Kwa mujibu wa Wiki ya Ivy League , M.I.T na Stanford hazimo katika Ivy League. Zaidi, Ivy League ni ya vyuo vya Northeast US, Stanford iko California.
Soma hapa
Ivy League - Wikipedia
Nimekupata mkuu, kuhusu Ivy wanasema mostly ni oldest universities as aforementioned, wa mwisho kujiunga Ivy League alikuwa Cornell aliyeanzishwa 1865 but Stanford ilianzishwa 1891
However, Ivy League universities wanaji-brand tu waonekane tofauti but hawana tofauti in terms of education quality na non-Ivies kama Berkeley, Maryland, North Carolina chapel hill na hata product zao zina-compete very well kwa labour market pengine kuliko hata products za Ivy League universities
Hata hapa kwetu ni hivyo hivyo tu
Asante kunikumbusha mkuu
Heshima kwako
Wameandika.
"The eight institutions are Brown University, Columbia University, Cornell University, Dartmouth College, Harvard University, the University of Pennsylvania, Princeton University, and Yale University. The term Ivy Leaguehas connotations of academic excellence, selectivity in admissions, and social elitism."