ok
sasa kwa matokeo haya
anaweza soma
diploma ya business related studies kama procurement,logistics , accounting, business administration,
mambo ya tourism ,hotel management , diploma ya teaching...IT
certificate ya law
ila kama specifically angekuwa anataka nini ingekuwa rahisi kuelekeza hata chuo gani aende kwa kozi anayotaka sasa umekuwa too much general
vigezo vya msingi kama huna dira kabisa ni jaribu kuangalia soko la AJIRA na UWEZEKANO wa kujiari kwenye hiyo kozi hivi ndio vitu vya msingi zaidi ..