Dogoli kinyamkela
JF-Expert Member
- Nov 21, 2024
- 2,611
- 4,540
- Thread starter
- #21
Kwako n raisi watu odds 1.06 wanapoteza kaka ivyo ujuaji mwingine sio mzuriHizi odds za 1.5 sijui 1.8 ni rahisi sana yeyote anaweza kutabiri,mfano unaona kabisa kuna mechi haiwezi kufika magoli 6 unaweka tu under 4.5 unapata zako odds 1.3 unatembea..odds za maana za kusema kwwli umetabiri zinaanzia 2 na kuendelea,mimi sibeti lakini naweza nkaweka mechi tano hapa za mkeka mzima odds hazizidi 2 na ikatiki