Floyd Money Mayweather vs Manny Pacquiao

Floyd Money Mayweather vs Manny Pacquiao

around saa12 asubuhi tarehe 3 jumapili, tune SS2 kuanzia saa 11, wengine hatuwezi kucheki huo mtanange nyumbani tutafumua ngumi wake zetu na midadi!

Lakin ni vizuri ukawa karibu na luning'a kuanzia saa 10.

Manpac anaweza kumaliza pambano kabla ya saa 12, teh teh teh......
 
Jamani nanikaashda wenginendio tunaamka
 
Lakin ni vizuri ukawa karibu na luning'a kuanzia saa 10.

Manpac anaweza kumaliza pambano kabla ya saa 12, teh teh teh......
saa10 kama unataka kuangalia ya utangulizi. unahisi "manpac"🙂madgrin🙂 atakuwa keshapigwa tayari hiyo saa12?
 
ESPN's Teddy Atlas said of the staredown between the two fighters: "[Mayweather] did not look away. And it was almost as though Pacquiao didn't want to deal with that, and he broke away. ... 75% of this game is psychological. First round, psychologically, was won by Mayweather."
 
Mungu gani huyo anayependa ushabikie Chelsea?!

Mchezo wa mpira wa miguu haulengi kumwumiza mpinzani physically ili ushinde lakini masumbwi yanalenga kuumiza mtu ili ushinde na Mungu hapendi tufurahi kwa gharama ya maumivu kwa mwingine kama ilivyo kwenye ndondi. Lakini kwa soka, raha yangu kwa kumfunga mpinzani haina tatizo kwa mpinzani wa ukweli isipokuwa labda huyo mpinzani ameamua kuwa hater!
 
saa10 kama unataka kuangalia ya utangulizi. unahisi "manpac"🙂madgrin🙂 atakuwa keshapigwa tayari hiyo saa12?

Hivi bado kuna watu wanaamini Mayweather atashinda? Hebu acheni utani.

$Team MANPAC...$
 
Siangalii rangi niliyo zaliwa nayo, naangalia kazi ya mikono tu. Tuache utani Mh. Ni mtu mwengine kabisa. Tm #Pacman #
 
Hahahahahaha lol! Zero facts the writer is just stating his/her opinion and NN has presented zillion facts to support his argument. What about this one? Still there are no facts Obama is just stating his opinion!! LoL! Color blind society is still a long way to go my friend.

Enjoy your weekend NN.

Obama: ‘There's No Doubt' That Some People Really Dislike Me Because I'm Black."

Nyani Ngabu;12617149]Indeed long but zero facts/ data/ empirical proof.

The writer is just stating his/ her opinion.
 
Wladimir Klitschko huyo ndio bingwa wa sasa duniani.. Ambae record yake imeizidi ya Muhammad Ali. Tizama wikipedia. Mi nadhani TYSON alikuwa na wapenzi wengi sana na automatically ndondi za heavy weight zikawa maarufu sana. Tangia TYSON ameacha ndondi kwa kiasi Fulani uzito mkubwa umekuwa sio maarufu sana. Kwa sasa naona Mayweather na Pac Man wataendelea kuwa maaeufu na hizo boxing zao kwasababu wameshajingea mashabiki wa kutosha.

Swala sio uzito kama tulivyozoea, ishu ni ubora wa wapiganaji. When it comes to #PoundForPound hawa jamaa wana mvuto na wako kwenye ubora kuliko walio kwenye heavyweight. Labda kwa sababu wamarekani hawana bondia bora kwenye uzito wa heavy ndio maana promo zote ziko kwny welterweight.
 
Packiao lazima azae
a leo. kamasio. mapacha watampatatu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom