Franco Mtui apooza mwili mzima

Oloronyo

Binafsi ninamfahamu Franco - naweza kusema kwamba ni rafiki yangu - muda mrefu sana. Niliporejea nyumbani mwaka 1992 baada ya kuishi ulaya muda mrefu, yeye, pamoja na rafiki yetu mwingine, Nicas, ndio waliokuwa wenyeji wangu, nisimsahau Baraka. Walinionesha njia. Pita hapa, usipite pale. Ongea na huyu, usiongee na yule.

Nilisikitika kwa yote yaliyomkuta, kwani hujui lini yatakukuta, hujui maisha yatakubadilikia kwa namna gani. Hata kama alikuwa "mlevi mbwa", huwezi kujua ni nini haswa kilitokea mpaka akawa hali hile. Nina HAKIKA hakupenda hali ile, lakini wewe hujawahi kupata MSONGO wa MAWAZO (mental depression). Utaiona dunia chungu, utatamani ardhi ipasuke dunia ikumeze! Utakimbilia kwenye pombe na anasa, lakini hazitakusaidia.

Usitumie "kuharibikiwa" kwa binadam mwenzako kama njia ya kujisafisha mwenyewe. Binafsi mimi nakuona kwamba una tatizo la "inferiority complex". Watu wenye hali hiyo hawajioni kama "wametimia" mpaka wapate nafasi ya kumbeza mtu mwingine. JIAMINI kaka, kwamba wewe ni wewe, na downfall ya mtu mwingine isiwe chanzo cha wewe KUONEKANA kwamba nawe umo. JIAMINI kwa jinsi ulivyo, nasi tutakuona kwamba UMO. Lakini ukitumia UWANDA HUU MPANA kumchafua ndugu yetu Franco Mtui, tutakupondaponda kwa mawe, viboko, matofali, ufe kama kibaka anayekamatwa kule Sokoni Kariakoo, akijaribu kumpora mama mhangaikaji vijisenti vyake.

Unadiriki kusema kwamba Franco alijiona yeye yuko juu? Unamfahamu kweli ama unaropoka tu?

Ficha upumbavu wako, onesha hekima zako! - Invisible

Usitukane wakunga, na uzazi ungalipo.

./Mwana wa Haki

Pole sana ndugu yangu Franco (aka Pinocchio!). Mola atakuafu mapema!


duh! mashikaji zako walikuwa akina NIcas? Duh! haya bwana

baraka unayemzingumzia ni yupi BIG RON au PISHI?
 
ni mmoja wa wanafamilia wa mzee mtui, baba alikuwa mtumishi wa umma akiishi o'bay. Vijana watatu hawa franco ndiye mkubwa akifuatiwa na deo na mdogo wa alikuwa dj maarufu fresh xe. I'm not sure na mdogo wao mwingine tena.
Siku zile enzi za o'bay primary kila mmoja wao alikuwa na kipaji chake. Franco alikuwa sharp, deo cool na fresh xe music. Enzi hizo walikuwa na connection za mamtoni hivyo kigongo chochote kikishuka ulaya within no time
kina mtui wanakidaka. You can imagine enzi hizo, hakuna tv wala mtandao

baada ya kumaliza sec, wote walifanikiwa kimaisha kila mmoja kwa upande wake.
Umaarufu wa vijana hawa ni watu wa watu.
Tunawaombea kwa mungu, uponyaji wa haraka, watanzania wote watatu, mpiganaji athumani hamisi, mzee wetu timothy apiyo na franco mtui ambao wote wamelazwa hospitali hiyo nchini afrika kusini.
Mod, rekebisha headline amepooza ila sio mwili mzima!.

watoto wa kishua ...line wamezikuta hivyo wao waliunganisha tela tuuu

halafu wabongo mnapenda kudrop surnames duh!
 
Majina kuwa alphabetical ina uhusiano gani na hali iliyopo?

Mke wake played a big part? I thought ndiye wa kwanza hasa kubeba hilo jukumu, nani mwingine ulitarajia aplei hiyo role?

Shisha...kwanza imewekwa wazi na wengi humu kuwa hayuko tena na mkewe, sasa labda kwako sio muhimu kujua kuwa mkewe bado kwenye matatizo alikuwa nae.
Hio ya majina ni kuonyesha kuwa ninayemuongela ninamjua vizuri. Watu wengi humu wametoa mifano kwa kuonyesha kwa namna gani wanamfahamu Franco na familia yake
 
...franco is a nice guy, always smiles. Very likeable guy. Mzee mtui aliwapa majina watoto wake alphabetically.
Mke wake played a big part ya franco kuwa south africa anatibiwa, alipelekwa nairobi kwanza.
Get well soon brother, our prayers are with you


oloronyo, ukitoa ufafanuzi zaidi wa ufisadi wa franco mimi nitakuunga mkono, kibandiko chako kina mantiki japo umekileta jf wakati jamaa anaumwa sana (grave condition) hivyo inaonekana kama kejeli au chuki binafsi. Kwa hali ya kawaida, muungwana atajiuliza ni kwa vipi ulikaa na habari hivyo bila kuimwaga hapa jf hadi franco alipopata ugongwa? Lakini pia umeshindwa kutueleza bayana na kwa uwazi ni ufisadi upi franco alifanya hadi imekuwa vigumu kwako kujizuia kumpaka matope katika kipindi hiki kigumu? Pengine kutaja ukubwa wa makosa yake kungekusaidia kuungwa mkono baada ya kupimwa na wanajf na hata sisi tunaomfahamu.


Sipo katika jamvi hili kumtetea franco, lakini nina shaka kama unamfahamu vyema franco mtui. Huyu ni kijana miongoni mwa vijana waliokuwa na majina ya juu lakini kikubwa na kweli ni mtu wa watu. Nina hakika hili linaweza kuthibitishwa na yeyote anayemjua franco. Akina mtui ni watu wa watu tangu enzi walipokuwa matawi ya juu hawachagui mtu wa kujichanganya naye. Binafsi nimeshitushwa sana kwamba ndoa ilimshinda franco na alikuwa mlevi kupindukia kwani jinsi ninavyomfahamu lazima kuna jambo lilimfika ambalo lilimpa msongo wa mawazo mkubwa. Wenzetu ulaya mtu akifika hali hii hupelekwa kituo cha ushauri nasaha lakini afrika tunamcheka.



Pole sana franco.
 
Shisha...kwanza imewekwa wazi na wengi humu kuwa hayuko tena na mkewe, sasa labda kwako sio muhimu kujua kuwa mkewe bado kwenye matatizo alikuwa nae.
Hio ya majina ni kuonyesha kuwa ninayemuongela ninamjua vizuri. Watu wengi humu wametoa mifano kwa kuonyesha kwa namna gani wanamfahamu Franco na familia yake

Mtu ambaye angekuwa na uchungu wa kumtosa na kumtukana Franco sasa ni mke wake aliyeachwa huku kazalishwa mtoto lakini ameonyesha upendo na uungwana na utu katika kipindi hiki, hili nalo neno kwamba angeweza kumwombea kifo. Kimsingi namwombea Franco apone haraka na kama kuna ushahidi wa ufisadi juu yake atahukumiwa kwa mujibu wa sheria na vielelezo kutoka kwa Oloronyo na wengineo walio na ushahidi.
 
Ni mmoja wa wanafamilia wa Mzee Mtui, Baba alikuwa mtumishi wa umma akiishi O'Bay. Vijana watatu hawa Franco ndiye mkubwa akifuatiwa na Deo na mdogo wa alikuwa DJ Maarufu Fresh XE. I'm not sure na mdogo wao mwingine tena.
Siku zile enzi za O'Bay Primary kila mmoja wao alikuwa na kipaji chake. Franco alikuwa sharp, Deo cool na Fresh XE music. Enzi hizo walikuwa na connection za mamtoni hivyo kigongo chochote kikishuka ulaya within no time
Kina Mtui wanakidaka. You can imagine enzi hizo, hakuna TV wala mtandao

Baada ya kumaliza sec, wote walifanikiwa kimaisha kila mmoja kwa upande wake.
Umaarufu wa vijana hawa ni watu wa watu.
Tunawaombea kwa Mungu, uponyaji wa haraka, Watanzania wote watatu, Mpiganaji Athumani Hamisi, Mzee wetu Timothy Apiyo na Franco Mtui ambao wote wamelazwa hospitali hiyo nchini Afrika Kusini.
Mod, rekebisha headline amepooza ila sio mwili mzima!.

Oooh kumbe ni watoto wa Ostabei...ndio maana nimeambulia kapa...hivi huko Ostabei bado kuna oneka mali kwa standards za kibongo? Mimi nakuona kuchafukuchafu na kukuukuu...nyumba zimejengwa karne ya 19..aaaagh
 
Oooh kumbe ni watoto wa Ostabei...ndio maana nimeambulia kapa...hivi huko Ostabei bado kuna oneka mali kwa standards za kibongo? Mimi nakuona kuchafukuchafu na kukuukuu...nyumba zimejengwa karne ya 19..aaaagh

...NN fananisha huko na mazingira na zile nyumba zilizojengwa na mjerumani mitaa ya Railway Gerezani mpaka mitaa ya Garden Av, Ohio kuelekea Ikulu...nyumba za 'vigogo' miaka hiyoo...

...halafu, jamaa mliosoma SRSS (kizazi cha Breakdance!) wengi wenu mnafahamiana bana, mmetokea kwenye 'anga' hizo hizo za Bunge na Forodhani Primary, O'Bay primary, Upanga Primary, Zanaki, Muhimbili Primary nk etc... :D
 
......halafu, jamaa mliosoma SRSS (kizazi cha Breakdance!) wengi wenu mnafahamiana bana, mmetokea kwenye 'anga' hizo hizo za Bunge na Forodhani Primary, O'Bay primary, Upanga Primary, Zanaki, Muhimbili Primary nk etc... :D

Wengi tuliosoma SRSS tumetokea Olympio bana....na bunge kwa mbali
 
watoto wa kishua wakiongea wana misamiati yao fulani fulani halafu unajua kwenye mazungumzo yao lazima watakuwa wanatupa jina la kigogo fulani left and right kama vile Grald..haitoshi lazima watasema oahh unamzungumzia GERALD MKASOYA au kama vipi akitajwa FRANK basi lazima MTUI ifuate au kama akitajwa KHADIJA basi either watakwambia ahhh unamzungumzia KHADIJA KIGODA au MWANAMBOKA? au pascal..oh pascal MAYALA


they also have another thing in common, almost wote wamesomea NORTH DAR au maeneo ya Kinondoni...secondary au Primary wachache wamesoma pale Bunge lakini wengi wamesoma O'bay

Socializing..well generation tunaizungumzia ni ya waliokwenda 7th floor ijumaa jioni huku mchana walikuwa wanapattikana Don Bosco wanacheza basket, na on saturday of course never MISS events kama FOOD EVENING na DATES zao zilikuwa ni SHALIMAR, magazines zao kama RIGHT ON na WORD UP walikuwa wananunua kwa KHERY pale salamander na sasa hivi wengi wamerudi toka huko walikopelekwa kusoma na wanafanya kazi laini laini kama vile PR officers wa mashirika mbali mbali hapa mjini
 
watoto wa kishua wakiongea wana misamiati yao fulani fulani halafu unajua kwenye mazungumzo yao lazima watakuwa wanatupa jina la kigogo fulani left and right kama vile Grald..haitoshi lazima watasema oahh unamzungumzia GERALD MKASOYA au kama vipi akitajwa FRANK basi lazima MTUI ifuate au kama akitajwa KHADIJA basi either watakwambia ahhh unamzungumzia KHADIJA KIGODA au MWANAMBOKA? au pascal..oh pascal MAYALA


they also have another thing in common, almost wote wamesomea NORTH DAR au maeneo ya Kinondoni...secondary au Primary wachache wamesoma pale Bunge lakini wengi wamesoma O'bay

Socializing..well generation tunaizungumzia ni ya waliokwenda 7th floor ijumaa jioni huku mchana walikuwa wanapattikana Don Bosco wanacheza basket, na on saturday of course never MISS events kama FOOD EVENING na DATES zao zilikuwa ni SHALIMAR, magazines zao kama RIGHT ON na WORD UP walikuwa wananunua kwa KHERY pale salamander na sasa hivi wengi wamerudi toka huko walikopelekwa kusoma na wanafanya kazi laini laini kama vile PR officers wa mashirika mbali mbali hapa mjini

OMG!,Nimesoma hii kit yako aisee umenikumbusha mbali sana especially Kheri wa salamander na magazeti yake hivi bado yupo?

