Chagga King
JF-Expert Member
- Jul 6, 2011
- 1,923
- 1,148
kuna mwalimu mmoja wa kike now ni marehem (RIP), ilikuwa ikifika zamu yake anazingua kichizi, saa 11 ameshazama bwenini kwa boys na anatembeza stick hatari, sasa boys wakawa wanamfanyia visa dizain ya kulala uchi af akiwasha taa jamaa anaamka mashine iko mnara, ticha anasema nimeshaona zaidi ya hizo, watu wakaona isiwe tabu, siku moja tukang'oa switch ya taa maana alikuwa akija tu anapapasa pale kwenye switch ili awashe taa, halafu bwezi zima tukatengeneza midoli vitandani ukicheki utadhani watu wamelala then tukaenda kweny mchakamchaka, ye amekuja kama kawaida yake akapapasa, dah alichezea shoti ya umeme, asubuhi asubuhi, haha