Asu tz
JF-Expert Member
- Dec 10, 2011
- 336
- 86
Samahan mkubwa kuna dogo langu yeye limefaulu phys D na bios D je linaweza kupata vyuo vya nursing maana kuna kademu ka 1 kalimaliza mwaka jana o lever yy kalipata BIOS D na KISW D akapata chuo cha nursing je na huyu dogo langu anaweza kupata? Nifahamishe mkubwa.