For the lazy ass dudes

For the lazy ass dudes

weeh shindana kitambi na mkeo afu uone moto wake. mwanamke hata anone vipi bado analipa tuuu, shauri lako.

hata kidogo msijidanganye! mwanamke hata kama u mzuri vipi, ukishakuwa na kakitambi tu kiukweli una-bore mwanzo mwisho, hulipi hata tone! aargh mambo gani ya kuanza kuitafuta papuchi kwa tochi!
 
hata kidogo msijidanganye! mwanamke hata kama u mzuri vipi, ukishakuwa na kakitambi tu kiukweli una-bore mwanzo mwisho, hulipi hata tone! aargh mambo gani ya kuanza kuitafuta papuchi kwa tochi!

Duuuuh mmmmh mbona umekuwa hivi loh!napita tu
 
Vitambi ni janga la kitaifa linalohitaji kutengewa nguvu za ziada kabisa kawaelemisha watu, maana wengine wanajua ndo afya mpaka wanalemaa migongo kwa kujibidua ili nao waonekane wana kitambi... Ila uzuri wa kitambi ni kuwa tai inapata pa kulalia :loco:..
 
Jifunze kuweka title ya kistaarabu. Kila mtu akianza kuongea american english kutakalika?

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
*****, yani nilikuwa nimetoka gym nimeoga nimerest, baada ya kuiona hii thread, nikabadili nguo na kurudi tena kwa gym! maana lol nisije ambiwa siku hizi hunilabui tena vizuri! thanx my pal, atakayekuponda hajui umuhimu wa zoezi huyo!
Hahaaaa. Halafu nimekumisi ujue?
 
Vitambi ni janga la kitaifa linalohitaji kutengewa nguvu za ziada kabisa kawaelemisha watu, maana wengine wanajua ndo afya mpaka wanalemaa migongo kwa kujibidua ili nao waonekane wana kitambi... Ila uzuri wa kitambi ni kuwa tai inapata pa kulalia :loco:..

Sema wewe bro.
 
hata kidogo msijidanganye! mwanamke hata kama u mzuri vipi, ukishakuwa na kakitambi tu kiukweli una-bore mwanzo mwisho, hulipi hata tone! aargh mambo gani ya kuanza kuitafuta papuchi kwa tochi!

Hahahaaaa. Umeua Kamanda.
 
Hahahaaaa. Umeua Kamanda.

yan buddy unajua jana ulinirudisha gym mwenzio, nilikuwa nimetoka zangu gym nimeshaoga, kuingia JF nikaona huu uzi wako, ***** yan nilivua nguo nikavaa traki again, nikaingia gym ya home nikaanza kimbia kwa treadmill again....as umeandika kwa hisia sana ujue eeh!
 
yan buddy unajua jana ulinirudisha gym mwenzio, nilikuwa nimetoka zangu gym nimeshaoga, kuingia JF nikaona huu uzi wako, ***** yan nilivua nguo nikavaa traki again, nikaingia gym ya home nikaanza kimbia kwa treadmill again....as umeandika kwa hisia sana ujue eeh!

Hahahaa. Lols. Pole kwa kukurudisha gym.
 
Karucee,

Umeongea point sana. Working out be it in a gym or outside takes resilience and sacrifice. Watu hawataki mazoezi kwa kuwa hawataki pain na kuacha machakula ya kijinga. Mimi I work out at least 5 times a week. I do cardio on the treadmill for at least 45min I then do weights.At 6'3", 92kgs blood pressure yangu as of last week ni 120/80 na sukari ni 5.6. Namshukuru Mungu. Ila mazoezi ni wito.
 
Karucee,

Umeongea point sana. Working out be it in a gym or outside takes resilience and sacrifice. Watu hawataki mazoezi kwa kuwa hawataki pain na kuacha machakula ya kijinga. Mimi I work out at least 5 times a week. I do cardio on the treadmill for at least 45min I then do weights.At 6'3", 92kgs blood pressure yangu as of last week ni 120/80 na sukari ni 5.6. Namshukuru Mungu. Ila mazoezi ni wito.
mkuu, am 5'9 n i weigh 187lbs, i do jogging 2-3 times a week (abt 2.5KM), sipoa hapo?
 
Back
Top Bottom