First years na ulimbukeni wa kusoma udsm

First years na ulimbukeni wa kusoma udsm

Wadau msaada kidogo hapa, nimechaguliwa udsm na udom,udsm kwenye profile yangu walinipongeza na wakatoa remarks kuwa ,pending TCU approval, nikatulia,udom wakatoa majina nikawemo pia,usiku wa Jana wakanitumia SMS ya hongera na kunitaka nithibitishe kama Nita enda udom,nikathibitisha,kwa maana niende udom, sasa narudi kwa file la udsm nakuta ile remarks haipo ,sasa maana yake ni nin?,
nenda udom
 
Hicho chuo cha kawaida sana .

Halafu si kila kozi inayotolewa hapo ni bora kuliko vyuo vingine.

Kuna baadhi ya kozi zinazotolewa hapo zinatolewa chini ya kiwango kulinganisha na vyuo vingine

Mfano

a)MD.
Huwezi kufananisha MD inayotolewa Muhas au Cuhas au KCMC na hiyo Ud.

Lakini utakuta lijitu limbukeni kisa lipo udsm basi linajiona linajuwaaaa kumbe mavi matupu.

b)Architecture

Huwezi kumfananisha architect aliye graduate ardhi na aliye graduate udsm

Huyu wa ardhi anavitu vingi sana unique amemuacha mbali sana huyo wa udsm

Anajua kuchora kuanzia kwa mikono mpaka kwa PC

Humdanganyi chochote kuhusu mambo ya archcard na autocard sijui GIS na takataka nyingine zote.


c)Building Economy /quantity survey

QS wa udsm kamwe hamfikii hata kidogo QS wa Aru

Hata course anazosoma Qs wa aru Qs wa ud hajawahi kuzisoma hata mara moja.

d)Law.
Law inayotolewa mzumbe ni mara 3 kwa ubora kuliko ile ya udsm.

e)Engineering courses
Engineering courses especially mechanical engineering inayotolewa D.I.T inamuandaa mwanafunzi kivitendo zaidi kuliko ya udsm inayomuandaa kinadharia

f)education
Kozi za education zinazotolewa udom ni bora zaidi kuliko za udsm
Ila ukiwa limbukeni huwezi kutambua hili.

g)Agricultural courses
Kozi za kilimo zinazotolewa Sua ni mara tano kwa ubora kuliko za hapo udsm
Kwanza ni rahisi hata field zake kuliko zinazotolewa hapo udsm


Madogo acheni wenge hiyo udsm ni chuo cha kawaida sana ila kinabebwa na viongozi tu.
Vp mkuu ushapata mwanafunz wa kukubeba[emoji23]
 
Jamaa unahasira kali kwa kukosa kusoma UD!!! Tatizo nini kwani? Hiyo ARDHI unayoisema ilikuwa sehemu ya UD. Kwa kukusaidia tu kozi karibu nyingi content yake ni ileile tu na waalimu wengi ndio hao hao tu wanafundisha vyuo vingine part time. Na wanafunzi wa UD ndio wanaenda kuwa waalimu vyuo vingine baadae vivyo hivyo wanafunzi wa hivyo vyuo vingine huenda kufundisha UD kozi hizo hizo. Ubora upo kichwani kwa mwanafunzi na usimamizi wa viwango wa chuo husika.
 
Hicho chuo cha kawaida sana .

Halafu si kila kozi inayotolewa hapo ni bora kuliko vyuo vingine.

Kuna baadhi ya kozi zinazotolewa hapo zinatolewa chini ya kiwango kulinganisha na vyuo vingine

Mfano

a)MD.
Huwezi kufananisha MD inayotolewa Muhas au Cuhas au KCMC na hiyo Ud.

