Forex training regional tour - mkoa mmoja baada ya mwingine

Forex training regional tour - mkoa mmoja baada ya mwingine

Swali gumu sana ila mwandiko wake tu nahisi hayuko sawa, mtiririko wa hoja na mpangilio wake vinaashiria kitu! Let me give you a benefit of doubt!!
huyo ni kilaza level ya phd, kuandika tu hajui ndio ataelewa forex ni nini.
 
View attachment 606325 hii ni screenshot yangu ya mapema Leo. Hesabu yangu hii ya kulaza kila siku ninapopata nafasi ya kutrade hii hapa dola 100 ambayo ni sawa na 100×2300= 230000/= kwa Siku. Leo imezidi.

ONTARIO I tried it and it works. We are just paid by waiting patiently the screen to turn blue.

"I'm riiiiiiiich!!!" Screamingly
Mkuu umetumia capital gani kumake hicho kiasi?
 
Kama kawaida,
Kanda zote zinajikusanya na kujiandaa na gharika kuu ya TmT,
Hivyo wale tulioko maeneo ya Zanzibar huu ni uzi wetu kujiorganise, kutambuana pamoja na kupeana material yahusuyo Forex.

Mpaka sasa limeshafunguliwa group la whatsapp na kwa atakayehitaji atasema na atatumiwa link.

The Recipe For Succsess!
 
kajamaa ni kana FIKI kiwango cha Lami kime jaza thread za mafumbo mafumbo!!!

we mfatilie tu taratibu utaiona Ngozi yake halisi uyo jamaa wakujiita chasa
Sio akili yako bali kushikiwa akili. Hapo huambiwii chochote wala lolote na akili itakurudia baadae sana
 
Sio akili yako bali kushikiwa akili. Hapo huambiwii chochote wala lolote na akili itakurudia baadae sana
unajua we jamaa ni mnafiki sana tena sana achaga ujinga we ni mtu mzima kaa tuliza akili yako kama ni mafanikio kweny ujasiria mali dogo ame kupiga Gape kubwa
tena kubwa sana lakini kutwa kumu anzishia thread za kimafumbo na kumsema kama mwanaume si ufunguke tuu??

kwann usi jifunze kutoka kwake zaidi unacho kifanya ni kupita kwny nyuz zake na kutia shombo kama una fahamu lolote si useme na wap ume ona watu wame shikiwa akili zao?

kweny hii Forum ya biashara na uchumi ume jaza post nyng tu kuna nzuri za kuelimisha na kuna za waz waz za kumkashifu mwana kima fumbo mafumbo m nakuelewa vizur sana lakin unacho kifanya jua sio sahihi kama kuna kitu una jua Funguka apa as a man sio unavo fanya ww kina fiki!!!!
 
unajua we jamaa ni mnafiki sana tena sana achaga ujinga we ni mtu mzima kaa tuliza akili yako kama ni mafanikio kweny ujasiria mali dogo ame kupiga Gape kubwa
tena kubwa sana lakini kutwa kumu anzishia thread za kimafumbo na kumsema kama mwanaume si ufunguke tuu??

kwann usi jifunze kutoka kwake zaidi unacho kifanya ni kupita kwny nyuz zake na kutia shombo kama una fahamu lolote si useme na wap ume ona watu wame shikiwa akili zao?

kweny hii Forum ya biashara na uchumi ume jaza post nyng tu kuna nzuri za kuelimisha na kuna za waz waz za kumkashifu mwana kima fumbo mafumbo m nakuelewa vizur sana lakin unacho kifanya jua sio sahihi kama kuna kitu una jua Funguka apa as a man sio unavo fanya ww kina fiki!!!!
Ndugu unapoteza muda wako kujibishana nao ..hao ni kama kikundi wamejipanga
 
unajua we jamaa ni mnafiki sana tena sana achaga ujinga we ni mtu mzima kaa tuliza akili yako kama ni mafanikio kweny ujasiria mali dogo ame kupiga Gape kubwa
tena kubwa sana lakini kutwa kumu anzishia thread za kimafumbo na kumsema kama mwanaume si ufunguke tuu??

kwann usi jifunze kutoka kwake zaidi unacho kifanya ni kupita kwny nyuz zake na kutia shombo kama una fahamu lolote si useme na wap ume ona watu wame shikiwa akili zao?

kweny hii Forum ya biashara na uchumi ume jaza post nyng tu kuna nzuri za kuelimisha na kuna za waz waz za kumkashifu mwana kima fumbo mafumbo m nakuelewa vizur sana lakin unacho kifanya jua sio sahihi kama kuna kitu una jua Funguka apa as a man sio unavo fanya ww kina fiki!!!!
Siko hapa kushindana na yoyote. Na sikonhapa Kusifia mtu. Hahaha wewe lini utasifiwa?

Unashinda humu kusifia wanaume wenzako?

Ufala mkubwa sana jisifie wewe binafisi, tehe tehe Mke wako mwenyewe akijua unashinda kwenye mitandao kusifia wanaume atakukimbia.

Acha ufala mimi sishindani na mtu bali nashindana mwenyewe.

Pesa za mtu totote yule ni zake yeye naaisha yake na si zangu kwa namna yoyote ile.



Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom