Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,510
ahh nilikuwa napata tabu ya watoto wa kishua kumbe mpo
haya na wewe magazines ulikuwa unanunua wapi?
Mimi nilikuwa napata kutoka kwa Victor Mollel na Eric Mwenda...
Oooh na Francis pia...jamaa alikuwaga anakuja kutoka Nyamwezi....nakumbuka aliniletea Air Jordans