Lakini utakuta lijitu limbukeni kisa lipo udsm basi linajiona linajuwaaaa kumbe mavi matupu.

b)Architecture

Huwezi kumfananisha architect aliye graduate ardhi na aliye graduate udsm

Huyu wa ardhi anavitu vingi sana unique amemuacha mbali sana huyo wa udsm

Anajua kuchora kuanzia kwa mikono mpaka kwa PC

Humdanganyi chochote kuhusu mambo ya archcard na autocard sijui GIS na takataka nyingine zote.


c)Building Economy /quantity survey

QS wa udsm kamwe hamfikii hata kidogo QS wa Aru

Hata course anazosoma Qs wa aru Qs wa ud hajawahi kuzisoma hata mara moja.

d)Law.
Law inayotolewa mzumbe ni mara 3 kwa ubora kuliko ile ya udsm.

e)Engineering courses
Engineering courses especially mechanical engineering inayotolewa D.I.T inamuandaa mwanafunzi kivitendo zaidi kuliko ya udsm inayomuandaa kinadharia

f)education
Kozi za education zinazotolewa udom ni bora zaidi kuliko za udsm
Ila ukiwa limbukeni huwezi kutambua hili.

g)Agricultural courses
Kozi za kilimo zinazotolewa Sua ni mara tano kwa ubora kuliko za hapo udsm
Kwanza ni rahisi hata field zake kuliko zinazotolewa hapo udsm


Madogo acheni wenge hiyo udsm ni chuo cha kawaida sana ila kinabebwa na viongozi tu.
Kumbe wewe wa Ardhi. Ardhi ulisoma koz gan
 
Hicho chuo cha kawaida sana .

Halafu si kila kozi inayotolewa hapo ni bora kuliko vyuo vingine.

Kuna baadhi ya kozi zinazotolewa hapo zinatolewa chini ya kiwango kulinganisha na vyuo vingine

Mfano

a)MD.
Huwezi kufananisha MD inayotolewa Muhas au Cuhas au KCMC na hiyo Ud.

Lakini utakuta lijitu limbukeni kisa lipo udsm basi linajiona linajuwaaaa kumbe mavi matupu.

b)Architecture

Huwezi kumfananisha architect aliye graduate ardhi na aliye graduate udsm

Huyu wa ardhi anavitu vingi sana unique amemuacha mbali sana huyo wa udsm

Anajua kuchora kuanzia kwa mikono mpaka kwa PC

Humdanganyi chochote kuhusu mambo ya archcard na autocard sijui GIS na takataka nyingine zote.


c)Building Economy /quantity survey

QS wa udsm kamwe hamfikii hata kidogo QS wa Aru

Hata course anazosoma Qs wa aru Qs wa ud hajawahi kuzisoma hata mara moja.

d)Law.
Law inayotolewa mzumbe ni mara 3 kwa ubora kuliko ile ya udsm.

e)Engineering courses
Engineering courses especially mechanical engineering inayotolewa D.I.T inamuandaa mwanafunzi kivitendo zaidi kuliko ya udsm inayomuandaa kinadharia

f)education
Kozi za education zinazotolewa udom ni bora zaidi kuliko za udsm
Ila ukiwa limbukeni huwezi kutambua hili.

g)Agricultural courses
Kozi za kilimo zinazotolewa Sua ni mara tano kwa ubora kuliko za hapo udsm
Kwanza ni rahisi hata field zake kuliko zinazotolewa hapo udsm


Madogo acheni wenge hiyo udsm ni chuo cha kawaida sana ila kinabebwa na viongozi tu.
mzee mpaka mishipa ya shingo imekusimama bila shaka ulitemwa na ud.
 
Kwa kukusaidia

Ma lecturer wengi wanafanya part time kweny hivyo vyuo vngne. .mfano Ardhi

Sasa hapo shda ni wanafunzi au kitu gan?

Na kuhusu MD sasa hv haipo na iliwekwa Mara moja na ukitaka kuamin kuwa ni best wanafunzi wale wanahamishiwa Muhimbili
Dunia nzima vyuo vizuri vya udaktari wa tiba viko attached na hospitali. Kwa sababu udaktari wa tiba ni fani unayosoma nadharia, halafu unaenda kuangalia na kufanya vitu practical. Utasoma kuhusu miili ya watu halafu utatakiwa kuiangalia. Utasoma kuhusu wagonjwa wa magonjwa fulani halafu utatakiwa kuwaangalia.

Sasa UDSM kuna hospitali gani pale?

Labda nimeondoka Tanzania siku nyingi, siku hizi wamejenga hospitali ya viwango vya kufundishia udaktari pale?

Mtu anayeelewa udaktari atajua kwamba, ceteris paribus, Muhimbili au hata Bugando patafundisha udaktari vizuri zaidi ya UDSM. For the simple reason that UDSM doesn't have a hospital, to my knowledge.

Hakuna chuo bora. Kuna chuo bora kwa kitu fulani.

Kuna watu wa technology wanapata nafasi kwenda Harvard wanakataa. Kwa sababu katika technology Harvard si chuo mahiri. Katika technology unaongea MIT, Stanford na vyuo kama hivyo ambavyo havipo hata kwenye Ivy League.

Harvard kiko stronger kwenye business, governance na law.

Sasa kama Harvard kinaonekana kwenye mambo mengine kimepwaya, kuna vyuo havina status ya Ivy League vinakishinda, utasemaje UDSM ni chuo bora zaidi bila hata kuangalia bira katika nyanya gani na kwa nini?

Mimi kama naajiri MD, graduate wa Muhimbili ana advantage over wa UDSM right out the gate.
 
Hicho chuo cha kawaida sana .

Halafu si kila kozi inayotolewa hapo ni bora kuliko vyuo vingine.

Kuna baadhi ya kozi zinazotolewa hapo zinatolewa chini ya kiwango kulinganisha na vyuo vingine

Mfano

a)MD.
Huwezi kufananisha MD inayotolewa Muhas au Cuhas au KCMC na hiyo Ud.

Lakini utakuta lijitu limbukeni kisa lipo udsm basi linajiona linajuwaaaa kumbe mavi matupu.

b)Architecture

Huwezi kumfananisha architect aliye graduate ardhi na aliye graduate udsm

Huyu wa ardhi anavitu vingi sana unique amemuacha mbali sana huyo wa udsm

Anajua kuchora kuanzia kwa mikono mpaka kwa PC

Humdanganyi chochote kuhusu mambo ya archcard na autocard sijui GIS na takataka nyingine zote.


c)Building Economy /quantity survey

QS wa udsm kamwe hamfikii hata kidogo QS wa Aru

Hata course anazosoma Qs wa aru Qs wa ud hajawahi kuzisoma hata mara moja.

d)Law.
Law inayotolewa mzumbe ni mara 3 kwa ubora kuliko ile ya udsm.

e)Engineering courses
Engineering courses especially mechanical engineering inayotolewa D.I.T inamuandaa mwanafunzi kivitendo zaidi kuliko ya udsm inayomuandaa kinadharia

f)education
Kozi za education zinazotolewa udom ni bora zaidi kuliko za udsm
Ila ukiwa limbukeni huwezi kutambua hili.

g)Agricultural courses
Kozi za kilimo zinazotolewa Sua ni mara tano kwa ubora kuliko za hapo udsm
Kwanza ni rahisi hata field zake kuliko zinazotolewa hapo udsm


Madogo acheni wenge hiyo udsm ni chuo cha kawaida sana ila kinabebwa na viongozi tu.
Tuliza Mshono Wewe.
Law Ya Mzumbe Ni Mara 3
Ya Udsm?
Bora Nisikutusi Ila Una Schizophrenia Wewe.
Pole Kwa Kukosa State University. [emoji28]
 
Kwa kukusaidia

Ma lecturer wengi wanafanya part time kweny hivyo vyuo vngne. .mfano Ardhi

Sasa hapo shda ni wanafunzi au kitu gan?

Na kuhusu MD sasa hv haipo na iliwekwa Mara moja na ukitaka kuamin kuwa ni best wanafunzi wale wanahamishiwa Muhimbili
Mtiga anafundisha Physics Loyola pia anafundisha physics part time feza boys je Loyola ni bora kuliko feza?
 
Tuliza Mshono Wewe.
Law Ya Mzumbe Ni Mara 3
Ya Udsm?
Bora Nisikutusi Ila Una Schizophrenia Wewe.
Pole Kwa Kukosa State University. [emoji28]
tatizo lako ni utoto na ulimbukeni
Ngoja ukifika chuo utaelewa nazungumzia nini maana hapo ulipo u form six bado hujakutoka.
 
tatizo lako ni utoto na ulimbukeni
Ngoja ukifika chuo utaelewa nazungumzia nini maana hapo ulipo u form six bado hujakutoka.
Ha ha ha ha!
Nirudi Chuo Tena?
Labda Kuchukua Masters.
Ivi Utafiti Wako Uliufanyia
Sayari Ipi?
Kama Jupiter Poa.
 
Enyi wahitimu wa form 6 mnaobishana kwny uzi huu tambueni hakuna chuo bora ila kuna mwanafunzi bora, nakubaliana kuna chuo kinakua na mazingira mazur na facilities kwa ajil ya course flan lakin sio guarantee kutoa wahitim wazur, nawatakia masomo mema ila nawakumbusha mtaan kuna folen ya ajira kama ya miaka mitano hivi, someni mpate elimu msiwaze ajira sana. Ushaur wangu kazaneni kubeti na kucheza biko mtaani kugum
 
Wadau msaada kidogo hapa, nimechaguliwa udsm na udom,udsm kwenye profile yangu walinipongeza na wakatoa remarks kuwa ,pending TCU approval, nikatulia,udom wakatoa majina nikawemo pia,usiku wa Jana wakanitumia SMS ya hongera na kunitaka nithibitishe kama Nita enda udom,nikathibitisha,kwa maana niende udom, sasa narudi kwa file la udsm nakuta ile remarks haipo ,sasa maana yake ni nin?,
Nakusihi kuwa makini, ukiconfirm universities zaidi ya 1, inakula kwako!
 
mtoa maada inaonesha alipenda xna asome UDSM. bt system il mtengaa. uwez ukakosoa kila course itolewayo. UDSM sawa utofaut upo ktk kada ztolewazo bt not all mtoa mada pls make appraisal upya xo kushabkiaa too kma xo msomi vile
 
Dunia nzima vyuo vizuri vya udaktari wa tiba viko attached na hospitali. Kwa sababu udaktari ea tiba ni fani unayosoma nadharia, halafu unaenda kuangalia na kufanya vitu practical. Utasoma kuhusu miili ya watu halafu utatakiwa kuiangalia. Utasoma kuhusu wagonjwa wa magonjwa fulani halafu utatakiwa kuwaangalia.

Sasa UDSM kuna hospitali gani pale?

Labda nimeondoka Tanzania siku nyingi, siku hizi wamejenga hospitali ya viwango vya kufundishia udaktari pale?

Mtu anayeelewa udaktari atajua kwamba, ceteris paribus, Muhimbili au hata Bugando patafundisha udaktari vizuri zaidi ya UDSM. For the simple reason that UDSM doesn't have a hospital, to my knowledge.

Hakuna chuo bora. Kuna chuo bora kwa kitu fulani.

Kuna watu wa technology wanapata nafasi kwenda Harvard wanakataa. Kwa sababu katika technology Harvard si chuo mahiri. Katika technology unaongea MIT, Stanford na vyuo kama hivyo ambavyo havipo hata kwenye Ivy League.

Harvard kiko stronger kwenye business, governanve na law.

Sasa kama Harvard kinaonekana kwenye mambo mengine kimepwaya, kuna vyuo havina status ya Ivy League vinakishinda, utasemaje UDSM ni chuo bora zaidi bila hata kuangalia bira katika nyanya gani na kwa nini?

Mimi kama naajiri MD, graduate wa Muhimbili ana advantage over wa UDSM right out the gate.
Hii ilitokana na over ambitious ya VC anataka kukipaisha chuo ktk kipindi kifupi cha umaliziaji wake u VC hapo UDSM . lakini hakukuwa na haja ya kuazisha program za utabibu mapema namna hii. Hospital ya Chuo haiwezi kukidhi mahitaji ya hizo kozi. Labda alitegemea kuna hospital kubwa inajengwa pale mbele ya hostel za maguful kuwa ingetumika lakini pia huwezi kujiaminisha kwa vitu ambavyo ni uncertain.
 
Hii ilitokana na over ambitious ya VC anataka kukipaisha chuo ktk kipindi kifupi cha umaliziaji wake u VC hapo UDSM . lakini hakukuwa na haja ya kuazisha program za utabibu mapema namna hii. Hospital ya Chuo haiwezi kukidhi mahitaji ya hizo kozi. Labda alitegemea kuna hospital kubwa inajengwa pale mbele ya hostel za maguful kuwa ingetumika lakini pia huwezi kujiaminisha kwa vitu ambavyo ni uncertain.
VC kama huyo kupitisha jambo kama hilo ana reflect chuo kisivyo na review process na due diligence checks.

Na hili linaonyesha ni kwa nini wengine tunaojali excellence tunasema UDSM katika standards za vyuo vya dunia ni chuo kisicho na standards.
 
Back
Top Bottom