Form 4 na wengine, angalieni hapa!

Form 4 na wengine, angalieni hapa!

Maganga Mkweli na kundi lako la wataalam
nawashukuru sana kwa maushauri yenu
ya bila kushoka, hatimaye binti yangu
aliondoka jumamosi tarehe 14/04 kwenda
shule yake ya a level huko mkoani iringa,
pamoja sana wakuu wangu.
tuko pamoja ndugu yangu tumuombee tu afanye vizuri A-LEVEL ili aweze kupata nafasi kwenye higher learning pamoja sana
 
Mkuu mbona sijibiw tafadhal naomba msaada wako.
majukumu ndugu ila naweza kukwambia kitu kimoja kwa matokeo haya
ana div ya 33 na D za bios na physics.
jaribu CBE, au college yeyote inayoanza na certificate hope atapata then anasoma hiyo certificate kwa mwaka mmoja
maana kwa sasa awezi tena kureseat form saa hizi atakuwa kachelewa option iliyopo kwa sasa jaribu hiyo nenda CBE au TIA,IFM kama uko dar kama uko mikoani sio shida pia kuna vyuo kama ST.JOHN UNIVERSITY(DODOMA) wanatoa certificate pale,chuo cha serikali za mitaa hombolo-dodoma jaribu kuliiuza utaratibu wake ila kiukweli huyu anaweza aanza na certificate level halafu diploma
anaweza soma certificate ya procurement ,accounting,human resources,IT ,
naomba nenda kwenye hivi vyuo au tembela website zao angalia vigezo vya certificate then uangalie utaratibu wa wa yeye kujiunga hope tuko pamoja
 
shukran sana mkuu ila tatizo ni kwamba kwa pass hii kwl wanaweza kumchukua au mpaka u2mie mkono mrefu ndo upate chance? Anachotaka yy asome ktk vyuo vya uuguz kwan kuna mwenzake yy alipata chuo cha uuguz mwaka jana alifaulu bios d na kisw d yaan alikuwa na 4 ya 33 cha ajabu amepata chuo. Je yy anaweza kupata or atumie njia nyngne kupata hyo chance? Samahan mkuu usichoke kutujuza.
 
shukran sana mkuu ila tatizo ni kwamba kwa pass hii kwl wanaweza kumchukua au mpaka u2mie mkono mrefu ndo upate chance? Anachotaka yy asome ktk vyuo vya uuguz kwan kuna mwenzake yy alipata chuo cha uuguz mwaka jana alifaulu bios d na kisw d yaan alikuwa na 4 ya 33 cha ajabu amepata chuo. Je yy anaweza kupata or atumie njia nyngne kupata hyo chance? Samahan mkuu usichoke kutujuza.
mkuu uko maeneo gani ya tanzania?
kuhusu uuguzi anaweza kupata jaribu kufatilia vyuo vya UUGUZI maeneo ya karibu uliyopo na unaweza bila kutumia mkono wowote au anaweza muuliza mwenzake alitumia utaratibu gani..?
 
Maganga wa Ukweli,
samahani kwenye harakati za
kutaka binti yangu apunguze makali ya kwenda huko mafinga
nilikuwa nimemwombea uhamisho kwenda Machame girls.

akiwa ameshakwenda mafinga,
amefanikiwa kupata ule uhamisho.

lakini nataka abaki kule kule mafinga hii ni kutoka na
kwamba ada nilishalipa na hela ya mahitaji yote ya shule nilishalipa,
hivyo kwa hii hali ngumu sioni kama kuna uwezekano wa kupata tena pesa.
je hapa nifanyeje mkuu.
 
Maganga wa Ukweli,
samahani kwenye harakati za
kutaka binti yangu apunguze makali ya kwenda huko mafinga
nilikuwa nimemwombea uhamisho kwenda Machame girls.

akiwa ameshakwenda mafinga,
amefanikiwa kupata ule uhamisho.

lakini nataka abaki kule kule mafinga hii ni kutoka na
kwamba ada nilishalipa na hela ya mahitaji yote ya shule nilishalipa,
hivyo kwa hii hali ngumu sioni kama kuna uwezekano wa kupata tena pesa.
je hapa nifanyeje mkuu.
mkuu kwani sasa yuko wapi ..?
i.kama ameenda mafinga na ulikuwa unafuatilia uhamisho kwenda machame girls anaweza kubaki huko mafinga jambo la msingi kuenda shuleni mafinga apate usajili... akipata usajili basi hatakuwa ngumu kwani akishapata namba basi anakuwa mwanafunzi wa huko mafinga na unaachana na machame kwani jina lake litabaki huko iringa na wizarani litapelekwa pia baraza la mitihani...hakikisha unaenda au unawasiliana na uongozi wa shule kuhakikisha mwanao amepata namba hapo mafinga na mambo yakae sawa asije akaonekana amesajiliwa sehemu mbili kwa sasa ni mapema sana unaweza tatua hii shida bila wasiwasi na bintiyo akasoma kwa raha
ii.kama mkuu wa shule ya huko mafinga atakataa kumpokea (kitu ambacho sifikiri) tena huyo binti yako nafikiri alternatives nyingine kama una stakabadhi za malipo(risiti) za ada tu . unaweza kuhama nazo maana hiyo ni shule ya serikali jambo la msingi ni ile michango mingine ya shule hiyo utakuwa una ujanja inabidi ulipe michango utakayo kutana nayo machame...

kama ulikuwa na sababu ya msingi ya kumhamisha mwanao kwenda machame hili ni jambo la msingi sana kuliko hizi gharama ....
 
Asante sana kwa ushauri wako,

kwa sasa yuko mafinga.
na sitamhamisha hapo tena,
kweli nitawasiliana na mwalimu mku ili
aweke mambo vizuri huo mafinga.

asante mkuu kwa ushauri wako.

mkuu kwani sasa yuko wapi ..?
i.kama ameenda mafinga na ulikuwa unafuatilia uhamisho kwenda machame girls anaweza kubaki huko mafinga jambo la msingi kuenda shuleni mafinga apate usajili... akipata usajili basi hatakuwa ngumu kwani akishapata namba basi anakuwa mwanafunzi wa huko mafinga na unaachana na machame kwani jina lake litabaki huko iringa na wizarani litapelekwa pia baraza la mitihani...hakikisha unaenda au unawasiliana na uongozi wa shule kuhakikisha mwanao amepata namba hapo mafinga na mambo yakae sawa asije akaonekana amesajiliwa sehemu mbili kwa sasa ni mapema sana unaweza tatua hii shida bila wasiwasi na bintiyo akasoma kwa raha
ii.kama mkuu wa shule ya huko mafinga atakataa kumpokea (kitu ambacho sifikiri) tena huyo binti yako nafikiri alternatives nyingine kama una stakabadhi za malipo(risiti) za ada tu . unaweza kuhama nazo maana hiyo ni shule ya serikali jambo la msingi ni ile michango mingine ya shule hiyo utakuwa una ujanja inabidi ulipe michango utakayo kutana nayo machame...

kama ulikuwa na sababu ya msingi ya kumhamisha mwanao kwenda machame hili ni jambo la msingi sana kuliko hizi gharama ....
 
mwanao anaweza akaanza chuo chochote katika ngazi ya diploma maana ana D nne pamoja na C moja.. usimkatie tamaa mkuu bali mpe moyo na mwambie azidi kukazana.. life is a race and inampasa a run fast enough ku reach out the goalz
 
samahan mkuu,naomba msaada wako tafadhali nina D 8 na F1 ya history nilikuwa comb. ya science.keshokutwa alhamis naenda shule nachukua comb. ya EGM SASA je,nitaresit masomo mangap na je, mtu unaporesit halafu ukaja kupata aidha D au F ktk yale masomo uliyoresit unaweza kuendelea na form six na je, unaweza kufanya national exams ya form six..Tafadhali mkuu nisaidie.
 
