Ni ujinga kuchagua CDM wakati na wao wana uchu wa madaraka km walivyo CCM
Ni ujinga kijana mdogo kushabikia siasa na kuumizana kwenye vurugu za siasa wakati mgombea ataeingia madarakan hatakutambua
Ni ujinga wanafunzi wa chuo kikuu kushawishiwa na CDM kufanya vurugu eti wapigania haki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.