Ndugu hakuna kozi inayoweza/osiyoweza kumuongizia MTU kipato halali.......ungeuliza tu "kozi gani inanifaa kwa marks/alama hizi" Jitahidi kurekekebisha Uandishi wakoKwa mtu Mwenye ufahuru huu anaweza soma course gani ambayo inaweza kumuingizia kipato harali history C,civics D kishwahili C geography D naomben jaman
r na l ni janga la taifaMkuu nashukuru kwa kunilekebishia baadhi ya maneno ni nahitaji kujua anaweza somea nn ndo cha muhimu mkuu kuna mmoja kasema nersing si mpaka uwe umefahuru sayansi
Nilifkiri umenijibu Mimi.....nimedeleteKuwa muelewa kuitwa nurse siyo tusi hata kidogo nimesema hivyo nikiwa na maana ya kwamba hana vigezo stahiki vya kusomea unurse dont panic
Hilo ni kweli kwa siku hizi wahitimu wa kidato cha 4&6 kwa wale wanaopenda hujaza sale fomu ya upolisi wakiwa shuleni kwao kwa hiyo wale waliomaliza 4m 4&6 mwaka 2015 wao bado hawajatoa majina yaoAcha kupotosha.! Waliomaliza Form 4 siku hizi huwa wanawachukua moja kwa moja kutoka mashuleni mwao kulingana na ufaulu wa mwanafunzi na alivyojaza Form ile ya kuchagua shule na vyuo kutegemea polisi aliweka chaguo la ngapi. Mi cousin yangu amemaliza Form 4 2014 yupo depo CCP alichukuliwa moja kwa moja., mnafanya tu interview katika mikoa yenu. Hata kwa Form 6 pia huwa wanafanya hivyo hivyo. JKT ni kwa wale waliomaliza Form 4 na Form 6 miaka ya nyuma
Yeah sawa kabisa ndugu., nlisahau jina la hiyo form.! Na majina ya kuitwa kwenye interview kwa Form 4 na 6 huwa yanawekwa kwenye website ya polisiHilo ni kweli kwa siku hizi wahitimu wa kidato cha 4&6 kwa wale wanaopenda hujaza sale fomu ya upolisi wakiwa shuleni kwao kwa hiyo wale waliomaliza 4m 4&6 mwaka 2015 wao bado hawajatoa majina yao