Mkuu chuo cha wananchi kiwanda FDC kiko wapi na utaratibu ukoje
Masomo mengine umepata je? Kuwa muwazi naweza kukusaidiaMkuu Mimi ana history c geography d civics d kiswahili c anaweza soma course gani
Kipo wilaya ya Muheza tanga. Kinatoa kozi zifuatazo. Umeme Mifugo na kilimo ujenzi uselemala upishi na upambaji ushonaji
Hivi mapolis wote wana alama stahiki?!Police hatuhitaji mazezeta
Tunabadilisha jeshi kuendana na mfumo stahikiHivi mapolis wote wana alama stahiki?!
MIRADI YA WATU.njoo usome certificate ukimaliza utasoma diploma then degree chukuwa namba hiyo 0714546700
Mfumo ulioje?!Tunabadilisha jeshi kuendana na mfumo stahiki
tafuta kwenye mitandao ya kijamii project management hebu google utapata picha!MIRADI YA WATU.
Asante, ushauri wako ni upi?Huyo hana sifa za kusoma nursing usipoteze mda
Anaweza kusoma Form 5 na 6 mwaka mmoja bila tatizo.! Ni yeye tu kujiandaa vizuri., kuhusu Chuo kikuu ataingia kwa pass marks za kawaida kama wanazoingia nazo school candidates, asihofu kuhusu hilo.Habari wakuu, jamani naombeni msaada wenu ndugu yangu amemaliza kidato cha nne mwaka jana na amepata credit za kusoma form five kwa HKL, HGL na HGK yeye alipitia huu mfumo wa QT sasa anataka kusoma advance kwa mwaka mmoja, je inawezekana, ana nafasi ya kufanya vizuri na baada ya hapo anaweza kusoma degree kwa ufaulu upi kozi gani na katika vyuo vipi? Asanteni
mpeleke diploma ya maabara, famasi au mifugo. anaweza kuunga ile ya kutoka certificate.dogo langu ana BIOS-D KISW-D CHEM-D HISTD MATH-D CIV-D ENG-C GEOD PHY-C nimpeleke wp wadau?