Mimi nilikimbia uzi wa wakamaria kwa sababu watu ambao tunachat nao kule hawaji inbox ila kulikuwa na id mpya mpya kila saa viznga.Una balaa sana🔥🔥🔥
Ndiyo nikasitisha code wala nn asa hivi nimekuwa mzugaji napitiaga kusalimia salimia.
Asa mtu anasema mtabiri kwa odds 1.16
Upotevu wa muda kusuka mkeka wa mechi 10 wenye odds 1.5 au 2.
Odds 2 walau zitafutwe kwenye mechi 2 au hata 3 siyo mbaya kama ni uwekezaji.
Sasa odds 2 unazisaka kwwnye mechi 6+??