FMES: Tuwakumbuke Wanamichezo Africa!

Blaise%20Bula.jpg


- Blaize Bula, another former Wenge BCBG na yeye ana bendi yake majuzi ametoa kibao kikali sana, "Balia ngando" saafi sana.

Respect.

FMEs!

Kuna habari zake nyingi wameandika kwenye hii site.
http://vibesdafrique.proboards.com/index.cgi?board=2&action=display&thread=798

Naona siku hiyo, jamaa zake wengi walikuja kumpa suport kama wanavyoonekana hapa kwenye picha. Hii vaaji yao imenikosha hasa ukimuangalia na yeye mwenyewe hiyo suruali na Mkanda, na kikofia na malizia MKUFU/MNYORORO wake uliowekwa KIKUFULI.

p1010039fn4.jpg
 

FMes,

Kuna wimbo nilikuwa sifahamu unaitwaje. Huyu jamaa alishusha Solo gitaa la Nguvu hadi sasa huu wimbo na miaka mingi kupita huwa naingia kwenye site na kuuzikiliza. Kama una MP3 yake basi ntaomba unishushie kwa anwani ya SIKONGE@GMAIL.COM. Hii inaweza kuwa member yeyote mwenye huu wimbo ukiwa na quality nzuri yaani Minimum 192kbps.

http://www.youtube.com/watch?v=gXiB...F11E5C6&playnext=1&playnext_from=PL&index=132

Wenge Musica - C'est Trop Tard Djenga

[ame="http://http://www.youtube.com/watch?v=Bxn947cE4IY"]http://http://www.youtube.com/watch?v=Bxn947cE4IY[/ame]

[ame="http://http://www.youtube.com/watch?v=Af6eV80ypAc&feature=related"]http://http://www.youtube.com/watch?v=Af6eV80ypAc&feature=related[/ame]
 
Joseph Kabasele: The Father of Zaire's Music. Congo DRC.







Congolese music changed forever after Joseph 'le Grand Kalle' Kabasele
started African Jazz in 1953. Kabasele
is seen as the father of
Congolese Rumba. Some huge stars made their fame playing with him, among

who guitar wizard Pascal Tabu
Nicholas 'Dr. Nico' Kasanda,Rochereau
and Cameroonian Saxplayer Manu Dibango. After Kabasele died in 1983,
the great Franco said; "Joseph Kabasele was the founder of Zairean
music and, although we were in competition, he made many things possible
for me."

This album on Productions Souk, has a poor cover which doesn't
give us a lot of information. The recordings are from early 60's.
.

Respect.


FMES!
 
Joseph Kabasele: The Father of Zaire's Music. Congo DRC.






Congolese music changed forever after Joseph 'le Grand Kalle' Kabasele
started African Jazz in 1953. Kabasele is seen as the father of
Congolese Rumba. Some huge stars made their fame playing with him, among
who guitar wizard Nicholas 'Dr. Nico' Kasanda, Pascal Tabu Rochereau
and Cameroonian Saxplayer Manu Dibango. After Kabasele died in 1983,
the great Franco said; "Joseph Kabasele was the founder of Zairean
music and, although we were in competition, he made many things possible
for me." This album on Productions Souk, has a poor cover which doesn't
give us a lot of information. The recordings are from early 60's probably,
if anyone can tell us more, please do. ( photo from Rough Guide )
HIVI HUYU NDIYE baba ake na ALLEN KABASELE wa akudo?
 
Papytex: Musician Icon Zaire, Congo DRC.


jik07.jpg
<table border="0" cellpadding="3" cellspacing="0" width="100%"><tbody><tr style="background-color: rgb(204, 102, 0); color: white; font-weight: bold;"><td colspan="2"></td><td>
</td><td>
</td></tr><tr> <td class="trkN">
</td> <td class="trsong">
</td> <td class="trsong">
</td> <td class="trsong">
</td> </tr><tr> <td class="trkN">
</td> <td class="trsong">
</td> <td class="trsong">
</td> <td class="trsong">
</td> </tr><tr> <td class="trkN">
</td> <td class="trsong">
</td> <td class="trsong">
</td> <td class="trsong">
</td> </tr><tr> <td class="trkN">
</td> <td class="trsong">
</td> <td class="trsong">
</td> <td class="trsong">
</td> </tr><tr> <td class="trkN">
</td> <td class="trsong">
</td> <td class="trsong">
</td> <td class="trsong">
</td> </tr><tr> <td class="trkN">
</td> <td class="trsong">
</td> <td class="trsong">
</td> <td class="trsong">
</td> </tr><tr> <td colspan="3" style="font-weight: bold; color: rgb(204, 102, 0); font-size: 10px;" align="right">
</td></tr></tbody></table>
 
Kanda Bongo Man


lg.php

<!-- Start Quantcast tag --> <script type="text/javascript"> _qoptions={ qacct:"p-54JT4Ioyi-32M", labels:"Entertainment.Music,Network.6767" }; </script> <script type="text/javascript" src="http://edge.quantserve.com/quant.js"></script> <noscript>
p-54JT4Ioyi-32M.gif
</noscript> <!-- End Quantcast tag --> <!-- end Undertone Ad Tag for INT05 - Medium Rectangle (300x250)-->



[SIZE=+3]Kanda Bongo Man[/SIZE] <!--DWLayoutTable--> <table align="center" border="1" cellspacing="6" width="777"><tbody><tr><td background="background.jpg" width="148" height="869" valign="top">
</td> <td class="profilebody" width="284" valign="top"> A very well-known vocalist, dancer and composer, Kanda was born in Democratic Republic of Congo. He grew up listening to the sounds of Grand Kalle, Franco and other great stars of that time and also enjoyed singing with his friends. When he was 18 years old he got the chance to sing in the Bella Mambo band alongside Soki Dianzenza. At one point Kanda and some other members left that band and formed Orchestre Bana Mambo in 1976. That band played for 2 years then Kanda decided to leave and live in Paris. While doing casual work to support himself he met a record producer and this resulted in his first album, Iyole. His next albums came in 1982 and 1985 entitled Djessy and Malinga respectively. Key musicians who played in Kanda's band include Diblo Dibala, Rigo Star and Miguel Yamba. Kanda and Diblo worked as a team together on many compositions but they have now gone separate ways. Some of Kanda's most popular songs being the now classics 'Sai', 'Muchana' and 'Jesu Christo'.
Internationally Kanda Bongo Man is the king of the highly infectious guitar-led Congolese soukous music. He is also responsible for his own special dance brand, known as kwassa kwassa. He first performed in Britain at WOMAD in 1983 and has been on numerous prestigious stages in United States such as Central Park and the

</td> <td width="307" valign="top">
KandaBongoMan.jpg
[SIZE=-1]
[/SIZE]

Reggae on the River festival in California. Other countries to which Kanda has taken his dance formula are Australia, Canada and South Africa. His songs are popular all over Africa as well.
Now based in Britain, Kanda has entertained audiences at the Royal Festival Hall, the Forum, Glastonbury, Liverpool, another appearance at WOMAD Reading in 2002, and on Jool's Hollands' Later ... on BBC2 TV. Most recently he was part of the 'Live 8 Africa Calling' event at the Eden Project in Cornwall in 2005 (see photo above).

Listen out for that melodious, lilting shimmering sound together with brilliant dancers, fashionable outfits and see trademark round-brimmed hat
worn by the one and only Kanda Bongo Man! Also visit the web site Kan
</td></tr></tbody></table>
 
Soki vangu: Zaire Icon Musician.

Artist : Orchestre Bella Bella Des Freres Soki

<table border="0"><tbody><tr><th>
soki-vangu_.jpg
</th><td>
</td></tr></tbody></table>


bellabella.jpg




Orchestra Bella Bella is a classic Congolese rumba group from the 1970s and 80s. They were formed in 1969 by the late Soki Vangu (Maxim Soki) and Soki Dianzenza (Emile Soki). The younger Soki brother, Emile, was only 16 at the time.


They went on to make many recordings during the early 1970s, playing alongside other rumba orchestras in the Zaire scene like Orchestre African Music and Orchestre Lipwa-Lipwa.



Pepe Kalle was one of their most well-known members, joining the band in 1972 for a brief stint. Future Congolese stars Kanda Bongo Man and Diblo Dibala also played with Bella Bella in the early 80s. There are currently three different five-volume "best-ofs" floating around, though I recommend the ones you can buy at Stern's.
Respect.


FMEs!

<table style="width: 679px; height: 771px;" border="0"><tbody><tr><th>
</th><td>
</td></tr></tbody></table>
 
Ahaa, wazee menikumbusha long kitambo, enzi hizo nipo mikoa ya kusini mwa Tanzania, station ya radion in RTD tu lakini unaweza kukamata Redio Malawi toka Lilongwe. Unasikiliza wanamuziki machacahri kama John Chibadula & TEMBO BROTHERS wa Zimbambwe.

[ame]http://www.youtube.com/watch?v=ctCNUyKL1uA[/ame]

[ame]http://www.youtube.com/watch?v=AtvXur8RSy0[/ame]








Kwassa-Kwassa - Empire Bakuba (aaaachaaa!)

[ame]http://www.youtube.com/watch?v=8fcQoCdt8IE&feature=related[/ame]

Namkumbuka sana Emoro
[ame]http://www.youtube.com/watch?v=oF_laWBXd2c&feature=related[/ame]
 
Miriam Makeba - R.I.P
[ame]http://www.youtube.com/watch?v=BHgKcPP6yK0&feature=fvw[/ame]
 
Bundesarchiv_Bild_183-N0618-0045,_Fu%C3%9Fball-WM,_Jugoslawien_-_Zaire_9-0.jpg


- Kazadi Mwamba, (Aliyeinama) mmoja wa makipa waliowahi kuwa maarufu sana katika Africa in the 70s, ingawa katika mechi moja kule kwenye World Cup ya mwaka 1974, ambako Africa kwa mara ya kwanza iliwakilishwa na Zaire, alilishwa magoli 9-0 na timu ya kocha wao kutoka Yugoslavia.

- Lakini bado alikuwa ni kipa imara sana, nafikiri kuna tuliokuwa wote enzi zile kwenye uwanja wa maonyesho ya Saba Saba, kwenye banda la West Germany, tulipojionea live hii michuano, hili banda lilikuwa pembeni mwa banda la Sheik Yahaya, ambapo na yeye alikuwa video za bendi ya Super Mazembe na Lipua Lipua na hasa kile kibao cha "Mfuweni" na "Seki Zengi" pale kwenye banda lake,

- Unajua enzi hizo bongo tulikuwa tumezimishwa sana na hawa wa-Congolese, I mean kila dogo alikua akijaribu kuonekana kama Boma Liwanza design hivi ndio unaweza kupata ujiko na mademu, ambao enzi hizo tulikuwa tunawaita ma-denish, ilikuwa lazima uweze kuuimba kama huu wimbo wote wa Mfuweni bila tatizo ndio kuonekana cool mbele ya ma-denish, ngoja niwape kidogo kile kibao cha mfuweni bado sijasahau:-

VVLP1007.jpg


"Nakangaki maboko oooh! mfuweni, elenga na zongi motema eyoo na soki lelo na zui mobali yo na zuata yeeeh tureee mama, Lipwa Lipwa bakobenga wapieeeh! ngo na kende kosala zambe ya sika, ohoyooo mauvi na ngoo Monrovia ngai na Sierraleona Abidjaaaann!

Nalingakanga tse nyoso leloo na zengi, na lingakanga mosika oyeeeh ya pembeni ngai pesaki eeeeh mama, ngai pesaaki eeeh! X 2."

Mbumbi Malanda: Ibrahima ohh mama aaah yoo zonga,

All: Ibrahima eeh zonga eeeh zonga loki na koyaa ooh! Yoooh mfweni yo zonga zonga lokisa ko yaoooh ooo!

Mbumbi: Motema na zonga lokisa tonnere yo zonga, motema na zonga lokisa ohh Nzaya yoo zonga, Mombasa ooh Vata na leliooh nzambe, ooh tikali moko ooh zalii Nzaya na betsi, eeeeh yeeeh zonga loki na leli yeeeeh!

All: eeenheee zonga loki na Monrovia, eeenheee zonga loki na Freetown, eenheee zonga loki na Abidjanii, eenheee zonga loki na Togo oooh!

Finishing All: Situpwee eenh eeh mama simandima! x 2

Mbumbi: Mama simandimaaaa eenhh, eeeeh Mombasa, eeenh Mombasa yeyehh! Nzaya Nzayadjyo, Nzaaaaya Nzayadjyo!

All: Situpweee eenh eeenh mama simandima!


- Bwa! haa! I mean this is hillarious, unajua ki-Congo kinapanda sana mpaka leo kwa sababu ya kushinda nao sana, yaani ngoma zote za wakati ule zinapanda aaahhhgrrr! lakini ilikuwa for really, naona siku hizi unatakiwa uwe mkali wa Rap hivi, au? Bwa! ha! yaani leo nimekumbuka mbali sana!

- Kesho nitalimwaga "Seki Zengi"

Respect.

FMEs!
 
Papa+Noel+Nono,+front.jpg



- Papa Noel naye pia ni another Icon wa muziki wa rhumba huko Congo, DRC, ambaye amewahi kuwa karibu sana na Mzee mwenyewe Massiyah Lutumba Simaroo, hasa walipokuwa pamoja na TP OK Jazz,

- Noel amewahi kupiga kibao kisichochujika kwa jina "Nalali na butu cherri", ambacho pia kilirudiwa na Lutumba Simaroo akishirikana na Madjamuana na pai walishirikiana wote kwenye kibao cha "Soweto".

Respect.


FMEs!
 
COSMAS CHIDUMULE:From secular to gospel music, Tanzania.



chidumule.jpg


COSMAS CHIDUMULE

TODAY as he walks the busy streets of Dar es Salaam, not many people recognise him. But for music enthusiasts of the 1980s and early 1990s, the name Cosmas Chidumule rings a bell. Since he became a born-again Christian way back on July 6, 1993, Chidumule, best known for his stint in those good old days with Mlimani Park Orchestra, has kept a low profile. He is no longer spotted in dance-halls and night clubs. Instead, he now devotes most of his time to taking part in crusades, fellowships and church services alongside his fellow gospel singers.

In an interview with THISDAY last week, Chidumule talked of a complete makeover, from beer-gulping and cigarette-chewing secular artiste to a demon-rebuking Jesus fanatic.
"When I made the decision to accept the Lord as my saviour, some people did not expect me to survive in that kind of a life style, but I've been able to do it without any problem," he says, smiling. "Before, I would spend hours in night clubs, but when I met Jesus he transformed me and as you see, I am now a God-fearing fellow. It is God who gave me inspiration that led to my change of heart," he adds.

The time Chidumule accepted God as his saviour, he still had commitments in dance-halls as he was a key member of Remmy Ongalla's Orchestra Super Matimila.
"I decided to leave dance music and sing for the Lord because I could not serve two masters at the same time. The devil is a liar and deceiver," he says. The gifted singer talked of emptiness in his life despite his successful career that had spanned two decades and recounted how he hooked his existence to the devil worship.

Only months after accepting the Lord as his saviour, he released his maiden album 'Yesu ni Bwana'.
Born in Songea District, Ruvuma Region but brought up in Tanga Region, Chidumule also remembers his experience in music before becoming a born-again Christian. His illustrious musical career dates back to the early 1970s when he joined Continental Africa band, whose base was in Songea, Ruvuma Region.

After a brief stint with the band, he left for Dar es Salaam to join Butiama Jazz band at the request of the band's proprietor Mustapha Mukwega, who was reportedly a close friend of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Nyerere.

"It was Mwalimu who gave him (Mukwega) music equipment. That's why he decided to name the band Butiama, which is Mwalimu's home village," recalls Chidumule.

In 1973, he parted ways with Butiama band and joined Wema Abdallah's Western Jazz band before crossing over to Urafiki Jazz band. 'Tausi Karuka' is one of the songs he composed while with the band.
His fairy-tale marriage with Urafiki Jazz band came to an end in 1978 when he joined Dar International Jazz band, where he teamed up with the late Marijani Rajab to release a number of hit numbers.
The songs include 'Rufaa ya Kifo', which propelled the band to the higher heights of success.

In late 1978, Chidumule and some of his colleagues were forced to call it quit after the band's proprietor opted to sell music equipment they had been using. After a brief self-exile, he joined Orchestra Mlimani Park.
But it was not until 1986 that his presence at Sikinde was noticed when he teamed up with Muhidin Gurumo, Maalim Kinyasi and Kassim Mponda, among others, to release a chart-bursting song 'Barua kwa Mama', which dominated local radio stations for years.
The other hit numbers he composed for Siknde include 'Naijibu Telegram', 'Pesa Siyo Dawa ya Penzi' and 'Tumetoka Mbali'.

In 1983, he left Sikinde to join Orchestra Vijana Jazz
. A year later, Sikinde suffered a blow when seven key musicians, including band leader Gurumo and Hassan Bitchuka, crossed over to Orchestra Safari Sound (OSS).
Sensing the danger of being overshadowed by other bands, the band's management asked Chidumule to rejoin the band. Its decision paid dividends as the absence of Gurumo and Bitchuka was never felt.

Only days after rejoining Sikinde, Chidumule composed an evergreen hit song 'Neema', which literally became a national anthem.
Later, he temporarily hang up his mike and travelled to Mahenge in Morogoro Region where he became a businessman, engaging in timber trade.m Later, he briefly hang up his mike before joining Orchestra Super Matimila, where he teamed up with Remmy Ongalla to release a number of hit numbers, including 'Mrema' and 'Narudi Nyumbani (remix)'.

"My greatest wish is that through music I can contribute to the happiness of the people and somehow be a beacon of hope that everything is possible if the Lord is willing," says Chidumule.
Chidumule's transformation struck a familiar chord in the vast and versatile Tanzanian secular music industry that has seen a host of famed artists abandon secular music for gospel. Among them are Mzee Makasy, once the proprietor and leader of the now defunct Orchestra Makassy, and Remmy Ongalla, former leader of Orchestra Super Matimila.
Respect.

FMEs!
 
HUYU NDIYE JUMA SALUM MBATIANI(JUMA UBAO) KING MAKUSA: Tanzania.

JUMA UBAO AKIWA ANPIGA NGOMA KATAIKA OFISI ZAKE ZILIZOPO BASATA Muziki wa tanzania una historia ya kubwa sana kwani muziki huo ndiyo uliochangia baadhi ya mambo mengi hasa katika kuelimisha jamii ya kitanzania hasa katika kuleta uhuru kuelimisha kuhusu majanga mbalimbali wakati nikiwa shule ya secondary nilikuwa nikisoma na darasa moja motto wa mwana muziki nguli nchini Juma salum mbatiani au kama anavyofahamika zaidi kwa jina la kiusanaii king makusa walio wengi wanamfahamu kwa jina la juma ubao wakti huo nilikuwa nikisikiriza baadhi ya radio na kusikia vibwagizo vikisema unasikiliza kipindi cha ……


.na sauti za juma ubao nilipokuwa nasoma chuo cha uandishi wa Habari pale dsj maarufu kama Dar Es salaam school of Journalism chuo kilichopo ndani ya majengo ya Basata kila nilipokuwa nikifika chuoni nilikuwa nikisikia watu wakiimba kwa sauti nyororo sauti ambazo zinaweza kmtoa nyoka pangoni moyo ukanituma na kusema nenda kaangalie sauti hizo ni za kinanani na hapo ndipo nikakutana kwa mara ya kwanza na mwanamuziki nguli nchini juma salum



mbatiani(juma ubao) JUMA UBAO AKIWA AMESHIKA MOJA KATI YA KAZI ZAKE OSFISINI KWAKE KTAIKA MAJENGO YA BASATA Nam nikaona sio vibaya ukaijua historia ya kwa ufupi Juma salum mbatiani (king makusa)Juma ubao alizaliwa mwaka tarehe 24 mwezi December 1950 huko katika mwa Tanzania Dodoma kama ilivyo kwa binadamu wengine mzee ubao ameoa na ana watoto watano wakiwemo wavulana wanne na binti mmoja kma kawaida shule ni kitu muhimu juma alipata elimu yake ya msingi na secondary Tosamaganga mwaka 1967



na baada ya hapo ndipo nyota ilipoanza kumea nakudhihirisha kuwa kipaji cha mtu akifi hata siku moja nam juma ubao aliana kazi yake muziki mwaka 1968 likuwa na kundi la jeshi la wanachi Tanzania na badae alijiunga na badae police jazz band 1971 mwka huohuo akajiunga na STc(states trading co-rporation)jazz ambapo alikaa katika bendi hiyo mpaka mwaka 1985 na ukiangalia unaweza kuona jinsi gani king makusa alivyoweza kuonyesha kuwa kipaji cha muziki kwani hata alipokuwa akitoka kutoka bendi moja kwenda nyingine wnamuziki J


JUMA UBAO AKIWA ANAREKEBISHA BAADHI YA VIFAAVYA MUZIKI OFISINI KWAKE wenzake walikuwa wakiuzunika kwani walikuwa wakiamini kwamba wapoteza engine kama tusemavyo vijana wasikuhizi naam hivi ndivyo kati ya vibao mabavyo waliweza kuvifyatua nyimbo kama posa nitaleta( Mshenga) BIT Jazz –kumbakisa,kipini cha dhahabu akiwa katika bendi hiyo hiyo mwaka 1987 alitunga kibao kama fagio la chuma kuonyesha kwamba muziki na elimu juma ubao na wenzie waliamba nyimboa za uhuru ikiwemo za kimsifia Samora machel katika kupigani Uhuru wa msumbiji na mwaka 1991 alitoa vibao kama Maselina, mwambuzi na somsomo zote akiwa na bendi za six manyara


ukiacha vibao hivyo nyimbo nyingine ambayo ambazo king makusa ameimba ni sakina kiwa katika mtindo wa regae maffin,ukitaka ubaya ,tuonyeshe upendo ant stigma campaign [p HIZI NGOMA ZA MZEEE JUMA UBAO HAPO OFISI KWAKE. Ukiachilia mbali hayo yote juma ubao si kuimba peke yake kwani aliahi kushiriki katika midaharo ya hatimiliki hiyo ilikuwa mwaka 1992 act of 1999 mwaka 2002 aliunda kundi la promosheni la six manyara promotion na mwaka huohuo aliaandaa ziara za kimuziki nchni Norway,mwaka 2006 alifanya kazi ya ualimu wa sanaa katika chuo cha bagamoyo na kuudhirisha kwa juma ubao anaweza muziki mwaka 2007/8 alikuwa moja wa jaji wa katika mashindano ya Kilimanjaro Music Awards.


[picha] Mambo mengine ambayo juma juma ubao amepeti na kuwa na utaraamu nayo ni mwalimu wa muziki yaani live music teacher vilevile ni jaji katika mashindano mbalimbali ya muziki ikwemo katika mashindano ya kutafuta nyota wa muziki wa injiri vilevile ni mshauri katika mambo ya kiufundi vilevile ni fundi mzuri wa kutengeneza ala za muziki kama inavyojurikana sikuhizi beat ni mwimbaji na anauwezo wa kupga vifaa vyote na kutengeneza instrument za muziki bila kusahau huwa na piga nyimbo za country ya Acoustic sounds.


[picha] Mwana muziki juma salum mbatiani ni hata kwenye uongozi kwani alishakuwa kiongozi wa biashara jazz and six manyara band. Na alikuwa kaimu mwenyekiti wa chamudata-1987-89 na aliwahikuwa mwenyekiti mtendaji six Manyara arts promotion na kwa sasa yupo kama kaimu mwenyekti chamudata kazi nyingine ambazo amewahi kufanya alikuwa accountant BIT1794 Acountant,customer service officer (level 1-3 ACT(Air Tanzania co-rporation1985-2002 ukiachilia mbali hayo juma salum mabatiani anauwezo wa kuzungumza kwa ufasaha ligha mbli Kiswahili na kiingereza za nina amini umeweza kumjua vizuri



juma salum mbatiani alimaarufu kama king makusa au wengine wamezoa kumuita juma ubao moja kati ya wanamuziki mmahiri nchini ambapo pindi aimbapo unifanya nimkumbuke babu wa kimanzi chana Julius nyaisangah wakati wa nyimbo zake anazo zipenda za enzi hizo za miaka ya itini sabaini na themanini kweli nilipokuwa nikimpiga picha akawa ananyimbo zakae huku akipiga gitaa na ngoma zake kweli niliobaki kinya wazi kwani baadhi ya walimu wangu walisogea dilisha na kusikiliza huku meno ya furaha yakionekana pale walpoacha midimo yao wazi huyo ndiye juma salum mbatiani jina la usanii king makusa wengi wamjuavyo kwaji la Juma Ubao.[pcha]


- Wakuu huyu mkongwe zamani alikuwa akinikuna sana, hasa alipokuwa na Biashara Jazz wana Kumbakisa, Imejipa, kuna kipindi yeye na Hamisi Kumbakisa wali-team pamoja kabla Hamis hajaingia Sikinde, kwa kweli Kumbakisa ilikuwa moto sana, sauti ya Hamisi ilikuwa nashindana na Roy wa Bima Lee, na Gwiji Bitchuka.


- Juma Ubao, aliwahi kupiga vibao kama "Mfa maji", "Salama" na "Kasome Paule", nakumbuka enzi hizo wao yaani Biashara Jazz, Kimuli Muli enzi za Zahir Zorro baba yake Banana, UDA Jazz na Vijana Jazz ya Maneti, walikuwa kila week end wanapigaa pale Banana Bar, Airport ambako tulikuwa hatukosi huko, I mean ninamkumbuka sana Ubao na hasa enzi za Salamander maana alikuwa hakosi pale!


- Long Live Ubao King Makusa.



Respect.


FMEs!
 
