Fikra kuhusu watu wakimya

Fikra kuhusu watu wakimya

Asilimia kubwa ya wanopenda kuandika ni wakimya..... goes without saying wengi JF ni aina gani.....

Wewe ndio umenena.. J F ndio kimbilio la wakimya huko instagram,fb, street kuna watu sio waongeaji ila mkute umu.
 
Ni waoga wa challenge au hawajui kitu au hawajiamini
you are wrong,wakimya wengi si waogaa kama unavyosema.kuna wengine ni mazingira tu.na wanabadirika kutokana na mazingira.so naona tusigeneraalize.pia sometimes wakimya ni kwa sababu unachokionga au taaka kuongea hana interest nacho.lakini ukiingia kwenye anga zake utashangaa.
 
Mimi ni mkimya ila ukimya unaishia pale nikikuzoea na kukuamini ila kama hatujuani utanishangaa .
 
12. Sio wagomvi
13. Nguvu nyingi wanaweka kwenye utendaji
14. Huwa hawakurupuki katika maamuzi
15. Hawapendelei sehemu za starehe na sehemu za mikusanyiko.
16. Hawapendi kubugudhi watu, hata kama ana shida anaweza akateseka nayo akihisi kuomba msaada ni kuwasumbua wengine.
17. ........nitaongeza nyingine.....................

duh kama umegusa
 
Wana JF hivi ni kwanini watu wakimya (wasio waongeaji kitabia) jamii huwachukulia kama wanadharau....

hili swala nime kutana nalo mara nyingi sna na kuna mtu alishaga wahi kunitukana akijua namdharau,kumbe maskini mi ndivyo nilivyo sio muongeaji sna na kama hatuja zoean ndio kabisa naweza nisitoe hata neno,watu wengine wanachukulia for advantage ukimya wangu wanajua mi ni lo.fa but mwisho wa siku wana ambulia aibu!
 
namba 4 na 6 ili nifanya nipate tabu sna kwa mkuu wangu wa kazi mwaka amabao ndio nime ajiriwa daah alijua mimi ni spy alikua hanipendi mpaka nikawa najiskia vibaya!
 
hili swala nime kutana nalo mara nyingi sna na kuna mtu alishaga wahi kunitukana akijua namdharau,kumbe maskini mi ndivyo nilivyo sio muongeaji sna na kama hatuja zoean ndio kabisa naweza nisitoe hata neno,watu wengine wanachukulia for advantage ukimya wangu wanajua mi ni lo.fa but mwisho wa siku wana ambulia aibu!

Pole sana mkuu,lakini unaonaje ukimya ni bora kuliko kuwa.......?
 
Pole sana mkuu,lakini unaonaje ukimya ni bora kuliko kuwa.......?

ukimya una faida kama kupata nafasi ya kutafakari mambo yako bila bughuza,kuepuka kugombana na watu,lakin pia inaepusha watu kukujua undani wako so hauwapi nafasi ya kuku jua but hasara kubwa ni pamoja na kukosa marafiki kwa wakati,watu kukuona lof.a,watu kukuona ant-social,kuna hatari ya kufanya maamuz magumu na ya kutisha ambayo yanweza kukuletea shida maishani.

kusema kipi bora ni ngumu sana kutokana na kua upole au uchakaramu ni karama toka kwa mungu huwezi kuibadilisha.
 
Honestly mimi ni mkimya sana ...nimezaliwa hivyo na nimekua hivyo....problem inakuja pale ninapopata mvinyo ukanikolea naongea zaidi ya msemaji mkuu wa Yanga......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom