Form 4 na wengine, angalieni hapa!

Form 4 na wengine, angalieni hapa!

Kama unataka science nenda pcm au cbg maana unakubalika kusoma kwa CCD ila kwa matokeo yako inaonesha PCB uwezekano wa kufaulu sio mkubwa sana so omba upangiwe shule ambayo inasience ili ukabadili maana hapo lazma upangiwe arts km mpunga upo nenda private wanakuchukua kwa hizo CCD ila hongera matokeo mazuri
 
Mkuu tupo pamoja mm mdogo wangu yy kapata four ya 30 hapa naona kachanganyikiwa nmemuuliza nn unaona tukufanyie anasema bado hajui ssa kikubwa nilichoona ni kumpa nafasi aamue kwanza kama atasema arudi shule naona best option arudie form two shule ya boarding maana alikua day ili apate kabisa na namba maana kufanya ka private candidate sina imani nako sana. Kikubwa ni kuwapa moyo na kutowalaum sana japo anatakiwa ajue alichokifanya hakipendezi. Na huyu wangu ni kama wako tu msichana miaka 17. Ukipata best option kutoka kwa michango ya wanajamvi hapa usisite kuniPM maana letu moja
 
Kama hakuyategemea matokeo hayo ni vyema arudie mitihani yake anaweza kupata anachokitegemea.

Yapo mambo mbalimbali yanayochangia matokeo ya mtihani hivyo huenda matokeo hayo hayamaanishi kwamba ni kilaza.
 
Ndugu wanajamvi naombeni msaada wenu. Kuna mdogo wangu kamaliza kidato cha Nne ana div 4 ya 30
CIV - 'F' HIST - 'D' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'C' BIO - 'C' B/MATH - 'F' COMM - 'F' B/KEEPING - 'F'
Yeye anapenda kuwa Polisi. Je kuna uwezekano? Chaguo lake la pili ni kuwa Nesi je kuna vyuo gani anaweza kupata? Yeye ni mwenyeji wa Mwanza.

Naombeni msaada wenu kama kuna mwenye ufahamu wa hayo niliyoyataja hapo juu. Na kama una mawazo mengine mbadala yenye kujenga si kubomoa unakaribishwa kuchangia.

Natanguliza shukrani.
 
mimi naona kama ana pesa ajiunge na vyuo kama ifm, cbe etc ,certificate , then diploma kuliko kurudi /reseat ,kwasababu akimaliza diplo anaweza akapata ajira kuliko akimaliza form six
Huyo unaemshauri atakuwa ameshamaliza na sasa hivi yupo chuo maana post ya July 2013
 
Kama unataka science nenda pcm au cbg maana unakubalika kusoma kwa CCD ila kwa matokeo yako inaonesha PCB uwezekano wa kufaulu sio mkubwa sana so omba upangiwe shule ambayo inasience ili ukabadili maana hapo lazma upangiwe arts km mpunga upo nenda private wanakuchukua kwa hizo CCD ila hongera matokeo mazuri
Ahsante kwa ushauri wako ndugu
 
ipo hivi huwezi kwenda upolisi pasipokupitia mafunzo ya jkt. sasa hapo jkt ndo tatizo kwamba hawaajiri so ataenya two yrs then atakosa ajira, cha msingi akasome aendeleze ujuzi then aje huku upolisi kwa max zake si rahic kupata nafac
 
mm ni mwanafunzi niliyehitimu form 4 2014 na kupata gpa ya 2.4.
niliapply chuo cha afya na nkapata mwaka uliopita ila sikuweza kuripoti tokana na matatizo ya kifamilia ila nlipata st aggrey mbeya clinical medicine.
sasa kwa huu mwaka matokeo yamebadilishwa kurudi kwenye DIVISION.
je ntapata tena chuo nikiapply mwaka huu.
matokeo yangu ni kama ifuatavyo
phy-c
bio-c
kemia-c
english-b
history-b
kiswahili-b
civics-c
geog-c
math-E
je nina uwezo wa kupata chuo cha serikali?
naombeni msaada jamani kwa hilo. mungu awatangulie.
 
ipo hivi huwezi kwenda upolisi pasipokupitia mafunzo ya jkt. sasa hapo jkt ndo tatizo kwamba hawaajiri so ataenya two yrs then atakosa ajira, cha msingi akasome aendeleze ujuzi then aje huku upolisi kwa max zake si rahic kupata nafac
Nashukru mkuu je wajua vyuo vyovyote vya unesi? au ni kipi nifanye ili kumsaidia?
 
Back
Top Bottom