Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 2,100
- 2,708
Chanjo siyo salama. Hiyo naona kwamba
sasa hivi ndiyo chanzo hizi siyo salama.
Maneno yanasemwa kama vile" more people dying of the vaccine than from covid 19"
Kwa nini hawa watu ,ambao most probably walikuwa wanajua mambo haya toka zamani,wanayazugumza sasa?
Wanavyosema ni kwamba,yaani utafiti unaonyesha ,children are not in great danger from covid. Watu chini ya miaka 65 nao pia hawako katika hatari kubwa ya kufa kwa covid.
Certainly Serikali isiseme kwamba itawalipa fidia watu wanaodhurika na chanjo. Kwa sanabu hao wadhalimu wameanza kutajana kuhusu madhara ya chanzo.
Matatizo ya chanzo ni mengi sana. AIDS ,kwa mfano,ililetwa huku ( sud-haran Africa)miaka ya sabini katika chamjo ya smallpox.
sasa hivi ndiyo chanzo hizi siyo salama.
Maneno yanasemwa kama vile" more people dying of the vaccine than from covid 19"
Kwa nini hawa watu ,ambao most probably walikuwa wanajua mambo haya toka zamani,wanayazugumza sasa?
Wanavyosema ni kwamba,yaani utafiti unaonyesha ,children are not in great danger from covid. Watu chini ya miaka 65 nao pia hawako katika hatari kubwa ya kufa kwa covid.
Certainly Serikali isiseme kwamba itawalipa fidia watu wanaodhurika na chanjo. Kwa sanabu hao wadhalimu wameanza kutajana kuhusu madhara ya chanzo.
Matatizo ya chanzo ni mengi sana. AIDS ,kwa mfano,ililetwa huku ( sud-haran Africa)miaka ya sabini katika chamjo ya smallpox.