Follow Me If You Can!

Follow Me If You Can!

Ni ujinga nakukaribisha lunch alafu unagoma wakati una njaa............"aisee Jaguar chalii angu karibu msosi aisee"
 
ni ujinga kudhani eti ccm haitashinda kiti cha uraisi ktk uchaguzi wa 2015!!
 
Ni ujinga nakukaribisha lunch alafu unagoma wakati una njaa............"aisee Jaguar chalii angu karibu msosi aisee"
Duh!hata kama nimeshiba naja mkuu,thanx in advance!
 
N ujinga kuharibu hewa mbele ya umat wa wa2 wengi.then unajifanya unashka pua.
 
Ni ujinga kutoa sadaka kanisani wakati padri hajatoa!
 
Ni ujinga ku-force kumaliza sahani nzima ya chakula wakati umeshiba.
 
Ni ujinga kung'ang'ania wanao wasome shule kwa tabu wakati pesa unazo eti kisa wewe enzi zako za utoto ulisoma shule kwa shida!
 
Ni ujinga kimba-"bibi yangu kigeugeu"wakati huna bibi
 
ni ujinga kuisifia serikali iliyopo madarakani wakati unaona inakunyonya kama watu wanao isifia CCM...! yani ninakereka kweli na hii ni kweli yani hata jamaa ukiwaangali ni kama wajinga yani..!
 
Ni ujinga kung'ang'ania wanao wasome shule kwa tabu wakati pesa unazo eti kisa wewe enzi zako za utoto ulisoma shule kwa shida!

jaguar ni ujinga sana kwa madingi wanaojisifu kua walikua wanashika namba moja wakati walivyokua wanasoma na wakati walikua vilaza..! yani mioyo yao inawasuta wakati wanapokua wanasema hayo maneno yani..!
 
ni ujinga kujifanya humsikii mtu eti kwasababu umeweka earphone kwenye masikio.. kumbe unasikia kila kitu..! ila unapoitwa na demu unajikuta unasikia fasta..! huu ni ukuda kabisa yani..!
 
ni ujinga kujifanya humsikii mtu eti kwasababu umeweka earphone kwenye masikio.. kumbe unasikia kila kitu..! ila unapoitwa na demu unajikuta unasikia fasta..! huu ni ukuda kabisa yani..!
Tell 'em mr.driller!
 
Ni ujinga kuwadanganya watu umefungia funguo ndani wakati kufuli lenyewe ni SOLEX,unafunga ndo unachomoa funguo.
 
Ni ujinga kununua vcd ya 6 in 1 wakati wewe ni shabiki wa Man u..pumbaaaav ww!!
 
Ni ujinga kumwonea huruma mtu anayepata mateso katika movie wakati si kweli,anaigiza tu!
 
Back
Top Bottom