Form 4 na wengine, angalieni hapa!

Form 4 na wengine, angalieni hapa!

KIKUBWA ASIKATE TAMAA KAMA VIP ARUDIE PAPER NAAMINI ATAFANYA VIZURI TUU
 
. Civics - C
History - C , Geography - D , Bible knowledge - C , Kiswahili - D , English - C , Biology - C, Mathematics - F, Commerce - C , Beekeeping - C.

Div 2 . 21
 
. Civics - C
History - C , Geography - D , Bible knowledge - C , Kiswahili - D , English - C , Biology - C, Mathematics - F, Commerce - C , Beekeeping - C.

Div 2 . 21
Inawezekana.Jipe moyo.Wasipokuchagua nenda PRIVATE.
 

EGM nayo siyo mbaya coz Economics ataikuta huko na hesabu sina shaka nae anaziweza...so kozi yoyote inayorelate hapo anaweza akafanya...anyway kila heri
, selection nadhani zitatoka mwezi wa 3 mwishoni au 4
Engl C
Hist C
B/mat F
Bios D
Geog D
Civc D
Ksw D
IV .27
Inakuaje
 
jamni naomba kujua me nimemaliza kidato cha nne mwaka huu nina bioz c chemistry d na phy d nataka soma ACO then niunganishe CO je mtu akisoma ACO then ikitaka kuunganisha kusoma CO anasoma miaka hiyo mitatu au wanapunguzia miaka
 
CIV - 'D' HIST - 'D' GEO - 'D' KISW - 'D' ENGL - 'F' PHY - 'F' CHEM - 'D' BIO - 'C' AGRI - 'F' B/MATH - 'F Naombeni ushauri anaweza kujiunga na ACO? au kwa kozi nyingne msaada wa mawazo yenu please
 


Nursing-zipo college nyingi wanatoa hii kozi, wale manesi wa mahospitalini na wahudumu, na mara nyingi hizi college zinakuwa ndani ya hospitali, nadhani mikoa mingi yenye hospitali kubwa kubwa wanatoa nursing...mfano Pale Hospitali ya Ndanda mission ipo, Nkomaindo Masasi ipo, Newala-Mtwara ipo na mikoa mingine.

MATC-Ni Medical Assistant Training College hizi zipo nyingi ingawa kwa sasa ndizo zimebalisha na kuwa COTC na mara nyingi wanachukua wanafunzi waliotoka form 6 moja kwa moja. Kwa mfano pale Kibaha(Tumbi hospital, Mtwara hospital nk)

COTC- Hii ni Clinical Officers Training College ambapo watu wa form naao wanajiunga na huwa mara nyingi ukimaliza diploma yako(3yrs kama sio 4yrs) unakuwa na direct employment frm government au sehemu nyingine.(Tumbi hospital, Mtwara hospital nk)
ila ada yake baba utakimbia private
 
Nina mdogo wangu amemaliza Ifunda tech,ile shule hawakusoma history wala biology dv 4 ya 29.. alama za ufaulu wake(PASS) ni chem-D,kiswahili-D,civics-D,geog-D na Engl-C,pamoja na masomo mengine ya ufundi ambayo amepata alama F. sasa je anaweza soma form 5 private kwa pass mark hii na kwa combination ipi maana naumia kichwa hapa au aende tu college?
 
Nimerudia mtihan na matokeo yangu yamekuwa c mabaya xana nikiwa nimepata C 4 na D 3 lkn kombi halijabalance history imegoma kuna D. Je naweza kujiunga na kidato cha tano shule ya private?? Msaada wenu tafadhal
weka ufaulu wa kila moja tukushauri,ila naamini una sifa za kujiunga na private sec school
 
Habari! Wana Jf hivi ni kweli wale wahitimu wa kidato cha nne mwaka huu ambao wamepata div. 3 ndo wanaenda teaching(primary)?!

Mimi nina div.2 Kwa alama hizi naweza chaguliwa serikali na comb. Ipi ya science??
Bio C
Phy D
Math C
Chem C
Geo D
Halafu mengine yote yalobaki nina "C"
 
habari za kazi wana jf
mm nilihitimu kidato cha nne 2014 na matokeo yangu ni
physics-c
bios-c
chemistry-c
math-e
english-b
je nnaweza somea kozi za afya?
matokeo ya masomo mengine ni
kiswahili-b
history-b
civics-c
geography-c
natarajia ushauri mzuri toka kwenu mungu awabariki.
 
habari za kazi wana jf
mm nilihitimu kidato cha nne 2014 na matokeo yangu ni
physics-c
bios-c
chemistry-c
math-e
english-b
je nnaweza somea kozi za afya?
matokeo ya masomo mengine ni
kiswahili-b
history-b
civics-c
geography-c
natarajia ushauri mzuri toka kwenu mungu awabariki.
Unasoma bila matatizo diploma

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 
samahanii wana jf
naomba kuuliza kozi ipi ni nzuri kati ya hizi
clinical medicine na medical lab sciences?
 
