Floyd Money Mayweather vs Manny Pacquiao

Floyd Money Mayweather vs Manny Pacquiao

Pacquiao Yupo live ESPN right now in a press conference na anakiri kuwa amepigwa kihalali sasa sijui mnataka nini
 
  • Thanks
Reactions: BAK
10632839_835333489880456_7020481513035556658_n.jpg
 
Alicheza kiuoga au alicheza kimkakati ili kushinda? Au ulitaka awe na papara ili apigwe?

Mkuu, nilitaka ajiamini kama Man pac, alivyo fanya. Inaonshesha hakuwa na mpango wa kummaliza Pac bila ubishi.
Naamini watu wengi includes me, nilitaka kuona Floyd anafanya vizuri zaidi kwakujiamini nasio kukimbia kimbia. Amewaboa wengi japo ameshinda.
 
Pacquiao Yupo live ESPN right now in a press conference na kwa maneno yake mwenyewe anakiri kuwa amepigwa kihalali sasa sijui mnataka nini.
Mfilipino kazi yake ni kuchoma viazi na si boxing
 
Acheni akiri mgando bwana kurusharusha ngumi hovyo usifikiri ndo kushinda,hizi city ngumi za mtaani kama kwao Dia,Nmecheki round zote PAC karusha ngumi nyingi xana na yko faster xana,xema hatumii akr Floyd ana akr na technic nyingi xana,anakwepa xana anajrinda xana na Ana accuracy na ngumi zake. Ndo maana kashinda, Mwenyewe alijua anapointi nyingi ndo maana kaanza kushangilia Mara tu kuisha kwa round ya mwisho, Kila kitu shule na hili halina ubishi Floyd anatumia akiri xana!

Ri ri ri riiiiiii😠😠😠😠
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Haya Jamani someni hapo mtajua kwanini Mayweather kamshinda Manny Pacquiao, hayo kuna mtu aliyasema hayo kabla ya game



*Mayweather vs Pacquiao*

Masaa kiasi yamebaki kuelekea kwenye "ugomvi wenye pesa"
Watu pekee wanaolipwa ili wagombane na kurushiana ngumi za hapa na pale..

Analysis

1.Posture/Stance/Positioning

-Floyd Mayweather ni "Orthodox fighter"

Watu wa namna hii huwa na nguvu sana upande wao wa kulia yaani ni right handed hivyo kiteknikali hutanguliza his weak side (left foot and hand) huku akisubiri kushambulia na kulia kwake
Orthodox ni traditional boxers,basic fighters huwa wapo conscious sana na defense kuliko attack,mindset yake inaanzia na kutokupoteza kabla ya kufikiria kushinda

-Manny Pacquiao

Huyu ni Southpaw puncher
Yaani the opposite of Orthodox,punchers wa dunia ya leo tukizungumzia mindset,wapo katika kushambulia zaidi ya defense so anaingia na ile attacking aggressiveness,kuwamudu inahitaji akili zaidi ya nguvu ili uweze deal na nafasi za uso anazoacha wazi kila akishambulia
Southpaw ni left punchers
Hutanguliza his weak right side ili aweze shambulia na left yake

2. Uwezo wa kushambulia

Southpaw wamejaliwa uwezo au tuseme wameji-tune kushambulia kuliko orthodox boxers
Hii inampa Manny Pacquiao advantage
Uwezo wake wa feints (dummy,confusing and mocking attacks) ni wa kutukuka
Kama kuna eneo Floyd anapaswa kuwa makini ni hili,asipumbazwe na feints

3. Pacquiao's activities vs hesabu za Floyd Mayweather

Mshambuliaji vs mkabaji
Pacquiao anafahamika kwa tabia yake ya kurusha ngumi nyingi kwa mkupuo huku Floyd anafahamika kwa hesabu zake
Pacquiao atarusha ngumi 5 huku 1 and 2 ikikuangukia huku Floyd akipiga hesabu za kujaribu kurusha 2 tu na zote zikupate (kumbuka huyu ni orthodox)

4. Power vs Accuracy

Nguvu za Pacquiao hapa zinakutana na accuracy ya Floyd,compubox stats zinasema hakuna boxer dunia ya leo mwenye accuracy kama Floyd
Mtulivu,mchumi wa ngumi na zinatoka kwa hesabu


5. Uwezo wa kujikinga
Mayweather's shoulder roll defensive ability huwa ni effective kama anakuwa anapigana na orthodox mwenzake kutokana na positioning and angles
Ila huwa ngumu zaidi akikutana na Southpaw boxers

6. Game approach

Hapa Mayweather ana advantage
Huwa ni mwepesi sana wa adjustments kwenye game kulingana na fighter amekujaje na sio historia ya fighter
Pacquiao huyu ni straight forward,huwa atakavyoanza atafosi hadi mbinu hiyo ifanye kazi

7. Nini au pambano la aina gani tutegemee

Ukiachilia mbali postures zao
Na philosophies zao
Panapokutana Southpaw na Orthodox ni kama mtu anaangalia kioo (mirror stanced) so kwa kila mmoja kuna nafasia kubwa ya uwazi upande mmoja ya kushambuliwa
Tutegemee pambano la akili na la speed sana
Tunaweza kumaliza rounds zote
Umakini wa pande zote mbili utatunyima KO
 
Pacquiao Yupo live ESPN right now in a press conference na kwa maneno yake mwenyewe anakiri kuwa amepigwa kihalali sasa sijui mnataka nini.
Mfilipino kazi yake ni kuchoma viazi na si boxing

pac man baada ya pambano aliulizwa akasema ameshinda na matokeo yalivyotokea hakushinda hatavakisema kwenye press hakushinda itasaidia nini?let him win
 
Hivi Hili Pambano Lingekuwa La Kimtaani Hakuna Marefa Wala Majaji Angepona Mtu Kweli Hapa
 
Wafilipino na boxing wapi kwa wapi?
Kazi yao ni kuchoma viazi
Pacquiao akajifunze kuchoma viazi
Boxing ina wenyewe
Floyd ndio dume
48-0
Who's next? Amir Khan?
 
Piga ngumi ambazo zitakuletea points ndicho alichofanya mayweather, alikuwa na malengo. Ule sasa ndiyo uproffesional tunaosemaga na experience.
 
Ha ha ha! Uoga wa Mayweather umetuharibia game. He was too defensive, passive & boring like Mourinho's chelsea. Yes, kashinda kweli lakini kwa counter attacks. Na ndio maana alikuwa booed.
 
Back
Top Bottom