Form 4 na wengine, angalieni hapa!

Form 4 na wengine, angalieni hapa!

Tatizo Waliwapanulia sana goli masikini, hapo ni kama vile una Div III ya mwisho au Div IV in terms of Ndalichako.
My estimations tho'!
 
Mkuu Pole sana kwa majibu ya watu Jf, kuna mtu amediriki kusema polisi hawahitaji mazezeta ila sidhani kama kuna chombo cha ulinzi ambacho hakina wasomi kama Jeshi la Polisi Tanzania.
***Turudi kwenye Mada***

-Kwanza mwambie asahau machungu ya matokeo.
-Mwambie hongera kwa kujitambua kuwa anatambua kazi aipendayo.
-Tatu muaminishe kwamba HAKUNA KITAKACHOMFANYA ASITIMIZE NDOTO ZAKE, mpe mfano hata wa Lowassa. Katika maisha yake mwambie apiganie kile aaminicho hata kama wengi wakimpinga au mazingira yakikataa.
-Fanya research kwa miaka mitatu hii Jeshi la Polisi linapenda kuchua watu wenye fani zipi, ukishazijua tafuta Chuo kizuri kitoacho hizo fani. Mpeleke asome mpaka level ya Diploma, baada ya hapo mpeleke huko Upolisi. Akimaliza mafunzo huko Moshi, msihi aendelee na shule tena ajisomeshe mwenyewe.

Hapo kazi kwako itakuwa imepungua, ila mwambie tu kuwa akifanikiwa asisahau alipotoka.
 
Mkuu Pole sana kwa majibu ya watu Jf, kuna mtu amediriki kusema polisi hawahitaji mazezeta ila sidhani kama kuna chombo cha ulinzi ambacho hakina wasomi kama Jeshi la Polisi Tanzania.
***Turudi kwenye Mada***

-Kwanza mwambie asahau machungu ya matokeo.
-Mwambie hongera kwa kujitambua kuwa anatambua kazi aipendayo.
-Tatu muaminishe kwamba HAKUNA KITAKACHOMFANYA ASITIMIZE NDOTO ZAKE, mpe mfano hata wa Lowassa. Katika maisha yake mwambie apiganie kile aaminicho hata kama wengi wakimpinga au mazingira yakikataa.
-Fanya research kwa miaka mitatu hii Jeshi la Polisi linapenda kuchua watu wenye fani zipi, ukishazijua tafuta Chuo kizuri kitoacho hizo fani. Mpeleke asome mpaka level ya Diploma, baada ya hapo mpeleke huko Upolisi. Akimaliza mafunzo huko Moshi, msihi aendelee na shule tena ajisomeshe mwenyewe.

Hapo kazi kwako itakuwa imepungua, ila mwambie tu kuwa akifanikiwa asisahau alipotoka.
Mkuu asante sana kwa ushauri wako ubarikiwe. Nitaangalia kumpeleka Nursing baada ya hapo ndo tujue ni nini cha kufanya. Again thank you kwa ushauri wako.
 
Mkuu asante sana kwa ushauri wako ubarikiwe. Nitaangalia kumpeleka Nursing baada ya hapo ndo tujue ni nini cha kufanya. Again thank you kwa ushauri wako.
Kama na yeye ataridhia nursing badala ya upolisi basi sawa, sayansi ni nzuri sana mkuu. Mpe kijana elimu, huo ndo utajili wake.
 
Jamani msaada please Nina D ya pys ,chem ,bio na math English Nina C zingine Nina A na B je naweza kusoma clinical officer msaada plz.
 
Naitwa mwal Rizik nipo mara musoma... yoyote aliye tayari tubadilishane nije mkoa wa arusha ..kilimanjaro... tanga.. morogoro.... tuwasiliane 0767 900094.... nipo sehem nzur.... maj.. umeme...
 
Naitwa mwal Rizik nipo mara musoma... yoyote aliye tayari tubadilishane nije mkoa wa arusha ..kilimanjaro... tanga.. morogoro.... tuwasiliane 0767 900094.... nipo sehem nzur.... maj.. umeme...
Naitwa mwal Rizik nipo mara musoma... yoyote aliye tayari tubadilishane nije mkoa wa arusha ..kilimanjaro... tanga.. morogoro.... tuwasiliane 0767 900094.... nipo sehem nzur.... maj.. umeme...
 
Naitwa mwal Rizik nipo mara musoma... yoyote aliye tayari tubadilishane nije mkoa wa arusha ..kilimanjaro... tanga.. morogoro.... tuwasiliane 0767 900094.... nipo sehem nzur.... maj.. umeme...
Nenda kwenye uzi husika
 
Unaweza kusomea unesi bila kufaulu chemistry?

Ulizia kwa mapolisi lini watatangaza nafasi zao anaweza akapata huo upolisi ingawa nafasi chache na wengi hawana ajira.
 
Kama anaweza kupata nafasi ya kusomea unesi aende akimaliza anaweza kujiunga na jeshi la polisi na akiwa na ujuzi nafasi ya kupata polisi ni kubwa kuliko akiwa na elimu ya kidato cha nne.
 
ipo hivi huwezi kwenda upolisi pasipokupitia mafunzo ya jkt. sasa hapo jkt ndo tatizo kwamba hawaajiri so ataenya two yrs then atakosa ajira, cha msingi akasome aendeleze ujuzi then aje huku upolisi kwa max zake si rahic kupata nafac
Acha kupotosha.! Waliomaliza Form 4 siku hizi huwa wanawachukua moja kwa moja kutoka mashuleni mwao kulingana na ufaulu wa mwanafunzi na alivyojaza Form ile ya kuchagua shule na vyuo kutegemea polisi aliweka chaguo la ngapi. Mi cousin yangu amemaliza Form 4 2014 yupo depo CCP alichukuliwa moja kwa moja., mnafanya tu interview katika mikoa yenu. Hata kwa Form 6 pia huwa wanafanya hivyo hivyo. JKT ni kwa wale waliomaliza Form 4 na Form 6 miaka ya nyuma
 
Acha kupotosha.! Waliomaliza Form 4 siku hizi huwa wanawachukua moja kwa moja kutoka mashuleni mwao kulingana na ufaulu wa mwanafunzi na alivyojaza Form ile ya kuchagua shule na vyuo kutegemea polisi aliweka chaguo la ngapi. Mi cousin yangu amemaliza Form 4 2014 yupo depo CCP alichukuliwa moja kwa moja., mnafanya tu interview katika mikoa yenu. Hata kwa Form 6 pia huwa wanafanya hivyo hivyo. JKT ni kwa wale waliomaliza Form 4 na Form 6 miaka ya nyuma
Mwisho ni IV ya ngapi kuchukua huko Polisi?
 
Mwisho ni IV ya ngapi kuchukua huko Polisi?
Sijajua vizuri vigezo wanavyotumia mkuu kuhusu ufaulu., ila huyo cousin wangu mimi alikuwa na credit kwa matokeo ya Form 4 waliomaliza 2014..!! Ila nahisi inaweza ikawa mwisho 4 ya 28 kwa matokeo ya mwaka huu
 
Nina uncle wangu kapata matokeo mabaya sana, ambayo sikuyategemea na wala yeye hakuyategemea ila all is well.

Nimekuja kwenu wakuu kuomba ushauri, najua wapo na wengine wengi watakaofaidika na ushauri huu.

Lengo langu nataka asome. Ni options zipi ambazo zinaweza kumsaidia akaendelea kupata elimu kwa hii div 0 yake, binafsi sijakata tamaa na hata yeye nitamshawish asikate tamaa. Ni binti wa miaka 17 alikuwa huko Moshi sasa nikamchukua tupo nae hapa Dar

Miaka sita iliyopita nilikuwa na tatizo kama lako, lakini mimi huyu mtoto ma marehemu kaka yangu alikuwa na umri mkubwa kidogo kama 19 years. Lakini alionyesha kuwa anapenda kusoma. Nilimrudisha form three, leo hii yuko mwaka wa pili chuo kikuu akisomea degree ya education.
Msikilize anataka nini yeye kama yeye, hili ni muhimu.

ikiwa atakataa kusoma basi kozi za ufundi ambao hautakuwa usumbufu kwa mwanamke kama kushona, kupamba, kupika lakini usio tegemea ajira moja kwa moja ndio unge mfaa.
 
Nina uncle wangu kapata matokeo mabaya sana, ambayo sikuyategemea na wala yeye hakuyategemea ila all is well.

Nimekuja kwenu wakuu kuomba ushauri, najua wapo na wengine wengi watakaofaidika na ushauri huu.

Lengo langu nataka asome. Ni options zipi ambazo zinaweza kumsaidia akaendelea kupata elimu kwa hii div 0 yake, binafsi sijakata tamaa na hata yeye nitamshawish asikate tamaa. Ni binti wa miaka 17 alikuwa huko Moshi sasa nikamchukua tupo nae hapa Dar


Kama mzuri na ulimpa malezi mazuri basi subiri mwaka mmoja afikishe 18 halafu muweke online!
 
Habari wakuu, jamani naombeni msaada wenu ndugu yangu amemaliza kidato cha nne mwaka jana na amepata credit za kusoma form five kwa HKL, HGL na HGK yeye alipitia huu mfumo wa QT sasa anataka kusoma advance kwa mwaka mmoja, je inawezekana, ana nafasi ya kufanya vizuri na baada ya hapo anaweza kusoma degree kwa ufaulu upi kozi gani na katika vyuo vipi? Asanteni
 
Back
Top Bottom