Na pia 7th floor enzi hizo akina mwesiga Lukaza walikuwa wanachafua sana alafu umesahau Twiga na DI (Dar international)ilikuwa pale karibu na Embassy hotel. stk tsk tsk tsk Shalimar,mambo ya food evening duh GT ww ni kiboko una kumbukumbu kinomaa bado umeshau beach parties za Mawingu.
 
OMG!,Nimesoma hii kit yako aisee umenikumbusha mbali sana especially Kheri wa salamander na magazeti yake hivi bado yupo?

Na pia 7th floor enzi hizo akina mwesiga Lukaza walikuwa wanachafua sana alafu umesahau Twiga na DI (Dar international)ilikuwa pale karibu na Embassy hotel. stk tsk tsk tsk Shalimar,mambo ya food evening duh GT ww ni kiboko una kumbukumbu kinomaa bado umeshau beach parties za Mawingu.

YAP KHERY yupo lakini sasa hivi yupo opposite na website yake ni hii hivyo kama unaweza mpige pini mnyamwezi alikuwa ananiuzia SOURCE kwa bei ya chee..tangu akina FILEMONI CHACHA na DEO wa ALLIANCE AIR wastop imekuwa ngumu kupata magazine mnyamwezi wetu lakini bado tunampa support pale tunapoweza


Beach parties ndio usiniambie unajua kulikuwa na jamaa wanatoka USWAZI walikuwa wanaingiza timu na COASTER zinazopiga nyimbo za BOBA MARLEY ...mziki mzitooo hebu niambie uko bichi halafu inaingia coaster inapiga mziki kuliko wa DJ KALI KALI unashangaa hili ngoma la NATURAL MYSTIC...ahh we acha tuu
 
Food Evenings zilikuwa boring ila kwa watoto wa SRSS na Mzizima ndio ilikuwa sehemu yao ya kuonyeshana nani ana nini nablah blah.
 
YAP KHERY yupo lakini sasa hivi yupo opposite na website yake ni hii hivyo kama unaweza mpige pini mnyamwezi alikuwa ananiuzia SOURCE kwa bei ya chee..tangu akina FILEMONI CHACHA na DEO wa ALLIANCE AIR wastop imekuwa ngumu kupata magazine mnyamwezi wetu lakini bado tunampa support pale tunapoweza


Beach parties ndio usiniambie unajua kulikuwa na jamaa wanatoka USWAZI walikuwa wanaingiza timu na COASTER zinazopiga nyimbo za BOBA MARLEY ...mziki mzitooo hebu niambie uko bichi halafu inaingia coaster inapiga mziki kuliko wa DJ KALI KALI unashangaa hili ngoma la NATURAL MYSTIC...ahh we acha tuu

Wow Kheri ameanzia mbali sana siamini kama bado yupo na anaendeleza libeneke la kuuza magazeti.Unayo hiyo website yake?Mimi nilikuwa mnunuzi mzuri sana wa magazeti pale kwa Kheri nafahamiana naye vizuri sana.Pamoja na yule fundi pembeni yake sijui kama na yeye bado yupo.Na kuna yule mchaga pia alikuwa na kibanda chake cha vipodozi pale salamander sijui naye yupo duh pembeni kuna burger bite tsk tsk tsk tsk umenikumbusha mbali kweli m2wangu.

Ni kweli beach parties zilikuwa zamani sijui kama bado wanaendeleza libeneke la beach parties hadi sasa itakuwa siyo nzuri kivile.kungekuwa na uwezo wa kurudisha mambo ya zamani ingekuwa very alright.Kulikuwa na mabishololo enzi hizo duh akina Nicas wanatokea wamefunga miziki mizito hadi roho inadunda siku hizi mume wa mtu ametuliya kweli.

Alafu kulikuwaga na yule wacko jack wa kibongo hivi yule jamaa aliishia wapi?.GT si bure lazima weye nitakuwa nakunyaka mazee.
 
Back
Top Bottom