Freeman Mbowe anamiliki jumba la kifahari Dubai!

Freeman Mbowe anamiliki jumba la kifahari Dubai!

Mh. Mbowe atuambie malipo yalifanyika vipi.
 
Kutokana na mjadala ambao tayari umeshawekwa hapa na kujadiliwa kwa siku mbili mfululizo , nimeona kuwa kuna watu wanafanya propaganda badala ya kujaribu kuutafuta ukweli wa jambo lenyewe na kuangalia rationale ya jambo linalojadiliwa .

Mimi niliamua kufanya jambo moja la kujaribu kuangalia nini alichokua amedeclare Mbowe kwenye Tume ya maadili ya viongozi kwa mujibu wa Sheria ya maadili ya viongozi wa umma , nimekuwa mambo yafuatayo na kama yupo ambaye anaweza kunichallenge na aje a seem hapa na sio kuhangaika na Gutter politics ,

Mbowe Freeman , kwenye fomu zake alideclare kuwa anamiliki nyumba kwenye nchi zifuatazo,USA, UK, SOUTH AFRICA , DUBAI NA NAIROBI . Nyumba zote hizo alionesha alizinunua lini na zipo maeneo gani kwenye nchi hizo.

Aidha, kuhusu kumiliki Akounti ya Benki nje ya Nchi alionesha kuwa anamiliki Akaunti iliyopo London Barclays Bank na nyingine iko Hull City, na Benki moja USA .Ila hana Akaunti katika nchi ya Uswisi wala kwenye offshore nyingine zozote zile.

vyote hivyo vipo kwenye fomu ya maadili ya viongozi , pia alionesha kuwa Ana madeni kwenye mabenki mbalimbali ndani nanje ya nchi, na hii ni kwa mujibu wa sheria .

Sasa hapo nimeona nisaidie kutoa ufafanuzi huu, na kama mtu unataka unaweza kwenda pale tume ya maadili ya viongozi wa umma na unalipia kiasi cha shilingi 1,000 tu na unapewa fomu hizo ila huruhusiwi kuondoka nazo wala kupiga picha au kutoa nakala ya fomu (photocopy).

hivyo , jukwaa kuendelea na kujadiliana kuhusu nyumba moja ya DUBAI , ni vyema jukwaa likarudi kwenye heshima yake ya siku za nyuma ya kuwa mbele ya waandishi kwa kwenda hatua moja mbele katika kuutafuta ukweli wenyewe na sio kuendelea kulifanya jukwaa kuwa kama sehemu ya udaku.

Hivyo, basi badala ya kusubiria wakina Ezekiel Kimwaga , kuandika taarifa za upande mmoja wanaotaka wao kuwa ni Mbowe, Rostam Na Ngeleja tu ndio ambao waliombwa kusaidia timu hiyo katika kutafuta ukweli wa fedha za Uswisi, ni kuwa wabunge wote walioongea siku ya mjadala huo walihojiwa akiwemo Zitto Kabwe ambaye alihojiwa kwa saa nane na timu hiyo, pamoja na wabunge wengine wengi na wafanyabiashara wakiwemo mameneja wa Benki mbalimbali na wamiliki wa maduka ya fedha.

Ni Imani yangu kuwa kwa hili nimeweza kulisaidia jukwaa kuwa na mjadala ambao ni focused , na turejee historia yetu ya kubwa mbele ya media nyingine na sio kama ambavyo leo tunakuwa .........
 
WanaJF,
Nilieleza hapa jukwaani kuwa hatuhitaji propaganda. Hatua ya kwanza ni 1) mtupatie taarifa ya ukaguzi mliyofanya kwa Eecretariat ya Maadili ya Umma. Gharama ya ukaguzi haizidi 1,500. lipeni hizo fedha, kagueni file lake, ndiyo muwe na uhalali wa kupiga propaganda hapa. Hili si swala la " nadhani", oh sijui nini. Fsnyeni homework yenu, ndipo watanzania watawaelewa. Vinginevyo, tutawaonya wachochezi, wazushi, watu wadioitakia nchi hii mema, kwa kujaribu kutuondoa kutoka kwa mapambano halisi ya ufisadi na kutuwekea mapambano feki.

