Fikra kuhusu watu wakimya

Fikra kuhusu watu wakimya

wakati mwingine unyonge huletwa na harufu ya mdomo na hivyo mtu kutojiamini na kuwa mkimya kwa kuogopa aibu na sio kwamba ana dharau au wanajamvi mnalionaje hili
 
wakati mwingine unyonge huletwa na harufu ya mdomo na hivyo mtu kutojiamini na kuwa mkimya kwa kuogopa aibu na sio kwamba ana dharau au wanajamvi mnalionaje hili

hadi mtu jamii kumchukulia kwamba ni mkimya ni suala la muda mrefu baada ya mhusika kuonekana yuko hivyo,kama ndivyo basi mtu huyo atakuwa anatatizo la kunuka mdomo miaka yote!!!
 
Hizi ndio sifa za watu wakimya:
1. Sio wacheshi
2. Wana kiburi
3. Sio rahisi kukubali kosa alilo fanya
4. Ni watu waku jitenga
5. Hawapendi uguse vitu vyao
6. Ni wazuri kwa u spy / upepelezi
7. Ni watu waku jiweka local sana hata kama fedha ipo
8. Hawana muda sana wanawake.
9.

12. Sio wagomvi
13. Nguvu nyingi wanaweka kwenye utendaji
14. Huwa hawakurupuki katika maamuzi
15. Hawapendelei sehemu za starehe na sehemu za mikusanyiko.
16. Hawapendi kubugudhi watu, hata kama ana shida anaweza akateseka nayo akihisi kuomba msaada ni kuwasumbua wengine.
17. ........nitaongeza nyingine.....................
 
12. Sio wagomvi
13. Nguvu nyingi wanaweka kwenye utendaji
14. Huwa hawakurupuki katika maamuzi
15. Hawapendelei sehemu za starehe na sehemu za mikusanyiko.
16. Hawapendi kubugudhi watu, hata kama ana shida anaweza akateseka nayo akihisi kuomba msaada ni kuwasumbua wengine.
17. ........nitaongeza nyingine.....................

Umegusa penyewe.
 
Hahahaha hii thread inanichekesha yani kila mtu anajifanya ni mkimya lakini ukifatilia comments zao utashangaa mwenyewe.Msemaji mwenzangu mwekundu hebu njoo huku tuzungumze.....😀
 
Last edited by a moderator:
Kkt wote waliochangia hakuna mkimya wote waongeaji, ila tabia moja ya kuwa mkimya unakuwa mtendaji mzr, nliwahi kuwa na mbinti mkimya asee nlipata taabu kweli ktk kuwa nae ckumbuki kama kuna siku aliwahi kuzungumza sentesi hamsini kwa wakati mmoja.

Ck 1nkamuuliza unadhani upo sawa akaniambia kwa sentes moja tu kuwa yupo sawa, nlipoonza cwezi nikamwambia tusitishe hajajib mpaka kesho.. japo tunasalimiana kwa kukutana..
 
Niliwahi kufanya kazi sehemu na jamaa mmoja mkimya, yan per day nilikuwa naweza kuhesabu maneno aliyoongea.
Na kuna wakati tulisafiri naye safari ya kikazi kwa gari la ofisi, we were 4, hakuongea neno lolote mwanzo mwisho. Na kurudi ivo ivo.
Ila ukimuuliza kitu anakujibu tu vizuri but very serious.
Anacheka kwa nadra sana, yan jambo linaweza likawa kimewachekesha wote, yeye wala!
 
Yaani
Siwezagi kumzoea mtu ambae sijawahi kumuona kabla tofauti ya salam tu.

Watu ambao nimewazoea tukitofautiana inaweza kuchukua miongo kadhaa kurudi normal.

Kumsemesha mtu kila saa naona namsumbua.

Kwa ujumla sipendi kuwa Kero kwa watu wengine.

Kuna wajamaa wa toyo wanaweza kunipa lifti lakini nikawaambia kuwa siendi mbali, sio kweli kuwa siendi mbali bali sipendi kumkwaza mtu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom