Hii kiboko kama unadowload movie ya gb50Dah sitasahau siku nimeingia Staff Room baada ya masomo mida ya saa 9 hivi nakuta kuna walimu wawili halafu chakula kikaletwa na mpishi, ilikuwa wali maharage nikasema moyoni hapa sitoki hadi wamalize. Uzuri nilikuwa nafahamiana na mmoja wao vizuri kwahiyo haikuwa shida kubuy time.
Walipomaliza nikaondoka na wali takribani robo ndoo na maharage nikaenda kujikaa chimbo, hahahaha nilikula ule wali kuanzia saa 9 hadi saa 12 jioni, nilikuwa nakula nikishiba nabofya simu kikipungua tumbo naendelea kula.
nimecheka nusu ya kuonekana chin...dah huo utemi noma1.Dah sitosahau nyeto ya papai au mende ndani ya mto
2. form one unauwangalia mti wa mapeasi ulusiwi ata kuokota likiwa limeanguka
Form 2 unaluhusiwa kuokota na kumpelekea form 3 au form 4. Na form 3 analuhusiwa kuokota na kula kama form 4 hayupo, ila form 4 analuhusiwa kuokota na kutungua na kula. Gambian
Kuna dogo form two alimtongoza mwalimu, mwalimu akakubali siku ya kuonana mwalimu mpaka alilia maana allikuwa mwanafunzi wake na ana miaka kumi na tatu dogo walimfukuza.
Imenikumbusha mwalimu wangua alikuwa anaitwa Naburi.....kuna mwalimu mmoja wa kike now ni marehem (RIP), ilikuwa ikifika zamu yake anazingua kichizi, saa 11 ameshazama bwenini kwa boys na anatembeza stick hatari, sasa boys wakawa wanamfanyia visa dizain ya kulala uchi af akiwasha taa jamaa anaamka mashine iko mnara, ticha anasema nimeshaona zaidi ya hizo, watu wakaona isiwe tabu, siku moja tukang'oa switch ya taa maana alikuwa akija tu anapapasa pale kwenye switch ili awashe taa, halafu bwezi zima tukatengeneza midoli vitandani ukicheki utadhani watu wamelala then tukaenda kweny mchakamchaka, ye amekuja kama kawaida yake akapapasa, dah alichezea shoti ya umeme, asubuhi asubuhi, haha
HahahahaHii kiboko kama unadowload movie ya gb50
Jirani yangu wewe,,ilikuwa mwaka gani??aaaah aaaah mkuuu me nilikuwa lumumba mkuu dorm 16
hii pia mara sec mkuu ila nilipokuwa njuka nilikuwa nawashangaa hawa jamaa vp mbona wanavua mashat wakienda toi na wakitoka wanapunga upepo hahahaa ilikuwa n day za mwanzoBila kusahau vyoo vya Pugu vilivyokuwa vikiitwa battle kutokana NA kwamba ukienda kujisaidia kubwa lazima uvue sharti kama unaenda pigana.
vp kuhusu furuHahahahah, kibini pale tulikua sa 1 tunaenda kunywa uji huku tumetunza ugali wa kupiga usiku baada ya kitabu.
Ndo mama ake dany lyanga mchezaji wa simba,mtoto wa mama wa fish tumekakuza moshi tech.enzi za vimbuzi ,kina mwanahamis na maza fish
Mwanamiss nimeshinda sana getho kwake nikila vyanguaaaah aaaah mkuuu me nilikuwa lumumba mkuu dorm 16
Hahahhaha,umekumbusha tulivyokuwa tunafoji stemp,jamani tunafuta mhuri halafu tunatumia hiyo stemp kutuma barua,pia shida ya maji ndo ilisababisha watu tupige passport size,yaani nilishaapa kamwe wanangu hawawezi kusoma boarding schools
Bora nyie mlikuwa hata na mikate, sisi tulikuwa tunakunywa uji usio na sukari tunauita Sifongo
Anha....kumbe ni wewe jamaa, nimekupata, ugomvi wetu haujaisha, niliapa kukusaka hata tukikutana tukiwa wazee lazima nikuadhibu, sijasahau!!!Hii nakumbuka sana,nilivyofika form one, siku nimeenda prepo washkaji wa form three wakaja bwenini kwetu wakapiga tranka langu kipepeo wakaiba vijisenti kidogo.
Nilivyorudi nikakasirika sana, nikafanYa uchunguzi nikawagundua. Nikavizia siku form three wameenda shambani nikaingia bwenini kwao nami nikafungua matranka yao hao washkaji wawili.
Nikakuta hamna cha kuiba, hivyo nikaamua tu Kunya na kukojoa humo then nikasepa...![]()

Au lyamungo au umbwe ndo walikua na fujofujo sanaHii itakua old moshi
Sa ikawaje badaeNakumbuka ilikua Siku ya jpili nlikamatwa nimetoroka,yule ticha akanambia nirudi shule nikajiriport mwenyewe kwa rector(ile shule kosa la kutoroka ilikua ni kufukuzwa jumla)bas jtatu asubuhi akaniita ofsini akaniuliza kama nilijiriport,nikamwambia ndio rector amesema nijiandae nifunge mizigo yangu yote badae nikachukue clearance form niende nyumbani..sikua nmeenda kwa rector wala nini,basi yule ticha akaanza kujitete ooh mi skua serious,ooh tutakuwa tunawasiliana na misamaha kibao..nikamwambia poa bila ndo hivo ntpa shule nyingine tu..walimu wote ofsini walikua wananisikitikia,kimoyomoyo nlikua nawasikitikia wao zaidi.
Ulikuwa kibaka mzoefuBwenini bwana sikununua pen kiwi sabuni mafuta miaka yote na bado nilisurvive
Ha ha ha ha haaaaaDah sitasahau siku nimeingia Staff Room baada ya masomo mida ya saa 9 hivi nakuta kuna walimu wawili halafu chakula kikaletwa na mpishi, ilikuwa wali maharage nikasema moyoni hapa sitoki hadi wamalize. Uzuri nilikuwa nafahamiana na mmoja wao vizuri kwahiyo haikuwa shida kubuy time.
Walipomaliza nikaondoka na wali takribani robo ndoo na maharage nikaenda kujikaa chimbo, hahahaha nilikula ule wali kuanzia saa 9 hadi saa 12 jioni, nilikuwa nakula nikishiba nabofya simu kikipungua tumbo naendelea kula.