2. Wameisha kusema wengi, kuwa na nyumba nje ya nchi, au akaunti siyo kosa, kosa ni ufisadi hasa wa kutumia fedha za umma au kuziiba na au kuhukumu na kuzificha kwenye benki za nje, na hasa Offshore Banks Kama walivyofanya Mafisadi wa ccm kwa fedha za EPA, Tangold, Meremeta ambazo mpaka CCM na Serikali yake wameshindwa kuzitolea Taarifa, siyo humu jamvini, lakini hata Bungeni ambapo Serikali inapaswa kuwajibika. Haya hapa ni propaganda tu, na Kama nilivyosema kwenye post nyingine, hizi propaganda zimefeli hata kabla hazijaanza. Upotoshwaji wowote, ni lazima ujibiwe, tena kwa hoja, na Kama hoja Great Thinkers msiingie kwenye mtego wa kishabiki, jibuni kwa hoja Kama wana nia njema watawaelewa, kama hawataki " hata ukimpigia Gitta Mbuzi haitasaidia".



Tusijazane upumbavu....kuwa Mbowe ni mfanya biashara wa siku nyingi.....blah...blah...blah...

Nani angehangaika naye kama angebaki na hayo mabiashara yake na kukaa mbali na siasa za nchi.

Kwa mtu anayetafuta kuwaongoza wengine maadili ni huja kwanza....Mbowe ni mfanya biashara..na wengi tumejua hivyo tangu siku nyingi....na ndio maana tunaiona hatari ya Chadomo na Mbowe kuhadaa wanainchi na ili kuingia ikulu.

Sifa kubwa ya mfanya biashara ni tamaa iliyotukuka ya kuendelea kutajirika kila kukicha...ni asiye na akili timamu peke yake ndio unaweza kumuaminisha kuwa kuimarika kwa utajiri na biashara zake hakutohusiana/hakuhusiani na uwepo wa saccos...ups...sorry...Chadomo...na baadae nchi (kama mnavyoendelea kuota).

Mfanya biashara wa nyama anatumia mafuta ya kuhifadhia maiti kutunza nyama anayouzia watu.....mvuvi anatumia sumu na mabomu.....muuza maziwa anaweka maji (hata ya mferejini).......muuza duka haishi kuchezea mizani....mama lishe anatumia hamira....yaani alimradi ni majanga.

Kwa kifupi mfanyabiashara ni MALI KWANZA..UTU BAADAE...........mtaandamanishwa kila kukicha..ili hali wenzenu wanajua wanachokifanya.
 
Mabepari wanagombania kuongoza nchi!

Bepari hawezi kumjali kabwela...
 
Good job!!!!!

Hivi ni kweli alilipa cash na ni kinyume na taratibu????!!!!
 
Kutokana na mjadala ambao tayari umeshawekwa hapa na kujadiliwa kwa siku mbili mfululizo , nimeona kuwa kuna watu wanafanya propaganda badala ya kujaribu kuutafuta ukweli wa jambo lenyewe na kuangalia rationale ya jambo linalojadiliwa .

Mimi niliamua kufanya jambo moja la kujaribu kuangalia nini alichokua amedeclare Mbowe kwenye Tume ya maadili ya viongozi kwa mujibu wa Sheria ya maadili ya viongozi wa umma , nimekuwa mambo yafuatayo na kama yupo ambaye anaweza kunichallenge na aje a seem hapa na sio kuhangaika na Gutter politics ,

Mbowe Freeman , kwenye fomu zake alideclare kuwa anamiliki nyumba kwenye nchi zifuatazo,USA, UK, SOUTH AFRICA , DUBAI NA NAIROBI . Nyumba zote hizo alionesha alizinunua lini na zipo maeneo gani kwenye nchi hizo ,

Aidha, kuhusu kumiliki Akounti ya Benki nje ya Nchi alionesha kuwa anamiliki Akaunti iliyopo London Barclays Bank na nyingine iko Hull City, na Benki moja USA .Ila hana Akaunti katika nchi ya Uswisi wala kwenye offshore nyingine zozote zile .

vyote hivyo vipo kwenye fomu ya maadili ya viongozi , pia alionesha kuwa Ana madeni kwenye mabenki mbalimbali ndani nanje ya nchi , na hii ni kwa mujibu wa sheria .

Sasa hapo nimeona nisaidie kutoa ufafanuzi huu, na kama mtu unataka unaweza kwenda pale tume ya maadili ya viongozi wa umma na unalipia kiasi cha shilingi 1,000 tu na unapewa fomu hizo ila huruhusiwi kuondoka nazo wala kupiga picha au kutoa nakala ya fomu (photocopy) .

hivyo , jukwaa kuendelea na kujadiliana kuhusu nyumba moja ya DUBAI , ni vyema jukwaa likarudi kwenye heshima yake ya siku za nyuma ya kuwa mbele ya waandishi kwa kwenda hatua moja mbele katika kuutafuta ukweli wenyewe na sio kuendelea kulifanya jukwaa kuwa kama sehemu ya udaku.

Hivyo, basi badala ya kusubiria wakina Ezekiel Kimwaga , kuandika taarifa za upande mmoja wanaotaka wao kuwa ni Mbowe, Rostam Na Ngeleja tu ndio ambao waliombwa kusaidia timu hiyo katika kutafuta ukweli wa fedha za Uswisi, ni kuwa wabunge wote walioongea siku ya mjadala huo walihojiwa akiwemo Zitto Kabwe ambaye alihojiwa kwa saa nane na timu hiyo, pamoja na wabunge wengine wengi na wafanyabiashara wakiwemo mameneja wa Benki mbalimbali na wamiliki wa maduka ya fedha .

Ni Imani yangu kuwa kwa hili nimeweza kulisaidia jukwaa kuwa na mjadala ambao ni focused , na turejee historia yetu ya kubwa mbele ya media nyingine na sio kama ambavyo leo tunakuwa .........

Mwanzoni nilisema hivi

Hawajiulizi kama Fomu ya Maadili ambayo Mbunge anajaza kama imeorodheshwa nyumba hiyo ama sivyo.Ni kupayuka tu

1:Ni kwa nini tume itoe ripoti ambayo haijakamilika?

2:Credibility ya hii tume ni questionable.Basic tenets za tume au chombo cha uchunguzi chenye weledi ni confidentiality katika process lakini pia baada ya kazi kukamilika kuandika ripoti yenye weledi na katika misingi mikuu ya uandishi wa Ripoti hiyo ni lazima iwe na Clarity and free from ambiguity.Sasa so far hii task force haijaonyesha weledi wowote.Otherwise kuna malicious intention.It's just another way of political jujutsu

3:Kama malipo hayakuonekana kupitia banking system walizochunguza wao watafikiaje hitimisho kuwa malipo yamefanyika kwa njia ya Cash?

4:Ni kwanini waliohojiwa majina yao yamevujishwa na kutoa ripoti nusu kabla ya uchunguzi kukamilika?Kuna malicious intention

5:Mbowe ni Mfanyabiashara na kumiliki nyumba Dubai sio issue hata kidogo.Kama kuna ufisadi tayari serikali hii ingekua imeshamuanika na kumuandama.Saa hizi wanatafuta tuhuma za kulazimisha kisiasa.Na pia Hizi mentality za kimaskini zilizojengwa kwa makusudi na mfumo zisituongoze kuamini kuwa haitakiwi kumiliki nyumba nje ya nchi na pia kila mfanyabiashara ni mwizi

Tubadili fikra hizi

6:Kuna serious attempt ya ku-divert attention juu ya walioficha mabilioni huko Uswisi na Uingereza
 
Huyo aliye sema kuwa nyumba ililipiwa cash atoe ushahidi na sio kujiandikisha tu, inawezekana hawa jamaa hawakujua kuwa Mbowe anamiliki makampuni nje ya nchi , hivyo walipoangalia akaunti zake za ndani hawakuona hiyo transaction wanafikiri alilipia cash ....waende kwenye akaunti za makampuni yake wataona transactions. Mbowe anamiliki kampuni DUBAI ......
 
Mabepari wanagombania kuongoza nchi!

Bepari hawezi kumjali kabwela...
Kwani sisi bado ni wajamaa?....Uongozi wa serikali ya CCM wa awamu ya pili na ya tatu chini ya sera za kijamaa si ndio ulimaliza nchi hii?
 
Kutokana na mjadala ambao tayari umeshawekwa hapa na kujadiliwa kwa siku mbili mfululizo , nimeona kuwa kuna watu wanafanya propaganda badala ya kujaribu kuutafuta ukweli wa jambo lenyewe na kuangalia rationale ya jambo linalojadiliwa .

