Fikra kuhusu watu wakimya

Fikra kuhusu watu wakimya

Umuhirindahu

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2014
Posts
349
Reaction score
170
Wana JF hivi ni kwanini watu wakimya (wasio waongeaji kitabia) jamii huwachukulia kama wanadharau....

Mtu mkimya wakati wewe unaongea kwa mdomo yeye anaongea kwa ubongo.

Ndio maana ukiona unaongea na mtu lakini yeye amekaa kimya achana nae.

Wakati wewe unaongea moja mdomoni yeye anawaza na kujibu mara nyingi zaidi kimoyo moyo.

Hivyo usishangea unavyoongea nae ukajua anakusikiliza kumbe yeye anatafuta namana ya kukujibu iwe kwa maneno au vitendo.

Na mbaya zaidi kila unachokiongea hasahau.!
 
Wana JF hivi ni kwanini watu wakimya (wasio waongeaji kitabia) jamii huwachukulia kama wanadharau....

Mifano kidogo ili tukupate vizuri ambao bado hatujakuelewa! Je, una maanisha introvert na extrovert?

[video=youtube_share;c0KYU2j0TM4]http://youtu.be/c0KYU2j0TM4[/video]
 
Mm ni mkimya hasa kwa watu wagen kwangu ila mkimya kias kidogo nyumbani. Ila megundua ukimya umenifanya baadhi ya watu siwez kuongea nao kabisa wala kuwa nao karibu. Sifa mojawapo ya watu wakimya hupenda kusikiliza kwa makin na kuzisoma tabia na hisia za wengine hivyo hujikuta wale ambao umewaona huendan nao ni vigumu sana kuwa nao karibu na huwa wakimya wengi wanajua mengi juu ya mawazo ya wengine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom