William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- Thread starter
- #21
- Jamani hivi kweli ninahitaji kusema zaidi, maana hapa kila kitu kinajisema chenyewe, Kabasele ya Mpanya Pepe Kalle RIP, chini kuna Emoro Attatche, kati kati ni kipenzi cha Marehemu Pepe aliyekua Atalaku wake na sasa ana bendi yake mwenyewe.
- Pepe Kalle marehemu, alikuwa mwanamuziki kutoka Zaire aliyefahamika sana hapa kwetu na aliwahi kutembelea sana Tanzania, yeye siku zote ndiye aliyekwua inspiration ya Jabali la Muziki yaani Marijani Rajab, kama unaukumbuka wimbo wa "Salama" basi utamuona Pepe Kalle kabisa katika kile kibao, ambaye mpaka kufa kwake alikuwa akioendesha bendi maarufu huko Zaire kwa jina la "Empire Bakuba", Mungu amuweke pahali pema peponi.
Respect.
FMEs!