Mimi niliamua kufanya jambo moja la kujaribu kuangalia nini alichokua amedeclare Mbowe kwenye Tume ya maadili ya viongozi kwa mujibu wa Sheria ya maadili ya viongozi wa umma , nimekuwa mambo yafuatayo na kama yupo ambaye anaweza kunichallenge na aje a seem hapa na sio kuhangaika na Gutter politics ,

Mbowe Freeman , kwenye fomu zake alideclare kuwa anamiliki nyumba kwenye nchi zifuatazo,USA, UK, SOUTH AFRICA , DUBAI NA NAIROBI . Nyumba zote hizo alionesha alizinunua lini na zipo maeneo gani kwenye nchi hizo ,

Aidha, kuhusu kumiliki Akounti ya Benki nje ya Nchi alionesha kuwa anamiliki Akaunti iliyopo London Barclays Bank na nyingine iko Hull City, na Benki moja USA .Ila hana Akaunti katika nchi ya Uswisi wala kwenye offshore nyingine zozote zile .

vyote hivyo vipo kwenye fomu ya maadili ya viongozi , pia alionesha kuwa Ana madeni kwenye mabenki mbalimbali ndani nanje ya nchi , na hii ni kwa mujibu wa sheria .

Sasa hapo nimeona nisaidie kutoa ufafanuzi huu, na kama mtu unataka unaweza kwenda pale tume ya maadili ya viongozi wa umma na unalipia kiasi cha shilingi 1,000 tu na unapewa fomu hizo ila huruhusiwi kuondoka nazo wala kupiga picha au kutoa nakala ya fomu (photocopy) .

hivyo , jukwaa kuendelea na kujadiliana kuhusu nyumba moja ya DUBAI , ni vyema jukwaa likarudi kwenye heshima yake ya siku za nyuma ya kuwa mbele ya waandishi kwa kwenda hatua moja mbele katika kuutafuta ukweli wenyewe na sio kuendelea kulifanya jukwaa kuwa kama sehemu ya udaku.

Hivyo, basi badala ya kusubiria wakina Ezekiel Kimwaga , kuandika taarifa za upande mmoja wanaotaka wao kuwa ni Mbowe, Rostam Na Ngeleja tu ndio ambao waliombwa kusaidia timu hiyo katika kutafuta ukweli wa fedha za Uswisi, ni kuwa wabunge wote walioongea siku ya mjadala huo walihojiwa akiwemo Zitto Kabwe ambaye alihojiwa kwa saa nane na timu hiyo, pamoja na wabunge wengine wengi na wafanyabiashara wakiwemo mameneja wa Benki mbalimbali na wamiliki wa maduka ya fedha .

Ni Imani yangu kuwa kwa hili nimeweza kulisaidia jukwaa kuwa na mjadala ambao ni focused , na turejee historia yetu ya kubwa mbele ya media nyingine na sio kama ambavyo leo tunakuwa .........

Tunahitaji mawazo mbadala kama haya, ndugu umefanya kazi kubwa zaiidi ya wandishi wa habari uchwara waliojaa Tanzania! wanahabari waangalie habari wanazozipata kwa jicho la tatu na sio kukurupuka
 
Ishu si umiliki wa nyumba kwamba ni yake au sio yake, mjadala hapa ni kwa nini malipo yalifanyika in cash. Kama alilipa kupitia bank basi athibitishe hilo kuwa hakulipa kwa cash.
 
Huyo aliye sema kuwa nyumba ililipiwa cash atoe ushahidi na sio kujiandikisha tu, inawezekana hawa jamaa hawakujua kuwa Mbowe anamiliki makampuni nje ya nchi , hivyo walipoangalia akaunti zake za ndani hawakuona hiyo transaction wanafikiri alilipia cash ....waende kwenye akaunti za makampuni yake wataona transactions. Mbowe anamiliki kampuni DUBAI ......

Ndiyo maana wengine tulihoji weledi wa hiyo Tume iliyoitwa "task force iliyosheheni wataalamu".Ni mtaalamu gani wa masuala ya Fedha asiyejua kufanya thorough investigation kwa kutumia mfumo wa kibenki wa Dunia?Halafu eti wanafikia a very primitive conclussion kuwa fedha zilifungwa kwenye Mabox zikalipwa Cash.Weledi wao ni below average na kiwango chao ni cha chini sana na sio vizuri sana kama tutaanza kuiita Task Force ya Vilaza.

Hata task Force au kamati za Harusi na Sendoff zinaweza kufanya better than this.Otherwise kuna malicious intention.I stand to be corrected.Logic and facts tu.
 
Back
Top Bottom