Fikra kuhusu watu wakimya

Fikra kuhusu watu wakimya

Wana JF hivi ni kwanini watu wakimya (wasio waongeaji kitabia) jamii huwachukulia kama wanadharau....
Mtu kuwa mkimya, kunasababishwa na mambo mengi sana. Wengi wao familia walizokulia ndizo zimewasababishia. Pia hawakulelewa kwenye mazingira ya kujichanganya na kuongea na watu wengi.

Unaweza ukadhani kwamba wana dharau lakini "hapana". Hawezi tu kujibizana na wewe. Wengi wao pia wametawaliwa na hali ya kujikataa(inferiority complex) na kutojiamini, so wanaona hata wakisema kitu maybe watachekwa au kudharaulika. Ni tabia tu waliyojengewa na mazingira waliyokulia.

Wengine pia hawana ufaham wa kutosha wa namna ya kuishi na watu tofaut tofaut. Kwa hiyo usiwanyanyapae mkuu!
 
sababu za kutowapenda ni zipi?

Shem kwanini hutupendi??

Hata mimi.?

kwa sababu hujatulia

Si lazima wewe uwapende... Watapendwa na wengine

Kama Mimi mmoja WaPo hunipendi...???

mmmh kwanini bana

Nipende kama nilivyo....Mimi ni muongeaji mbebez

Kwa nini mkuu.?!

Sababu ya msingi ni kuwa mie ni muongeaji so lazima niwapende waongeaji wenzangu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom