First years na ulimbukeni wa kusoma udsm

First years na ulimbukeni wa kusoma udsm

MSAADA WENU ,ukiwa umechaguliwa kozi ya education udsm je unaweza kubadili kozi ukasoma law baada ya kuripot chuo
 
kasome hyo hyo eduche baadae utapata ajira kupitia ajira hyo utapata fursa ya kujiajiri lkn huko unavitaka utapotea
 
MTOA MADA ndio LIMBUKENI huwezi sema kitu bila kufanya research ya kutoshaa..ulichosema kuhusu Qs ni uongo mtupu..

Mm ni Graduate Qs UDSM nakumbuka kipindi tunaingia mwaka wa kwanza Dr Mushumbusi kitu cha kwanza alituambia ni kuangalia nini wenzetu wanasoma ( tufanye linganishi kati ya ardhi na udsm kwa upande wa Qs ili kuona utofauti ni upi).

Moja ya vitu nilivyogundua ni experience walionayo kwenye kozi hii ya Qs ila eti wanasoma vitu ambacho udsm hawasomi kabisa ni uongo.Kwa taarifa yako mtoa mada sisi ndio tunasoma vitu vingi kuliko ardhi and we are always ahead of you..tumekutana field sana na wenzetu mpaka wanashangaa vitu ambavyo tumesoma semester hii wao wanasoma semester inayokujaa..

kitu chengine ambacho tunajivunia ni uchache wetu, Qs udsm huwa wanachukua wanafuzni 50 tuu so hii ilitusaidia sana kwan ilikuwa rahis kwa walimu ku deal na mwanafunz mmoja mmoja pale inapo hitajikaa...

Walimu walifundisha ardhi ndio hawohawo waliotufundiaha sisi..

ukitaka kujua jamaa ni limbuken Angalieni prospectus ya UDSM na ARDHI upande wa QS..
utaona nini QS wa udsm anasoma na nini Qs Wa ardhi anasoma na pia ubora wa mwanafunzi hutokana na juhud binafsi..

TUKUTANE MAKAZINI
 
hawo ardhi wenyewe wanakuja udsm kwenye workshop, huyu jamaa ni limbukeni sijawahi onaa

Wewe soma umalize uajiriwe au ujiajiri, maswala ya kushindana ni utoto na hauta kupeleka kokote
na kama ni graduate nitakushangaa sana sijui DISSERTATION ulifeli sio kwa huu utumbo ulio uandika..
 
Au ndio wamekutuma uje ufanye research hapa
 
Mtoa uzi unamejaa wivu na husda.. udsm n chuo bora tz huwez kulinganisha na vyuo njaa vingine uko ndio maana rais alsema uksoma UD ata chet chako hakigeuzwi geuzwi kama vyuo vngn wakat wa usail
Sijui kwanini UDSM inawatesa kiasi hili?
 
Nakuunga mkono! Umezungumza ukweli na uhalisia. Watu wengi hawajui hilo ! Hali iko hivo!
 
Utofauti ni nn acheni kudanganyana vijana. Utofauti unafanywa na mwanafunzi mwenyewe. Course content vyuo vingi huwa vnafanana. Utofauti unafanywa na mwanafunzi..

Alafu haya mambo kwamba chuo fulani kinafundisha practical chuo fulani kinafundisha theory sijui huwa mnayatoa wapi.. Labda mngekua mnatoa na mifano, labda useme Udsm hawafanyi practical hii, but D. I. T wanafanya practical hii,.
Ukumbuke D.I.T wanatoa B.Eng na UDSM wanatoa BSc. ni vitu viwili tofauti msichanganye hapo.
 
Sijui kwanini UDSM inawatesa kiasi hili?
Hakuna anayeteseka, ila watu wanaambiwa ukweli waache ulimbukeni coz wanakosa vyuo kwa kung'ang'ania UD Wakati program wanazozitaka hata vyuo vingine wanatoa kwa ubora, tena zaidi hata ya UD.
 
Shida ya wanafunzi wa mikoani hawawezi kukuelewa, wenyewe wanataka UD hili wafike jijini,hawawezi kukubali Udom na Sua coz watashusha profile zao, kwanza utasimulia nn kitaa ukirud likizo?[emoji13][emoji13][emoji13]
 
Hakuna anayeteseka, ila watu wanaambiwa ukweli waache ulimbukeni coz wanakosa vyuo kwa kung'ang'ania UD Wakati program wanazozitaka hata vyuo vingine wanatoa kwa ubora, tena zaidi hata ya UD.
Sasa kwa nini mnatumia nguvu nyiiingi kitu kama kizuri kitajiuza tu bila shaka,ila punguzeni dhihaka kwa udsm kwa kufananisha na vyuo vya kujinga jinga muwe na adabu kidogo
 
Kusoma chuo sio kazi, ila kubadili elimu yako kuwa fedha ndy kisanga
 
Sasa kwa nini mnatumia nguvu nyiiingi kitu kama kizuri kitajiuza tu bila shaka,ila punguzeni dhihaka kwa udsm kwa kufananisha na vyuo vya kujinga jinga muwe na adabu kidogo
Duuh! ina maana hujaelewa kabisa nlichoandika hapo!!!
 
Unasumbuliwa na inferiority complex mkuu jitahidi Masters au phd yako ukachukulie UDSM hilo tatizo lako litakwisha lasivyo litazidi kukutafuna
Daaahhh we jamaa umenigusa kbs, mimi nimesoma SAUT bachelor, Masters nasoma Open saiv, japo sina inferiority complex..lkn nafkir PhD nikichukulia University of Nairobi itapendeza zaidi au mnasemaje wadau
 
Ukweli ni kuwa Udsm imebakisha jina tu!! Ina wahadhiri wengi wenye sifa ila wako fr*strated!! Wengi wao hujitoa zaidi kufundisha vizuri zaidi part time kwenye vyuo vya binafsi kuliko hapo udsm!!!
 
Back
Top Bottom