Haya matokeo ndiyo hayo yametoka!! Kila kitu hadharani, sasa ukiwa hapa JF ndo mpango nzima!! Manake watu washaanza kuhoji, mi nina hiki au kile nitafanyaje, haya ngoja nitajaribu kuweka mwongozo na alternatively nyingine due to spme perfomances kwa wote, manake naona huku kitaa watu wanadanganyana sana!!

Hii ni kwa kadri ninavyofahamu mimi, kama kuna marekebisho basi yafuatie:

=> Credit Qualification kwa hali ya kawaaida ni 'C'-Na ili uende Form 5 unahitaji uwe na C 3, hapa ni either umebalance Combination(Comb) au hujabalance. Sasa kama una C 3 na comb hujabalance, hautachaguliwa serikalini bali shule binafsi utaenda kusoma mchepuo utakaofanana na masomo yako.
[ Mfano: Civ-C, Kisw-C, Geo-C...unaweza fanya HGK ama HGL ama kozi nyingine hata kama english na History una D].

=>Ukiwa na C 2 na D kadhaa(lets say 4 ya 26), hapa utaweza kwenda Form 5 shule za Private lakini utatakiwa utafute C ya 3 kw kureset wakati upo form 5. Same na C 1 You need to re-sit.

=> Hapa sasa ndipo kwenye utata. Ukiwa na D 3, kiukweli sahau Form 5 kama hauhitaji kurisit, sasa qualification hizi zina option zifuatazo:
1. Unahitaji kupiga long pass kwa kwenda Chuo kwa ngazi ya Certificates. Duraation ya hii kozi ni 1 year Certificate. Sasa hapa kuna vyuo kadhaa vinavyotoa certificates. Hapa ni D za masomo yoyote yale Basic(sina uhakika kama B/Knwoledge na Islam zinazingatiwa na ndio maana nasema D za Basic Subjects)
Mfano: Unaweza kufanya Certicates vyuo vya CBE-Mambo ya Biashara, IFM, TIA, Utumishi wa Umma(Public Service) Vyuo vya Kilimo na Ualimunk.
Nakozi nyingi tu wanatoa kwa certificates..mfano Procurement, Accounts, Public Admistration, Recording, Clearing and Forwarding, Social Development, Secretarial Duties, Education nk.

=> Ukiwa na D 4 upo qualified kufanya ngazi ya certificate kama nilivyoanisha hapo juu.

=> Ukiwa na D 5 sasa hapa wewe umeula!! Hapa unaruhusiwa kabisa kufanya Basic Diploma katika vyuo vyote wanavyotoa Duploma. Kwa mfano vyuo hivyo nilivyovitaja hapa JUU, chukua form yako kwa maringo achana na biashara ya kurisit omba kozi ya diploma, Teana kama una D ya hesabu na English ndo inakuwa rahisi zaidi kuchukuliwa.

=> Kwa wale waliosoma mahesabu kuna vyuo vingine kama DIT(Daar Institute), AIT(Arusha Inst) na Mbeya Tech Msishau kufanya maombi, na kwale waliopiga fresh Biology with minimum of D angalieni option za Nursing ni nzuri sana na katika vyuo vya MATC na COTC.

Kama kuna marekebisho yanakaribishwa na kama hoja ama daubt basi uwanja ndio huu. Most welcome!!

UPDATE:


2i9m911.jpg

jidhjp.gif



MKUU sio kweli unayosema pitia upya rejea zako.

Mtu anae resit mtihani kwanza utambue anaoption ya kuchagua idadi ya masomo anayotaka kurudia mtihani kulingana na yeye anavyoona anaweza kuyamudu pia endapo atakuwa amepata C mbili katika kikao cha kwanza zitajumuishwa nazile atazopata katika kikao cha pili.
Na katika hili atatakiwa kuattach vyeti vyote viwili wakati wa kujaza fomu ya kufanya mtihani wa ADVANCE

Mfumo huu unaendelea kutumika hasa hasa na kada ya ualimu walioanza na basic certificate "GRADE A" kwani hakuna chuo kwa sasa jinachotia mafunzo ya diploma au degree kwa kutumia cheti cha GRADE A zaidi ya OPEN UNIVERSITY

Pili sio lazima mtu anataka kufanya mtihani wa advance ni lazima awe amekaa miaka miwili darasani.Mtahiniwa asie kaa miaka miwili darasani anaruhusiwa ila atapaswa kufanyamtihani waadvance kama private candidate.

Ila utata unakuj katika CREDIT hizi za mtahiniwa mfano kapata C za KISWAHILI, ENGLISH , ISLAMIC au B/knowledge ataruhusiwa kufanya mtihani wa kidato cha SITA???




MICHANGO YENU TAFADHALI
 
Back
Top Bottom