For the lazy ass dudes

For the lazy ass dudes

Mmmmmmmmmh!

MI NAOMBA KUKAZIA HAPO HAPO UNADE WA KINA LAZY BILLY!!!!!!!!! Wanaume wengi hususani WASOMI mnanisikitisha sanaaaaaaaa siku hizi. Mwanaume over 25 UNA MASTERS UNAOMBA OMBA HELA NYUMBANI/DEMU/WASHKAJI!!!!!!! Tufiakwaaaaaaaaaaa! Na elimuyako yote JUUUUUUU! It is simply OUTRAGEOUS!

Sawa HUJABAHATIKA KUAJIRIWA, ila sio ndo iwe LIFESTYLE! Kila siku wakalia nimeapply BOT, EWURA, GAPCO, sasa kuapply HOW DOES IT HELP YOUR FINANCIAL SITUATION? Na unajijua kabisaa P.O.BOX ya kufayiwa mchongo pande hizo HUNAAAAAAAAA!!!!!!!! Mwanaume unaishi kwa MIZINGA hadi washkaji WANAKUKWEPA!!!!!!!!!!

Kuchanika kwa jamvi SIO MWISHO WA MANGEZI! Sawa umesoma hujabaatika kuajiriwa, SO WHAT? Utakaa unangojea ajira milele na umri ndo unakutupa mkono.? Hata DILI za kimjinimjini zinakushinda kupiga ukae mjin kwa jeuri? REALLY? Hata kusema nichukue jiko apa niuze nyama, supu, na viazi kidogo, Ahaaaaaaaaa! WE MTHOMI BANA! Wakati kila wiki usingekosa kilo 2 au 3. Hata kuingia kariakoo udalalie mali, ahaaaaaaaaaa! We mthomi bana! Hata kuwa dalali wa nyumba basi, aaaaaaah! Mthomi wewe tenaaaa? Chukua mazao shamba huko, akuuuuuuuuu! Hio kazi ya layman.

MWANAUME SIO OFISI, MWANAUME WALLET! Wake up dudes! Mimi nimechoka jamani! Ukimpata msomi ujifuze kujibajet ndani ya huo mshahara ake milele na milele! They never think outside the box! WASIOSOMA SAIVI NDO WANACONTROL UCHUMI WA JIJI! It is so disappointing! Ukikaa na msomi anawaza KUKOPA anunue gari, na illiterate wa karakoo anawaza LINI ATASHUSHA COMMERCAL BUILDING even if it is the last thing he does before dying!

LAZY BILLY muace kutumia kisingizio sjaajira ndo maana sijatoka kimaisha! UKIWA NA 500,000 UKASINDWA KUIZUNGUSHA UPATE 550,000 BASI HATA UKIWA NA 50M HUTOWEZA KUIZUNGUSHA IZAE!

Nothing I can add up more
Ndo pale MTU unaambiwa utifauti Wa kusoma na kuelimika hapo
 
Karucee mi tangu nisome literecha kuwa kupiga bao moja ni sawa na kutembea km ngapi sikumbuki. .. sina haja ya mazoezi ya kwenye vumbi...lol
 
Last edited by a moderator:
Nina kitambi cha kishikaji ila ***** kila demu ninayegonga lazima ajikande maji moto nakamua n.y.e.g.e zote mpaka papuchi inakuwa kavu.Wengi wanaishia kusema siamini kama ni wewe unavyoonekana na mambo yako tofauti kabisa.Siendi gym wala nini chumba changu ni gym tosha.Kitimoto siwezi acha.

Nadhani the thing z not kwenda gym ishu ni how to maintain the body structure n mostly pumzi so unaweza kutumia chumba chako vizuri zaiid I ya gym but only if u know mazoezi
 
weeh shindana kitambi na mkeo afu uone moto wake. mwanamke hata anone vipi bado analipa tuuu, shauri lako.
Don't point ur finger at guys only,when it comes to gym issues even u ladies should put dis into very high consideration.Nowdays most ladies are developing huge bellies like preg hipo,no dieting no gym,just eating everything before sight.
 
Don't point ur finger at guys only,when it comes to gym issues even u ladies should put dis into very high consideration.Nowdays most ladies are developing huge bellies like preg hipo,no dieting no gym,just eating everything before sight.

We always point fingers to women so I guess u can feel the feeling they always get when we point fingers to their vitambiZ n everything plus uchafu na uzembe so usiamishe topic acha watuseme leo
 
If you are fit buddy then big up.
Karucee mi tangu nisome literecha kuwa kupiga bao moja ni sawa na kutembea km ngapi sikumbuki. .. sina haja ya mazoezi ya kwenye vumbi...lol
 
Last edited by a moderator:
If you are fit buddy then big up.

I was just jokin... mazoezi muhimu hasa ya kujenga pumzi, sio kwa wanaume tu hata wanawake. Niliwahi kutoa stor humu ya mke wa mtu alikuwa amfie mume wa mtu kitandani kwa gwaride la dakika 10 tu.
Karucee unapatikana wap tuanzishe fit club?
 
I was just jokin... mazoezi muhimu hasa ya kujenga pumzi, sio kwa wanaume tu hata wanawake. Niliwahi kutoa stor humu ya mke wa mtu alikuwa amfie mume wa mtu kitandani kwa gwaride la dakika 10 tu.
Karucee unapatikana wap tuanzishe fit club?

Natamanije nipate mwenzangu tu jog asubuhi?? Doing it alone aint fun, plus most times najikuta nimesogea grocery kwa kukosa discipline!
 
Sanaaaa. Shkamoo.


Hongera sana....

Ila kuna wadogo zako kibao nao siku hizi kama wako kwenye second trimester wakati wote....Naomba uwakumbushe kwenda gym pia...sawa??

Mie nilishatangulia kitambo..lol!!

Babu DC!!
 
Natamanije nipate mwenzangu tu jog asubuhi?? Doing it alone aint fun, plus most times najikuta nimesogea grocery kwa kukosa discipline!

Mara nyingi kuanza ni rahisi but in less than a week mtu unajikuta ushaacha. Kuna kipindi ilibidi tuanzishe fit club, mtu akikosa bila prior information ya at least 3 days... elfu 5. Niliteseka but ilinisaidia sana
 
Mmmmmmmmmh!

MI NAOMBA KUKAZIA HAPO HAPO UNADE WA KINA LAZY BILLY!!!!!!!!! Wanaume wengi hususani WASOMI mnanisikitisha sanaaaaaaaa siku hizi. Mwanaume over 25 UNA MASTERS UNAOMBA OMBA HELA NYUMBANI/DEMU/WASHKAJI!!!!!!! Tufiakwaaaaaaaaaaa! Na elimuyako yote JUUUUUUU! It is simply OUTRAGEOUS!

Sawa HUJABAHATIKA KUAJIRIWA, ila sio ndo iwe LIFESTYLE! Kila siku wakalia nimeapply BOT, EWURA, GAPCO, sasa kuapply HOW DOES IT HELP YOUR FINANCIAL SITUATION? Na unajijua kabisaa P.O.BOX ya kufayiwa mchongo pande hizo HUNAAAAAAAAA!!!!!!!! Mwanaume unaishi kwa MIZINGA hadi washkaji WANAKUKWEPA!!!!!!!!!!

Kuchanika kwa jamvi SIO MWISHO WA MANGEZI! Sawa umesoma hujabaatika kuajiriwa, SO WHAT? Utakaa unangojea ajira milele na umri ndo unakutupa mkono.? Hata DILI za kimjinimjini zinakushinda kupiga ukae mjin kwa jeuri? REALLY? Hata kusema nichukue jiko apa niuze nyama, supu, na viazi kidogo, Ahaaaaaaaaa! WE MTHOMI BANA! Wakati kila wiki usingekosa kilo 2 au 3. Hata kuingia kariakoo udalalie mali, ahaaaaaaaaaa! We mthomi bana! Hata kuwa dalali wa nyumba basi, aaaaaaah! Mthomi wewe tenaaaa? Chukua mazao shamba huko, akuuuuuuuuu! Hio kazi ya layman.

MWANAUME SIO OFISI, MWANAUME WALLET! Wake up dudes! Mimi nimechoka jamani! Ukimpata msomi ujifuze kujibajet ndani ya huo mshahara ake milele na milele! They never think outside the box! WASIOSOMA SAIVI NDO WANACONTROL UCHUMI WA JIJI! It is so disappointing! Ukikaa na msomi anawaza KUKOPA anunue gari, na illiterate wa karakoo anawaza LINI ATASHUSHA COMMERCAL BUILDING even if it is the last thing he does before dying!

LAZY BILLY muace kutumia kisingizio sjaajira ndo maana sijatoka kimaisha! UKIWA NA 500,000 UKASINDWA KUIZUNGUSHA UPATE 550,000 BASI HATA UKIWA NA 50M HUTOWEZA KUIZUNGUSHA IZAE!

Asante Sana. Hapo umenisema Mimi kabisa. Ntajirekebisha...
 
Habari zenu ndugu zanguniiii. Leo nimeamka na nyinyi wanaume ili tuwekane sawa kidogo.

Sasa basi, unaamka asubuhi, you hope into your car and off to your air- con office where you sit all day. Its good that you manage to pay your bills and your family is well taken care of but dude please!!! Ukitoka kazini unapita pub unaanza moja mbili za kutafutia usingizi, nyama nyama then unaenda home kulala. Seemingly nothing wrong.


But looking again, everything is wrong. You are a lazy bum and a disgrace!

Wanaume wa Bongo hii mumezidi uvivu. Hamjipendi. Hamna muda wa kufanya mazoezi. Mnawaza mibia tu na mitotozz. Mnanenepeana, there are fewer good looking guys to look at each day.

Siku moja moja wekageni magari pembeni mtembee kidogo. Kwenye 6*6 pumzi hamna. Ule mwendo wa kujesemea mtoto wa kike wakati wa kujiswafi ' leo ***** zangu nimelabuliwa' hamna tena. Mukiwa juu mutatuuwa na mipumzi, sie tukiwa juu twaogopa kesi ' he died from a heart attack'. Tumechoookaaaaa.

Ingieni gym. Amkeni mapema rukeni kambaaaa. A fit man is very appealing. I can tell a good ---- from the way he walks. Wajameni jipendeniiiii. Mi bia wekeni pembeni.

Haya mumenisikia mie Karucee. Nuneni but do get your lazy bums moving.

Bora uwaambie dada yangu..........

yaani mimi hamna kitu kinaniudhi km kumkuta kijana under 40 yrs hlf anamkitambi juu.........

aaaaaaaaagh! hata bila GYM uani au barazani panatosha kuruka kamba , kichura chura , pushups na mazoezi ya tumbo........

ukiona unapenda sana kulewa tumieni vilevi vya kukausha mwili like Granys , nyagi , viroba etc.........

hlf na mambo yetu ya 6*6 ni mazoezi tosha kama unajua kupiga shughuli pevu.
 
Back
Top Bottom