samahan mkuu,naomba msaada wako tafadhali nina D 8 na F1 ya history nilikuwa comb. ya science.keshokutwa alhamis naenda shule nachukua comb. ya EGM SASA je,nitaresit masomo mangap na je, mtu unaporesit halafu ukaja kupata aidha D au F ktk yale masomo uliyoresit unaweza kuendelea na form six na je, unaweza kufanya national exams ya form six..Tafadhali mkuu nisaidie.
ukweli ni kwamba ili uweze kuwa eligible kufanya mitihani wa kidato cha sita(ACSEE) lazima uwe na principal pass ambazo (either A,B OR c) tatu kwa hiyo basi yawezekana ukawa na CCC AU AAA , AU BBB au combination ya hizo tatu kwa matokeo yako kwa kweli huwezi kufanya mtihani wa kidato cha sita mpaka utakapo reseat kama unavyofanya na kupata credit tatu yaani C TATU AU MATOKEO MAZURI ZAIDI YA HAYO KAMA NILIVYOAINISHA JUU kwa hivyo basi jambo la msingi na uSHAURI wangu kwako kwa kuwa umeshajiunga na form five kwa sasa NAOMBA JIKITE SANA NA RESEAT SUBJECT MAANA HUWEZI KUFANYA MTIHANI WA A-LEVEL BILA CREDIT TATU ..
NAJITAHIDI SANA KABLA UJAFIKA FORM SIX UWE UMEPATA HIZO CREDIT VINGINEVYO ITAKUGHARIMU SANA
 
Daah...Nashukuru sana kwa ushauri wako bro,ila sio siri umenitisha kwa kweli kwamba inaweza ikanigharimu huko mbele..cha msingi tuombe mungu ingawa kwa kweli sikufanya chaguo sahihi.
usiogope kamanda ila kwa njia uliyochagua yakupasa KUKOMAA kweli kweli
 
brthr kwnz nakupngeza kwa topc,ushaur na mwongzo unao2pa.Mimi nilimaliza 4rm 4 nikapata d 3 je kuna uwezekan wa mm kuendlea na chuo ?na kama inawezekanana ni vyuo vp cy nilishajarb cbe na ifm lakn ilishndkan xo naomb ushaur wako iki nipate mwnghozo ni hayo 2
 
Matokeo yako yalikuaje in terms of grades.
brthr kwnz nakupngeza kwa topc,ushaur na mwongzo unao2pa.Mimi nilimaliza 4rm 4 nikapata d 3 je kuna uwezekan wa mm kuendlea na chuo ?na kama inawezekanana ni vyuo vp cy nilishajarb cbe na ifm lakn ilishndkan xo naomb ushaur wako iki nipate mwnghozo ni hayo 2
 
nilipata 4 ya 32 kweny shule moja ya kata alf huwaga najiuliza hiv hawa necta wanasahishaje coz unakûta m2 anauwezo mzur lakin majb yanapokuja yanakuwa ya tofaut xa cjui ni kwa sabab ya shule za kata at vp alf ningeomba mwongozo wako wa jnc ya kupm coz kuna ki2 ni prvat na ningependa kukushrkisha ili nipat mawazo kutoka kwako Ahsant kwa ushirikiano wako . on m
 
nilipata 4 ya 32 kweny shule moja ya kata alf huwaga najiuliza hiv hawa necta wanasahishaje coz unakûta m2 anauwezo mzur lakin majb yanapokuja yanakuwa ya tofaut xa cjui ni kwa sabab ya shule za kata at vp alf ningeomba mwongozo wako wa jnc ya kupm coz kuna ki2 ni prvat na ningependa kukushrkisha ili nipat mawazo kutoka kwako Ahsant kwa ushirikiano wako . on m
huko IFM NA CBE ULIOMBA CERTIFICATE AU DIPLOMA MAANA mimi navyofahamu kwa matokeo yako unaweza kupata nafasi kwa certificate ...
jinsi ya kupm kuna namna mbili kama unatumia simu unapita hii njia HOME-SETTINGS-PRIVATE MESSAGE-THEN NI INBOX
HALAFU KAMA UNATATUMIA PC-COMPUTER-HOME- SETTINGS - SEND MESSAGES
 
Back
Top Bottom