ashy da don
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 615
- 671
Mpaka mm namaliza CoET mwaka juzi bado wanafunzi wa ardhi walikua wanakuja kufanya workshop. Alafu huyu pimbi anakuja huku kumwaga povuVijana wa siku hizi bana mna taabu kweli. Ebu nendeni mkasome mahali mlipochaguliwa, tena mpambane kweli kweli.
Sasa hili povu lote la nn?
Nakumbuka kipindi tunasoma sisi Ardhi, Muhimbili vyote vilikuwa part ya UDSM. Watu wa Ardhi walikuja Coet kusoma baadhi ya kozi na kuchagia vifaa pia. Bachi ya kwanza kutoka Ardhi waliwahi kugomea vyeti vyao kuandikwa Ardhi University, Walitaka viwe na nembo ya UDSM.Sikumbuki sakata hilo liliishaje kipindi hicho. Waalimu wengi wa vyuo hivyo wanaofundisha wenye PHD au ma Prof wengi wametoka UDSM. Nina jamaa zangu wa Mining na Geology wanaofundisha UDOM 80% wote ni product za UDSM.
Haya upande wa Law school/School of Law wanaofundisha hapo unajua wametoka wapi?
Ubora wa chuo unaanza na wewe. Ukibweteka na jina la chuo itakula kwako.
Maandazi wewe.