Hawa wana muziki nafikiri hamna haja ya kuandika chochote juu yao kwani habari zao zinapatikana kila kona kwenye mtandao. Kidjo namsifia kwa kuimba lugha nyingi na anaimba safi sana. Kuna siku nilimuona akiimba MALAIKA bila ya kushika karatasi na alikuwa akiimba safi kabisa yaani kile Kiswahili haswaa...

Hapa chini nimeweka wimbo wa SET ambao kwa haraka haraka nimegundua kuwa bibie SHAKIRA sijui aliiga au ilitokea tu na yeye kuwa na wazo hilo maana wimbo wake umekaa kama huu wa SET na radha ya Samba la Brazil.

[ame]http://www.youtube.com/watch?v=mmOA9Yril0E[/ame]

[ame]http://www.youtube.com/watch?v=uztpo_PNmFA[/ame]
 
"Nakangaki maboko oooh! mfuweni, elenga na zongi motema eyoo na soki lelo na zui mobali yo na zuata yeeeh tureee mama, Lipwa Lipwa bakobenga wapieeeh! ngo na kende kosala zambe ya sika, ohoyooo mauvi na ngoo Monrovia ngai na Sierraleona Abidjaaaann!

Nalingakanga tse nyoso leloo na zengi, na lingakanga mosika oyeeeh ya pembeni ngai pesaki eeeeh mama, ngai pesaaki eeeh! X 2."

Mbumbi Malanda: Ibrahima ohh mama aaah yoo zonga,

All: Ibrahima eeh zonga eeeh zonga loki na koyaa ooh! Yoooh mfweni yo zonga zonga lokisa ko yaoooh ooo!

Mbumbi: Motema na zonga lokisa tonnere yo zonga, motema na zonga lokisa ohh Nzaya yoo zonga, Mombasa ooh Vata na leliooh nzambe, ooh tikali moko ooh zalii Nzaya na betsi, eeeeh yeeeh zonga loki na leli yeeeeh!

All: eeenheee zonga loki na Monrovia, eeenheee zonga loki na Freetown, eenheee zonga loki na Abidjanii, eenheee zonga loki na Togo oooh!

Finishing All: Situpwee eenh eeh mama simandima! x 2

Mbumbi: Mama simandimaaaa eenhh, eeeeh Mombasa, eeenh Mombasa yeyehh! Nzaya Nzayadjyo, Nzaaaaya Nzayadjyo!

All: Situpweee eenh eeenh mama simandima!

- Kesho nitalimwaga "Seki Zengi"

FMEs!

Mkuu FMes,

Tupo pamoja sana hapa. Ila sema hii lugha imenipita kushoto. Hivyo huwa hata sifahamu wanaimba nini. Ila huwa nafahamu hapa wataimba na hapa kifaa gani kitapigwa hata kama kuna makosa. Ngoja niweke wimbo wenyewe ili watu wajikumbushe na maneno hayo juu...

[ame]http://www.youtube.com/watch?v=1bePe1Sckq4&feature=related[/ame]
 
Mkuu FMes,

Tupo pamoja sana hapa. Ila sema hii lugha imenipita kushoto. Hivyo huwa hata sifahamu wanaimba nini. Ila huwa nafahamu hapa wataimba na hapa kifaa gani kitapigwa hata kama kuna makosa. Ngoja niweke wimbo wenyewe ili watu wajikumbushe na maneno hayo juu...

http://www.youtube.com/watch?v=1bePe1Sckq4&feature=related

- Mkuu wangu Sikonge tupo pamoja sana, hiki ni kibantu tu mkuu huhitaji kuumiza kichwa maana yake ni kwamba hawa Orch. Lipwa Lipwa walienda West Africa kutembelea hiyo miji ya Abidjani, Togo, Monrovia na Feeetown, sasa kule walipokewa vizuri sana na mashabiki wa muziki, huko West majina ya Ibrahima na Tourre ni mengi sana, sasa kwenye huu wimbo jamaa wanajaribu kuwaomba kina Ibrahima na Tourre waende kwenye shoo ya Lipwa Lipwa, kuwaona wapigaji wao kama Vata Mombasa, (Rythm), Nzaya Nzayadjo (Sax), na Tonnele (Trumpet), Mbumbi Malanda (Lead Voice), Mongoley (Solo), Nsayi Nono Kuka (Drums), Malanda (Bass), Dimwanza (Second Voice) na wengineo kama Manza (Sauti Nyembamba) na Kilola Kitoko Kiangani ( Singer), Pannana (Trumpet), Mbuta Benanzoo (Sax).

- Kwa kifupi huu ni kama ule wimbo wa Maneti na Vijana Jazz walipoenda Bujumbura na wao in a sense ilikuwa kuwashukuru watu wa West Africa, tuendelee kujikumbusha zamani mkuu, leo niliahidi kuachia "Seki Zengi" Orch. Lipwa Lipwa here we go:-


Orchestra.Kiam.jpg


Mbumbi: Lisopenga pombengaaaa! baninga ya boya mbangaah! likambo ooh! ooohyangoyahooo! zambe aaaah! baninga boyangaa eeezambe, mobali ya boyingayeee satueee kubasile nguku lisu na mawaaah!

Soki likambo ye zari ngo pambana eeh, yebisangai na yee bana ooh, lisumu nyoso po babesikaaaah subisanga papaph! Baninga ya ngaaa likambo ya somo keeeh! mobali na boya yoso lokisa eeeh kubasile nguku lisu na mawaaaah eeeh papa nasali e nini eeh!

Ngana salaaaah nini eeeh, ngana pikatini eeeh nganaleli eeeh mama aaanhh aaanhaa! nalela eeenh! papa boyaa aaangaah lokinaka eeenh, papaaaah, boyaaaah! nasali nini eeenhh! ohayaaaah ngana tina oo Kiamwagana eeeenhhh!

Baboti babesaki ngaaa lalahhhh haaaa, nandimakite mahooooh oooh ooyaaah ngana komi na misooo!

Chorus:

Mbumbi: Ngana kominzoba pona yeeeh pona yeeeehh ngana komi nzooobaa mamaaaaah! eeeeh eeeeh eeeeeh! x 2

All: Ngana komi nzoba mamaaah! ngana komi nzoba mama aaah!

Mbumbi: Yoreee ngambo bena ngambo tuna robi, zungi ya karanti na bwoka akate oohh, yokorisapi yoo oooh koswa na mitema eeeh kubasile nguku lisu na mawaaaaah, x 2, kubasile nguku kubareki reee satueee kubasile nguku na mwaaaah! x 4

All: Kubasile nguku kubareki re satueeeh! kubasile nguku na mawaaaaah! x 4
- Anyways, heshima mbelee wakuu I mean I love it kesho nitaachia "Mikolo Mileki Mingi" ya Orch. Veve! na keshokutwa nitaachia 'Mbondo" ya Lipwa Lipwa.

Respect.

FMEs!
 
Abdallah Kibaden "King": Soccer Icon Tanzania.


_40480859_kibaden270.jpg





- Abdallah Kibaden "King", wa tatu toka kushoto, akiwa na timu yake ya Simba, ni mchezaji wa zamani aliyekuwa maarufu sana enzi hizo kutokana na uchezaji wake na hasa ufungaji wa magoli. Ni mmoja wa wachezaji wachache sana wanaokumbukwa kutokna kazi kubwa waliyoifanyia taifa akiwa na timu ya taifa, kwa sasa Kibaden ni kocha wa timu maarufu sana jijini ya Manyema FC.

Respect.

FMEs!

 
- "Mikolo Mileki Mingi" the song:-

013BovicOrchVeve_X.jpg


Nayebi na koya na yebi na koyaah ohhhoo! nayebi soki yo nini eeeh! hozonga hozonga seeerooo! nyoso limoto linganga eeeh! yoooh! bimesea ooh keyii eeeh! hngai natikali na mwaaaah! oooh ooh, bisumatelile bakolela lela papa na ngai mikolo mileki mingi, mbanda yoki bi na yoyo woow! woow! nazuina mobengo mo besu awana Kinshasa, ataseko nyokoli nakoluka nakomeka eeeh wowowoh! mwae nyoso ndenge nyoso ngai sela tikela oohoyoki, mbongo na mbongo na zua wapi eeeh nazari mobali nazari mobalii, na kosala nyoso nakomipesa nzoso oooh na mosala! aaah! aaah! eeeeh! eeeeh!

Chorus:-

All: Mama na bana yooh! kende yote mawaaaah! te, oookende ooh na mokuma ya bana oooh! nzaya waaah! na tikali maboko oooH pamba eeeeh! x2

Verkys: Mama ya mbasi na zerakii oooH! boswakingaaaah! Naleli viki yeyeheeeh ngai mwana mawaaaah! x2
Respect.

FMEs!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom