nasikitikia mangula wa watu, kachoka hadi aavaa suti na adidas sijui nae kama ana jumba au ndio anajenga

Huyu alikunywa maji ya bendera ya tz!
 
Chadema wanahangaika na wanahamasisha watu wajitolee halafu pesa ya ruzuku mnakwenda kujengea nyumba na hati ya nyumba unaandika jina la mchumba wako hivi kweli ni akili au matope mwakani mtarudisha nyumba na gari chama anayotumia slaa.
TUNTEMEKE, wajua dhahiri kwamba hata Biblia inasema kumcha Mungu ni mwanzo wa hekima.

Ndugu yangu Maxence husema daima ficha upumbavu wako, onesha hekima zako.

Sasa, kwa heshima na taadhima, ngoja nikujibu ulichoandika hapo maana ni UPUMBAVU uliokithiri.

1. Hivi NANI ambaye anawajua wafanyabiashara hapa Dar (au Tanzania) asiyejua kwamba Freeman Mbowe ni mfanyabiashara makini ambaye alianza ZAMANI kazi zake hizo KABLA ya kuingia CHADEMA? Unadhani hakuwa na malengo? We unakurupuka kwa kusema CHADEMA wanatumia pesa za ruzuku kujijengea majumba ya kifahari, una USHAHIDI GANI?

2. Unaonesha akili zako za matope kwani unasema wanaandikisha majina ya wachuma wao; UMEZIONA?

3. Magari wanayotumia Dr. Slaa na wenzake, UMEONA KADI ZAKE?

Siku hizi kila kitu kiko documented. Kama wataka kujua, si unaenda tu pale Tume ya Maadili? Unalipia ada yao, buku tu, kisha unapewa faili, unasoma, unachukua kalamu na karatasi, unanakili, waondoka zako.

KWA TAARIFA YAKO, NA HILI NI KWA KUWA NINAMFAHAMU VEMA FREEMAN MBOWE, NA SI KWAMBA NAMSEMEA, hizo nyumba alizipata SIKU NYINGI kabla ya kuingia CHADEMA. Hakatazwi, na hakuna sheria inayomkataza Mtanzania kuwa na nyumba nje ya nchi; kama ipo, siijui. SI UTOVU WA MAADILI kufanya hivyo. Utovu huo ni pale unapochukua pesa ambazo SIO ZAKO na kuzifanyia kazi YAKO.

Mapato na matumizi ya Vyama vya Siasa yanakaguliwa. Mbowe hana shida na hizo pesa za ruzuku kama walivyo baadhi ya wanasiasa wa CCM. Hana shida hiyo, hajawahi kuwanayo, hatakuwanayo.

ELEWA FIKA KWENYE HIZO AKILI ZAKO WEWE ZA TOPE!

Usikurupuke kuwahukumu watu bila ya kuwa na ushahidi. Na ninawaambia Moderator na Invisible wakupe warning, ukirudia upuuzi huu UNAPIGWA BAN ya miezi 3, ushike adabu yako!

Mbona Samuel Sitta alitumia fedha NYINGI - Bilioni Moja - kujijengea Ofisi yake pale Tabora Mjini, huku mji ule ukiwa UMEDORORA KUPITA KIASI, na HAMKUSEMA? Watu wana shida Jimboni, yeye ajiwekea ufahari. Hajaitwa na Kamati Kuu ya Maadili ya CCM na HATAITWA!
 
Last edited by a moderator:
nampongeza Mbowe kwa kuwa na nyumba nzuri, sawa na JK na viongozi wengine... nasikitikia mangula wa watu, kachoka hadi aavaa suti na adidas sijui nae kama ana jumba au ndio anajenga

hahaha! Mwanangu mangula ndo kiongoz mwenye moyo wa kitajiri kuliko wote ccm, amejiridhikia na hicho kidogo alichonacho.
 
Chadema wanahangaika na wanahamasisha watu wajitolee halafu pesa ya ruzuku mnakwenda kujengea nyumba na hati ya nyumba unaandika jina la mchumba wako hivi kweli ni akili au matope mwakani mtarudisha nyumba na gari chama anayotumia slaa.

Chumbiwa na wewe uandikiwe hati basi,maana umezidisha wivu wa kike
 
mwizi tu naye. Kumiliki nyumba nchi za watu ni ufisadi

wewe umeishia la 4 b nini? Kumiliki nyumba kihalali nje ya nchi ni ufisadi kivipi? Kutafuta pesa kwa jasho lako na kumiliki mali ni ufisadi? UTAKUFA MASIKINI.
 
Kubwa kinga
Baba yako aliwahi kuwaamhia watu 'go to hell'. Na mimi nakuambia 'go to hell' kama ukishindwa kuthibitisha Mbowe ana majumba lukuki.

sio hivo tuu aliwai kuwaambia wananchi wa mtera "tunzeni pumba njaa inakuja zitawasaidia" akapanda gari na kuondoka.
 
TUNTEMEKE, wajua dhahiri kwamba hata Biblia inasema kumcha Mungu ni mwanzo wa hekima.

Ndugu yangu Maxence husema daima ficha upumbavu wako, onesha hekima zako.

Sasa, kwa heshima na taadhima, ngoja nikujibu ulichoandika hapo maana ni UPUMBAVU uliokithiri.

1. Hivi NANI ambaye anawajua wafanyabiashara hapa Dar (au Tanzania) asiyejua kwamba Freeman Mbowe ni mfanyabiashara makini ambaye alianza ZAMANI kazi zake hizo KABLA ya kuingia CHADEMA? Unadhani hakuwa na malengo? We unakurupuka kwa kusema CHADEMA wanatumia pesa za ruzuku kujijengea majumba ya kifahari, una USHAHIDI GANI?

2. Unaonesha akili zako za matope kwani unasema wanaandikisha majina ya wachuma wao; UMEZIONA?

3. Magari wanayotumia Dr. Slaa na wenzake, UMEONA KADI ZAKE?

Siku hizi kila kitu kiko documented. Kama wataka kujua, si unaenda tu pale Tume ya Maadili? Unalipia ada yao, buku tu, kisha unapewa faili, unasoma, unachukua kalamu na karatasi, unanakili, waondoka zako.

KWA TAARIFA YAKO, NA HILI NI KWA KUWA NINAMFAHAMU VEMA FREEMAN MBOWE, NA SI KWAMBA NAMSEMEA, hizo nyumba alizipata SIKU NYINGI kabla ya kuingia CHADEMA. Hakatazwi, na hakuna sheria inayomkataza Mtanzania kuwa na nyumba nje ya nchi; kama ipo, siijui. SI UTOVU WA MAADILI kufanya hivyo. Utovu huo ni pale unapochukua pesa ambazo SIO ZAKO na kuzifanyia kazi YAKO.

Mapato na matumizi ya Vyama vya Siasa yanakaguliwa. Mbowe hana shida na hizo pesa za ruzuku kama walivyo baadhi ya wanasiasa wa CCM. Hana shida hiyo, hajawahi kuwanayo, hatakuwanayo.

ELEWA FIKA KWENYE HIZO AKILI ZAKO WEWE ZA TOPE!

Usikurupuke kuwahukumu watu bila ya kuwa na ushahidi. Na ninawaambia Moderator na Invisible wakupe warning, ukirudia upuuzi huu UNAPIGWA BAN ya miezi 3, ushike adabu yako!

Mbona Samuel Sitta alitumia fedha NYINGI - Bilioni Moja - kujijengea Ofisi yake pale Tabora Mjini, huku mji ule ukiwa UMEDORORA KUPITA KIASI, na HAMKUSEMA? Watu wana shida Jimboni, yeye ajiwekea ufahari. Hajaitwa na Kamati Kuu ya Maadili ya CCM na HATAITWA!
kwa ufafanuzi huu uliokwenda shule na unaorudisha heshima ya JF, Invisible tunaomba muongozo wako huyu mzushi Tuntemeke au hii taasisi inayotumia Id ya Tuntemeke wanapewa adhabu gani?

Lazima tulinde hedhima ya JF.
 
Last edited by a moderator:
Unachumia tumbo jamii Forum wewe, unaonekana ni kikaragosi cha viongozi wa cdm, jiendeleze, soma shule tafuta kazi ya profesional ulosomea ufanye hapo utaendeleza nchi na sio hivi unavyofanya sasa sio sustainable ni ushauri tu!!!


mwakani?hamuwezi kutegemea kuichafua chadema na kujifanya mna uchungu na chama.kama huna vielelezo kwa haya kaeni kimya
 
Back
Top Bottom