Kwa wale wasiojua ngumi......kurusha ngumi nyingi sio ndio wingi wa point....je ngumi zako zinafikia target zenye kukuwezesha kupata point....?? nikimtazama bondia wangu leo PACMAN ni kama alitumia style ya kurusha mangumi kama njia ya kujilinda lakini si kwa lengo la kushambulia lakini mzee wa misifa alikuwa anashambulia...kwa maana ya kwamba kila ngumi yake ilikuwa ina hit the target......kwa wale wanaojua mchezo wa ngumi teknikale watakuwa wameshanielewa....niliwahi kusema kuwa defence skills ya PACMAN haiko makini ndio maana huwa anatumia muda mwingi kutupa makonde...akiwa na malengo mawili kushambulia huku akimfanya adui asimkaribie....lakini pia ana udhaifu katika kurusha ngumi za aina ya hook....na uppercut.......anatumia muda mwingi kurusha jab ambazo kwa bondia makini kama Mayweather haziwezi kuwa na madhara......kitu kilicho mnyima ushindi PAC MAN ni kurusha ngumi nyingi zisizo na muelekeo huku akikosa umakini katika kuimarisha ulinzi ,hali iliyofanya Mayweather kushambulia huku akiwa na uhakika wa kulenga target kila apatapo nafasi.....kushambulia muda mwingi kwa kutumia jab pekee kumemfanya Mayweather kuwa huru mchezoni.....na kufanya counter attack zenye mafanikio..........THAT IS BOXING GAME