Floyd Money Mayweather vs Manny Pacquiao

Floyd Money Mayweather vs Manny Pacquiao

if you have watched both fighters documentaries, you will definitely judge them fairly... much as money is outspoken, it doesnt mean he is a bad man, who doesnt believe in God etc.

Anyway, it depends on which media you are subscribing to

he is a Women Beater *May weather*
 
he is a Women Beater *May weather*

yes he admitted, did you see yule aliyepigwa kasemaje??

Maana wengine humu tutasema kumbe tukirudi kwenye true ID tunatesa sana akina mama...

I watched last night program ya jamaa, he is not a great man, but mme-mmissjudge kwenye baadhi ya vitu simply because of the media

He aint a saint, but not shetani kama unavyotaka iwe
 
Mkao wa kula.. chini ya saa (circa) kitaeleweka
 
yes he admitted, did you see yule aliyepigwa kasemaje??

Maana wengine humu tutasema kumbe tukirudi kwenye true ID tunatesa sana akina mama...

I watched last night program ya jamaa, he is not a great man, but mme-mmissjudge kwenye baadhi ya vitu simply because of the media

He aint a saint, but not shetani kama unavyotaka iwe

asubiri na yeye kichapo chake kutoka kwa pacman mzee wa Maspeed ya Hareeee
 
Yeah! only few hours to go before Money Mayweather whoop his ass. Naona leo unakesha, nilijua ni mpenzi wa masumbwi ila sikujua kama ni kiasi hiki.

The money hype is onnn. The Boss amka
 
Kuna mapambano ya hapa na pale hili pambano sidhani kama litaanza kabla ya saa 7.00am EAT likiwahi linaweza kuanza 6.30am EAT.

1 hour left
 
lol! hahahahahah usingizi umeruka kisha nataka kuona jinsi Money Mayweather anavyouthibitishia Ulimwengu wa wapenda masumbwi kwamba hakuna tena kama yeye na hivyo kufikia rekodi ya 48-0. Weye ni aje? usingizi umekuruka pia? lol!

Hulali weweeee
 
Mayweather analambishwa sakafu kama mtoto mdogo leo.. Labda afanye ile michezo yake ya kukimbia kimbia ulingoni round nzima na kurusha ngumi mbili tu kwa round
 
lol! hahahahahah usingizi umeruka kisha nataka kuona jinsi Money Mayweather anavyouthibitishia Ulimwengu wa wapenda masumbwi kwamba hakuna tena kama yeye na hivyo kufikia rekodi ya 48-0. Weye ni aje? usingizi umekuruka pia? lol!

Mpwa natafutwa kitandani nimekimbia niko hapa sitting. Sijajua kama kuna chanel gani itaonyesha. Niliambiwa KTN lakini hamna kitu natumia Zuku aaghhh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom