FMES: Tuwakumbuke Wanamichezo Africa!

FMES: Tuwakumbuke Wanamichezo Africa!

FMES..Kuna jamaa anaitwa HALILA TONGOLANGA,jamaa alitamba sana na bendi ya Silent In Mwenge(bendi ya Jeshi-JWTZ) ambako alitoka na kibao kitamu kikiwa katika lugha ya kimakonde kiitwacho 'Kila Munu ave na kwao'

Baadae jamaa alitoka Silent In Mwenge akaenda Dar kuanzisha bendi ya Makondeko Six Band(Bendi ya hayati Dk Alex Halid) ambayo ilikuwa ikiburudisha katika ukumbi A class wa kipindi hicho wa MAKONDEKO uliokuwa maeneo ya Mbezi Luguruni

Kuna mtu anajua huyu jamaa(TONGOLANGA) yuko wapi wakati huu???,jamaa alikuwa na kipaji hasa
 
FMES..Kuna jamaa anaitwa HALILA TONGOLANGA,jamaa alitamba sana na bendi ya Silent In Mwenge(bendi ya Jeshi-JWTZ) ambako alitoka na kibao kitamu kikiwa katika lugha ya kimakonde kiitwacho 'Kila Munu ave na kwao'

Baadae jamaa alitoka Silent In Mwenge akaenda Dar kuanzisha bendi ya Makondeko Six Band(Bendi ya hayati Dk Alex Halid) ambayo ilikuwa ikiburudisha katika ukumbi A class wa kipindi hicho wa MAKONDEKO uliokuwa maeneo ya Mbezi Luguruni

Kuna mtu anajua huyu jamaa(TONGOLANGA) yuko wapi wakati huu???,jamaa alikuwa na kipaji hasa

- Huyu Mkulu, ninayo song yake moja kwenye my collection, lakini kwa sasa sina uhakika aliishia wapi, lakini for sure alikuwa mkali sana maana hata hii record yake niliyonayo bado mpaka sasa ni kali sana, nafikiri inapatikana hata kwenye JF Zilipendwa.

Respect.


FMEs!
 
Greatest%20Hits_Nyboma%20Mwandido.jpg

[FONT=Arial,Helvetica][SIZE=+1]
He, like myself, loves Lingala music, especially from what we both fondly call, the Lingala Decade; 1967 to 1977. On Saturdays, he comes in at noon and we sit down to talk music. Since both of us are teetotalers, we sip on Fanta's and hold in-depth discussions about the early days when Tabu Ley Rocherou sang for the late Dr. Nico on the magnificent, Kiri Kiri, a brief but beautiful song with great guitar work and smooth vocals. About Johnny Bokelo Isenge who gave us a long string of dance hits with such incredible work that you wondered how a human being could do that with his fingers.[/SIZE][/FONT] [FONT=Arial,Helvetica][SIZE=+1]

[/SIZE][/FONT]
360019.jpg

[FONT=Arial,Helvetica][SIZE=+1]
We talked about Kiamangwana Wazolamboga Mateta 'Verkys' who in 1969 produced the hit, Mfumbwa with his Veve that ushered in a new age of lengthy dance songs that utilized both sides of the 45 single. Verkys also formed the label, Editions Veve that brought forth a whole slew of with young talented artists.[/SIZE][/FONT]
[FONT=Arial,Helvetica][SIZE=+1]
In the early seventies, Orchestra Veve gave us such hits as Lukani, Baluti and Yanini. Baluti had a beautiful jazzy saxophone solo that blew my mind. Orchestra Lipua Lipua presented Nouvelle Generation, probably our most favorite song. It had great vocals, different solo bridges, excellent drum work and choruses. This was the beginning of a 'new wave' style that Lipua Lipua started with hits of cuts including Mbondo, Mombassa, and Temperature. Orchestra Kiam jumped on the dance wagon with a danceable style that utilized the guitar and did not use horns at all.

Songs like Moni Afinda and Mbale were classics but Memi is my favorite tune of theirs. Members of Lipua Lipua, mainly Nyboma Muandindo and Mulembu Tshibau and Kinzunga Ricos left to form Les Kamale, a band that featured Nyboma's sweet vocals as well as amazing guitar and drum work. Ngali, Ayi Djo and Abisinia are among their classic hits but Asana Muana Maua with its slow, smooth vocals is unforgettable.[/SIZE][/FONT]

VV197.jpg

[FONT=Arial,Helvetica][SIZE=+1]
Mulembu moved on to form Orchestra Fuka Fuka and produced the hit, Bitota[/SIZE][/FONT][FONT=Arial,Helvetica][SIZE=+1]while Nyboma advanced on to a successful solo career. Other notable bands included the Vangu brothers' Bella Bella which gave us Horoscope, Kumisa Ngai, Sola and the incredible Koko.

A young unknown called Kanda Bongo Man sang in Bella Bella before later on embarking on a very successful solo career. Orchestra Shama Shama gave us Okomi Kolangwa, Shama Shama and Pamaphi, danceable tracks with harmonies and extensive use of the high hat. Orchestra Mangelepa gave us Embakasi, Mimba, Mangelepa Kamili, Pambana Pambana and the delightful Kasuku. This was a good time band that resided in Kenya. Orchestra Super Mazembe gave us Shida, Mwana Mazembe, Kasongo and Amina. Orchestra Grand Piza produced Muana Maua and Mandalala. And Orchestra Sentima gave us Cetoyene and Bosoneli.[/SIZE][/FONT]

product-6576804.jpg

[FONT=Arial,Helvetica][SIZE=+1]
While these young bands were producing hits almost every week, stalwarts like Luambo Makiadi Franco who is the greatest African that ever lived and Tabu Ley along with Pepe Kalle, two giants, continued to produce remarkable music. Of course, there was a lot of wonderful music after 1977. Tabu Ley introduced Mbilia Bel, a remarkable woman with a wonderful voice and amazing style who could also dance. She boosted Tabu Ley's career and created her own.[/SIZE][/FONT]


BANA%205.jpg



[FONT=Arial,Helvetica][SIZE=+1]Respect.

FMEs!
[/SIZE][/FONT] <iframe id="widget0-frame" src="http://www.kentanzavinyl.com/Site//BANA_MOJA_files/widget0_markup.html" style="width: 100%; height: 100%;" marginheight="0" marginwidth="0" allowtransparency="true" frameborder="0" scrolling="no"></iframe>
<script type="text/javascript"><!--//--><![CDATA[//><!-- new Paste('widget0', 'Scripts/Widgets/HTMLRegion', 'Scripts/Widgets/SharedResources', '.', {"dotMacAccount": "tclifford1"}); //--></script>
 
FMES..Kuna jamaa anaitwa HALILA TONGOLANGA,jamaa alitamba sana na bendi ya Silent In Mwenge(bendi ya Jeshi-JWTZ) ambako alitoka na kibao kitamu kikiwa katika lugha ya kimakonde kiitwacho 'Kila Munu ave na kwao'

Baadae jamaa alitoka Silent In Mwenge akaenda Dar kuanzisha bendi ya Makondeko Six Band(Bendi ya hayati Dk Alex Halid) ambayo ilikuwa ikiburudisha katika ukumbi A class wa kipindi hicho wa MAKONDEKO uliokuwa maeneo ya Mbezi Luguruni

Kuna mtu anajua huyu jamaa(TONGOLANGA) yuko wapi wakati huu???,jamaa alikuwa na kipaji hasa


Huyu Bwana yupo na kundi fulani (nimesahau jina), bado wanaimba nyimbo za asili. Kwa sasa anajiita Field Marshall Tongolanga. Nashukuru kwa kulijua jina lake la mwanzo, asante sana.
 
0.jpg


Orch. Marquis Du Zaire: Wana Kamanyola, "Safari Yetu Mbeya".


b1.jpg


Chamudata mwaka 1988: hayati moses nnauye akipozi na baraza la kwanza la chama cha muziki wa dansi. aliyesimama shoto ni mama bishanga aliekuwa afisa utamaduni na wa pili shoto chini ni chifu shoghollo chali, katibu mtendaji wa baraza la sanaa la taifa akifuatiwa na sajini mstaafu wa polisi,

na mwenyekiti wa chamudata kassim mapili, mh. nnauye, mzee kaduma na juma ubao. nnaowakumbuka nyuma toka kulia ni mbuya makonga 'adios', ali jamwaka, mzee hozza na abel balthazar. wa tatu shoto juu ni mnenge ramadhan
i

Respect.


FMEs!
 
TAREHE 01/09/2007
HESHIMA KWA NYOTAZ WA ENZI ZAO
oldstar1.jpg
Enzi zao! Peter Tino akionekana pichani akitia saini mpira maalum ambao wachezaji wote wa zamani wa taifa stars walitia saini katika mpira huo ambao ulitolewa maalum na kampuni ya vifaa vya michezo vya AB sports. Kampeni ya mkutano huo uliofanyika Sea Cliff, ni moja ya kuwapa moyo wachezaji wapya wa taifa stars ili wafanye vizuri katika mashindano yao. Peter Tino alikuwa ni mshambuliaji hatari wa timu ya Pan Africa na vilevile alichezea taifa stars. Tino yupo kwenye vitabu vya historia baada ya kuifikisha bongo kwenye fainali za Afrika huko Lagos, Nigeria, mwaka 1981 kwa goli lake pekee alilowafunga Zambia. Kwa mbali nyuma, mwenye nyekundu, ni Ahmed Amasha ambaye alikuwa beki tatu hatari wa timu ya Yanga na taifa stars (aaaahh!! enzi hizo!) na baadaye alihamia Muscat, Oman kuchezea timu ya Fanja.
oldstar2.jpg
Peter Tino na Kitwana Manara
oldstar3.jpg
Peter Tino akisalimiana na makocha wa taifa stars. Kulia ni kocha wa vijana Tinocco, akifuatiwa na kocha wa viungo Ittamar na Kitwana Manara akishuhudia.
oldstar9.jpg
Kulia chini ni Sekilojo Chambua, Mwenyekiti wa Yanga, Imani Madenga na Makumbi Juma "homa ya jiji". Waliosimama ni Romario, Mohamed Hussein, Kombo na Abubakar Salum "sure boy".
oldstar12.jpg
Kushoto ni Juma Pondamali Mensah ambaye alikuwa Tanzania One wa enzi hizo. Kushoto ni Tanzania One wa sasa Ivo Mapunda
oldstar10.jpg
Mohamed Hussein "Mmachinga" akiwa na vijana wa taifa stars
oldstar13.jpg
Makocha wa taifa stars wakiwa na wachezaji wa zamani wa taifa stars. Kushoto waliosimama ni Othman Juma Chama, Sunday Manara, Mwankemwa (Daktari wa timu), Richard Adolf, Mtemi Ramadhan, Maximo, Mohamed Mkweche, Isihaka Hassan "Chuku", Ahmed Amasha, Ittamar, James Kisaka, Tinocco, Kitwana Manara na aliyekaa chini ni Juma Pondamali.
oldstar5.jpg
Kushoto ni mbunge wa Kinondoni mheshimiwa Iddi Azzan akiwa na bosi wa kampuni ya Easy Finance mheshimiwa Isaac Kasanga na mgunge wa Mafia na Abubakar Salum "sure boy".
 
Maestro Nyoka Longo: Icon Musician Zaire, Congo DRC.


u1_NyokaLongoNew2Rev.JPG


[FONT=Arial, Arial, Helvetica]
Zaiko_Japon.JPG
[/FONT]

- Maestro Nyoka Longo, kiongozi wa bendi ya Orch. Langa Langa, iliyotamba sana in the 80s na Early 90s, bendi ambayo anaiongoza mpaka sasa, ameimba vibao vingi sana hasa "Liwa Ya Moyimbi" kibao ambacho hakijachujuka mpaka leo.

Respect.

FMEs!
 
Le Sitwayeene Dindo yogo RIP: Icon Musician Zaire, Congo DRC.

[FONT=Arial, Arial, Helvetica]
ami_ya_bomwana3.jpg


[FONT=Arial, Arial, Helvetica]In 1991 Dindo Yogo left Zaïko to embark on a solo career that would last until his death. He has said that his reasons for leaving Zaïko were due to the jealousy that the other musicians felt following the success of his solo projects recorded whilst still part of the group. Dindo had originally requested a formal written contract with Zaïko allowing him the freedom to compose and release his own material.

The agreement was never ratified in print and it was only after achieving his solo successes that Zaïko then started pressurising him to sign a limiting contract. After leaving the group, albeit on fairly friendly terms, he put together a Kinshasa group of mostly unknown musicians that he called Nguaka Ayé, and on 10 August 1991 they performed their first concert.

The group was frequently augmented by older colleagues from the original Etumba na Nguaka but Dindo was financially unable to sustain the group. Like most band leaders Dindo would travel to Europe to record his discs using European based musicians. He would then return to Kinshasa where he could perform the material live with his Nguaka Ayé musicians.

It was during his frequent visits to Europe that he became an almost automatic choice as a guest vocalist by many artists recording their own sessions. Dindo Yogo, through the 1990s, became one of the kings of the "Nzong-zing", the super-session or impromptu performance. In some quarters he was accused of prostituting his voice and certainly some of the recordings he contributed to were by unknown and indifferent artists. He was merely trying to earn an honest living and, he claimed, gain more musical experience, by doing what he was best at.
[/FONT] <table border="0" cellpadding="4" cellspacing="4" width="100%"> <tbody><tr> <td width="100%">[FONT=Arial, Arial, Helvetica]His solo albums subsequent to leaving Zaïko Langa Langa represent some of the best Congolese music of the 1990s. In fact the group Nguaka Ayé, with its own dance rhythm "Ngebu Ngebu", deserved far greater success than they achieved.[/FONT]</td></tr></tbody></table>
Respect.

FMEs!
<table border="0" cellpadding="4" cellspacing="4" width="100%"><tbody><tr><td width="100%">[FONT=Arial, Arial, Helvetica] <!--mstheme-->[/FONT]
</td> </tr> </tbody></table><!--mstheme-->[FONT=Arial, Arial, Helvetica]
[/FONT]
[/FONT]
 
Shem Karenga: Legend Musician, Tabora Jazz Tanzania.

front%20photo.jpg


- Mkulu Shem Karenga enzi za Tabora Jazz, yaani Segere Matata na Segua Segua, na vibao kama "Asha", na "Dada Remmy". Baaadaye alijiunga na MK. Group, ila sijui kwa sasa yuko wapi?

Respect.


FMEs!
 
Mopero De Cavasha: Orch. Sham Shama Icon Musician, Zaire.




- The Late Mopero De Cavasha, huyu ndiye muanzilishi wa mtindo wa Cavasha, uliobadiki kabisa muziki wa East Africa in the end of 70s, alikuwa mmiliki wa maarufu sana huko Zaire ya Orch, Shama Shama na kibao cha "Viki" mpaka leo hakijachuja moto ni ule ule.

Respect.

FMEs!
 
Orch. Marquis Du Zaire: Wana Kamanyola, "Safari Yetu Mbeya".


b1.jpg


FMEs!

Kutoka kushoto, mzee wa pili aliyekaa ni Shogholo Challi ambaye alikuwa (sijui kama bado) katibu wa BASATA. Huyu mzee namkumbuka wakati nikiishi Korogwe, yeye na mkewe walikuwa walimu. Baadaye wote tukaja hamia Dar es slaam.

Naukumbuka sana wimbo wa "safari yetu Mbeya, tulifurahi saana.... Sikukuu ya Wakulima sabasaba ehh...."
 
Greatest%20Hits_Nyboma%20Mwandido.jpg

<IFRAME id=widget0-frame style="WIDTH: 100%; HEIGHT: 2.2%" marginWidth=0 marginHeight=0 src="http://www.kentanzavinyl.com/Site//BANA_MOJA_files/widget0_markup.html" frameBorder=0 scrolling=no allowTransparency></IFRAME>
<SCRIPT type=text/javascript><!--//--><![CDATA[//><!-- new Paste('widget0', 'Scripts/Widgets/HTMLRegion', 'Scripts/Widgets/SharedResources', '.', {"dotMacAccount": "tclifford1"}); //--></SCRIPT>
Huyu jamaa Nyboma ninamuhusudu sana kama mwimbaji ingawa bahati mbaya hasa kwenye wimbo wa Double Double aliouimba kama sikosei akiwa Kenya.

[ame]http://www.youtube.com/watch?v=_v0oGr4RQeM&feature=related[/ame]

Ila naona vijana wengi waliupenda na wakaamua kuuiga kinamna kama inavyoonyesha hapa chini.

[ame]http://www.youtube.com/watch?v=AMZjAgCZwyY[/ame]

Na mwisho huyu kijana Ex-Wenge au Wenge Reference kama sikosei akiitwa Manda Chante na yeye alikuja akakopi sehemu ya huo wimbo. Long live Nyboma.

[ame]http://www.youtube.com/watch?v=LtirsYpC1kw[/ame]
 
Mafumu Bilali: "Bombenga"



mpuliza saxi mashuhuri mafumu bilali bombenga 'supa sax' bado anatesa na bendi yake ya african bits kila alhamisi pale slipway. huyu ndiye aliyepiga mdomo wa bata kwenye nyimbo zote za dar intaneshno ya marijani rajabu.

- Wakuu mtamkubuka huyu Mafumu, kwenye nyimbo za Marijan kama 'Magreth", "Nyerere Baba Mlezi" na "Biligita". Baadaye alihamia Marquis kwenye vibao kama "Kiyongo" na "maiga"

FMEs!



Taratibu, Mzee.

Enzi za Dar international, Mafum Bilali ,alikuwa akipuliza trumpet.

Saxophone ilikuwa ikipulizwa na Mzee Michael Enock( King)

Michael Enock nilikuwa nikimuweka kundi moja na Kiamangwana.
 
Matalanza: Zairois Saxo Icon.

Sax.jpg


cds6864.jpg
<hr color="#cc6600">
FRANCO ET JOSKY KIAMBUKUTA DU T.P.O.K. JAZZ, the 1983 double-LP album culminating in the explosive hit "Missile," now ona single CD

- Mkulu Matalanza na yeye aliwika sana enzi za zamani za muziki wa Congolese, aliwahi kupiga kibao cha "Engunduka" akishirikiana na Verkys, pamoja na Johnie Bokelo, kabla ya hapo akishirkiana na Josky Kyambukuta LeCommandante na Mzee Lwambo, walipiga kwa pamoja kibao maarufu sana cha "Missile" na baadaye alianzisha bendi yake mwenyewe kwa jina la Orch. Engunduka.

Respect.

FMEs!
 
Taratibu, Mzee.

Enzi za Dar international, Mafum Bilali ,alikuwa akipuliza trumpet.


Saxophone ilikuwa ikipulizwa na Mzee Michael Enock( King)

Michael Enock nilikuwa nikimuweka kundi moja na Kiamangwana.

- Great Thinker vipi mpaka leo huelewi maana ya quote? Sasa naona hata kule kwenye viongozi nako umekurupuka bila kuelewa maana ya quotaion, maana yake ni kwamba yale sio maneno yangu, maneno yangu hayawekwi kwenye quote, kwa hiyo hayo ya Mafumu na Nkurumah alipofia, ni ya wengine ndio maana yamo kwenye quote,

- pole sana mkuu lakini muwe mnasoma vizuri kila alama ina maana yake! Bwa! ha! ha! Great Thinkers wengine bwana inachekesha kweli!


es!
 
Samuel Opoku Nti (born January 23, 1961 in [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Kumasi"]Kumasi[/ame]) is a former [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Ghana"]Ghanaian[/ame] football forward.

<table style="background-color: rgb(2, 16, 58); height: 145px;" border="0" width="100%"><tbody><tr class="caption" valign="middle"><td style="width: 190px;" align="center" valign="middle">
opokuntiS.jpg



</td><td class="caption">Samuel Opoku Nti
Special Advisor


Former Ghanaian Football Star
Runner-up for African Footballer of the Year 1983
Featured for Ghana Black Stars (1982-1992)
Former head-coach of African Football Club Zurich Switzerland


</td></tr></tbody></table>
AFC
Biography
He is generally considered to have been Ghana's top footballer in the early to mid 1980's; prior to the international advent of Abedi pele. Opoku Nti featured in Ghana's victorious 1982 African cup winning side as well as the unsuccessful 1984 squad; which was eliminated in the 1st round of the competition.

In the 1992 African Cup, he was controversially left on the substitutes bench for the majority of the tournament in favor of Mohammed Gargo, Stanley Aboraa and Nii Lamptey - all whom were considerably less experienced than Nti.

His nickname is "Zico", in honor of the Brazilian footballer and 1983 FIFA player of the year. In 1983 Opoku Nti, while playing for Asante Kotoko, finished runner-up for an African Footballer of the Year award. In 1985 the player moved to Swiss champions Servette FC.

After spending just one season with the club and falling out with the coach, Nti moved to Ottmar Hitzfeld's FC Aarau, where he spent the next three seasons, before moving to another Swiss side FC Baden.

Respect.

FMEs!
<table http:="" www.jamiiforums.com="" images="" smilies="" icon_cool.gif="" alt="" title="Cool" smilieid="23" class="inlineimg" border="0" width="200" height="25"><tbody><tr class="caption" valign="middle"><td style="width: 190px;" align="center" valign="middle">
</td><td class="caption">
</td></tr></tbody></table>
AFC
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom