ZeMangi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 436
- 33
nilikuwa natafuta mjinga kumbe na ww ni mjingaKhaaa vcd ya 6 in 1 sijawahi kuiona.
nilikuwa natafuta mjinga kumbe na ww ni mjingaKhaaa vcd ya 6 in 1 sijawahi kuiona.
nilikuwa natafuta mjinga kumbe na ww ni mjinga
N ujinga kuharibu hewa mbele ya umat wa wa2 wengi.then unajifanya unashka pua.
Ni ujinga kutafisiri wildlife kama wanyamapori kwa kiswahili; wildlife kwa kiswahili ni viumbepori (wanyama na mimea pori kwa pamoja).
Ni ujinga kumuwaza dem wa rafiki yako
unatokea SUWA nin.. Au BAKITA..?!
Kama ni hvyo ni ujinga na zaidi ya ujinga..
ni ujinga kuwa mroho,mlafi na tamaanaona huo kama sio ujinga bali ni UROHO,ULAFI NA TAMAA MBAYA..
Ni ujinga kujidai kwa kusema,"sisi wachaga tumeendelea,tuko juu",wakati wewe binafsi ni hohehahe wala huna dira ya maisha,teh teh teh,take it easy,i'm just joking!Ni ujinga kila siku unadhani unawaponda wachaga kumbe unazidi kuwa kuzia jina.