Flash Back Memories: Matukio ya Boarding School

Flash Back Memories: Matukio ya Boarding School

Kwenda kuiba kuku kwa vijiji vya karibu.cku tulikamatwa hee tulipingwa sana na ndo ilikuwa mwisho wa kuiba tena kuku.
 
Dah... tulikuwa tunafanya majaribio ya Molotov cocktail hatukujua hata madhara yake itakavyokuwa ndiyo maana tukajaribu kwenye magari ya jeshi 🙂
Ilikuaje mkuu sikuipata hiyo kwenye taarifa ya habari au kuisoma kwenye magazeti? maana hilio sio tukio dogo ujue?
 
Nakumbuka nikiwa Weruweru girls tulikuwa tunalima sana, wakati wa kulima lazima nizidiwe, na nikilazimishwa najifanya nimezimia.
Miaka ya mwanzoni mwa 2000 tulikuwa tukisikia hii shule ni kiboko kwa kusagana. Ilikuwa kweli au uzushi tuu.
 
Mkuu hii ya harufu nafuu!!!! Sisi kipindi cha masika tulikuwa tunavua nguo kukwepa harufu; ukiingia msalani unatandaza gazeti juu ya tundu la choo. Unalikanyagia pande zote mvili; ukimaliza kushusha mzigo wako juu ya hilo gazeti na kujisafisha; unafungua mlango wa msalani, kisha unatoka kama risasi wakati mzigo uliopo juu ya gazeti ukishuka shimoni na ku-splash maji taka hadi juu ya bati la msalani🙂 Kwa kukosea timing na speed ya kutoka unajikuta umeoga kinyesi🙂
Umenichekesha kwa sauti sana
 
Ha ha ha usisahau kabla ya kwenda kidedi lazima tupoze pale kwa Aswile. Then lazima turipoti kwakina Jack Ko....wa pale tuoshe maana kulikuwa watoto warembo hataree. Then kidedi kupiga ganja afu Chiluba kupiga gongo. Dah idumu kantalamba.
Hahhaaaa good memories za kanta boy lidumu chama
 
kuna mwalimu mmoja wa kike now ni marehem (RIP), ilikuwa ikifika zamu yake anazingua kichizi, saa 11 ameshazama bwenini kwa boys na anatembeza stick hatari, sasa boys wakawa wanamfanyia visa dizain ya kulala uchi af akiwasha taa jamaa anaamka mashine iko mnara, ticha anasema nimeshaona zaidi ya hizo, watu wakaona isiwe tabu, siku moja tukang'oa switch ya taa maana alikuwa akija tu anapapasa pale kwenye switch ili awashe taa, halafu bwezi zima tukatengeneza midoli vitandani ukicheki utadhani watu wamelala then tukaenda kweny mchakamchaka, ye amekuja kama kawaida yake akapapasa, dah alichezea shoti ya umeme, asubuhi asubuhi, haha
Mkuu hii mbona ni kama shule fulani hapo mahenge,morogoro
 
kula vibama na lazima uombwe na watu wote daaah hiii ni zaid na xul yeyote


kwa anayelijua kibama udogo wake
.
..ila maisha ya shule za boyz daaaaaa
.
its like utamalizia mwenyewe
 
1.Nakumbuka tulivyogoma kula tukapigwa SP form six wote mwezi mmoja ukirudi unarudi na mzazi na barua ya serikali ya mtaa.
2.Vijana wa shule za Boyz kuwa na nguo za matukio kama kuna debate weruweru au machame utawaelewa.
3.Tulivyowapiga shule fulani inaitwa Lyamungo

Umbwe
 
Kuna jamaa siku ya NECTA form 2 alitoboa akaja kulala saa 11 alfajiri, matokeo yake akaja kuamka saa 5 asubuhi baada ya kelele za tuliotoka kwenye pepa kuanza kusikika mitaa ya bwenini. hahahahaaaa
duuh..hiyo noma sana.. ikawaje sasa? alirudia?
 
Nimegonga sana watoto wa wafanyakazi wa shuleeee,,,night kali nilikiwa nawavamia room narudi nane usiku
 
HahahaHahahahaaa, unaenda mwisho wa lami kuvizia videmu, unachelewa kurudi inabid upandishe kilima cha baghad kwa kukimbia ili uwahi kuhesabiwa rowcall, au unaula shortcut la pori lajeshi unatokea nyumba za walimu, karibu na nyumba aliyokuwa anaishi jk nyerere. Kwenda kusikiliza bongo fleva dukani kwa mwombeki, kuvizia watoto wa taasisi bindeni kisumu au kigogo fresh, kula wali kwa mama pendo na half cake., au kununua mihogo ya kuchemsha pale maabara ya agriculture. Much respect to Mlm Ogesa
We pugu boy tumesoma wote... Umenikumbusha mbali sana issue ya mwisho wa lami kuopewa mikate.. Kudrop na kuto kuoga pamoja na kuwashwa....tulisoma wote aisee... Kuna jamaa alihamia pale Pugu akawa anaoga kila siku akapata fungus za kwenye nundu za kukalia.. Akatibiwa. Alipopona akaacha kuoga.. Alikuwa anakwenda kuoga weekend akidrop kwao..
 
Mara secondary

yaan ww tu ukitaka lala ukiataka nenda class ukitaka nenda mtaani ukitaka soma ukitaka acha, moja ya shule nilioenjoy MAISHA YA SHULE
hahahaa mkuu haitakaa itokee kama mara sec simu tunachaj na extentn tunanunuliwa.....watu wanavaa watakavyo hakuka shamba dres.....shule haina uzio wala rokoo so ukilala nje hakuna ajuaye....sheria mkononi mwa wanafunZ ushikwe mwiZ utaisoma no...HKL ndio wabishi hawana mfano ila EGM wao no msul yan kutoboa ozon.....kichelewa kuripot baada ya likizo.....hakuna vikao na walim hata kufunga shule ni wewe ukimaliza pepa la mwisho ndio mwanzo wa likizo yako,yan hapa mtu anaganya pepa la mwisho tiket iko mfukon beg liko nje ya mlango wa darasa......kinguni usiseme......hakuna mtu anayekunywa kwenye kikombe ni mwendo wa majag,vikarai,visado vya tos.....msuli chaka kama kawa,....mara sec na musoma tec madem zao ni songe na chif...weekend ni kuzurara utakavyo na unatupia utakavyo......uji huwa ni saa nne saa tano na nisu klas so watu huwa wanadoj ama ukienda bas utawakuta wanasinzia kibao.....walim wa kike wanapendwa zaid.....kitu kidogo mgomo na wanafunz wanazo hoja za mgomo chezea hgk....kuna watu mgano wa mimi hatujulikan sababu naingia class siku za pepa ni mwendo wa msul chaka
 
hahahahahahahahahaaa dah inabdi nicheke kwanza maana umenikumbusha meng xana
1.katka bwen le2 kulikua na tabia ya kuwakalibixha wagen kwa kuwapga mikanda 2kisha zma taa
2. kulikua na watoto manjuka walitoka na tabia zao za kushindana kujamba
 
Kunywa uji na kiporo cha makande au ugali wa jana kwa kuwa huna hela za kununulia mandazi au vitumbua..au siku nyingine kupiga uji dry...

Siku ya wali maharage au nyama na ugali watu wote kwenye group lako la kula hawakosekani hata mmoja...

Kubeba kiti na meza na kwenda kusomea chimbo la porini hukoo

Kujificha darini siku ya ukaguzi wa usafi



Umenikumbusha zamani Man yara Ranch. ....
 
Back
Top Bottom