and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 28,147
- 39,545
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), kimeitoa Tanzania kimasomaso baada ya kuibuka kidedea kwa kushika nafasi ya kwanza Tanzania na Afrika Mashariki na cha nne Afrika, kwenye soko la ajira.
Akizungumza leo Julai 15, 2026 na waandishi wa habari chuoni hapo, Naibu Makamu Mkuu wa UDSM-Utafiti, Prof. Nelson Boniface, amesema chuo hicho kimeshika nafasi ya 131 duniani kwa ubora katika eneo hilo kati ya vyuo 8,800 vilivyofanyiwa tathmini na taasisi ya ‘QS World University Rankings’ 2027.
“Chuo kimepata alama 85.3 katika kipengele cha ‘employment outcome’ jambo linaloonesha kuwa wahitimu wetu wanathaminiwa sana na waajiri na wanaendelea kutoa mchango mkubwa katika serikali, sekta binafsi, viwanda, taasisi za kimataifa na maendeleo ya Taifa
Akizungumza leo Julai 15, 2026 na waandishi wa habari chuoni hapo, Naibu Makamu Mkuu wa UDSM-Utafiti, Prof. Nelson Boniface, amesema chuo hicho kimeshika nafasi ya 131 duniani kwa ubora katika eneo hilo kati ya vyuo 8,800 vilivyofanyiwa tathmini na taasisi ya ‘QS World University Rankings’ 2027.
“Chuo kimepata alama 85.3 katika kipengele cha ‘employment outcome’ jambo linaloonesha kuwa wahitimu wetu wanathaminiwa sana na waajiri na wanaendelea kutoa mchango mkubwa katika serikali, sekta binafsi, viwanda, taasisi za kimataifa na maendeleo ya Taifa