Kuna cd naangalia hapa ni collection ya mapambano yote makali ya Pacqiao dah!
Bora nibaki neutral naogopa kuumia nikiweka matumaini yangu kwa mmoja wao.
Ko ?,ha ha ha mkuu bhana!,tuombe uzima may 2 tuwe hai...
Kuna cd naangalia hapa ni collection ya mapambano yote makali ya Pacqiao dah!
Bora nibaki neutral naogopa kuumia nikiweka matumaini yangu kwa mmoja wao.
Haya bwana.Hongera kwa kunishawishi hadi nimeshawishika.Sasa Floyd akichapwa tu lawama nakubebesha wewe!
Hahaaaa. ..
Style make fight jombaa,speed,foot movement,agressivenes,southpaw stance,stamina will be to much for trash talker mayweather to handle, i wili go for Pacman for this one...pacman pacman pacman all the way.
Zimebaki siku kumi tu tujionee nani mkali? Ukumbi utafurika safari hii, ingawa hakuna aliepata tiketi sijui zitafika $ ngapi? Pac anaweza kumchapa jamaa kwa muono wangu wewe je
Konde la bahati,mpaka ko inatokea Marguez alikuwa nyuma kwa point,lewis alipoteza kwa Rahman kule SA kwa hiyo luck punch,katika rematch Rahman akapigwa kwa ko 5round,Rick Hatton alipigwa na Mayweathear ko ya round ya 11,alipocheza na Pacman akapoteza kwa Round 2...
Kuna cd naangalia hapa ni collection ya mapambano yote makali ya Pacqiao dah!
Bora nibaki neutral naogopa kuumia nikiweka matumaini yangu kwa mmoja wao.
Yap,ktk mchezo wa ngumi kuna hiki kinachoitwa ngumi ya bahati,yaani hata kama mtu umejifua vipi mtu akikuotea akakutandika ngumi ya kidevu(hii inapigwa kwakutelezeshwa kuelekea usawa wa sikio/taya) lazima uende chini(ukiwa huna mazoezi unaweza kuzimia) na ndicho alichofanya Marquez kwa Pac,Pacquiao kumpiga Mayweather inawezekana but wakuu naamini wakienda round zote ikafikia maamuzi ya point piga ua watampa Mayweather ushindi.binafsi namkubali Pacquiao na namtakia ushindi.
Duu Floyd anadundwaa kiaina believe me, bahati mbaya sijapata ticket
Kweli yako maana nakumbuka zamani Lennox Lewis alipigwa moja KO aliponyanyuka na kiwewe akauliza NIMESHINDA
Aisee umenichekesha sana.Yaani unapigwa KO halafu unauliza kama umeshinda?