Fikra kuhusu watu wakimya

Fikra kuhusu watu wakimya

Huwa mimi wakati mwingine naulizaga kwa ndugu wa karibu, hivi mimi wananichuliaje? Mkimya au mpole? Au nipo seriasi sana? Manake kazini mimi ni mkali sana lakini pia nina huruma sana. Napendaga sana kuwapa ushauri wenye matatizo. Ila mwisho wa siku nashindwa kujielewa why naogopwa na watu wazima,watoto na vijana wenzangu? I don't understand!

Mkuu wewe si mpole. Ila ukimya ndiyo humfanya mtu aogopwe na wengi wenye kuogopa ni wanawake. Kwahiyo yawezekana ukawa ni mkimya, tena kama ulivyosema na ukali pia unao basi hiyo ndiyo uchangia kufanya uogopwe na aina tofauti za watu.

Ila kwa uzoefu wangu ukimya huwezafanya kuogopwa hata na wamama au wadada wakubwa.
 
Hapo umenena mm niko hivyo nawatu wananiogopa sana hasa watoto wa kike wanasema nadharau harafu nalinga kwaufupi ctaki matani ya kipuuzi

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

We ni mkimya mkuu ila si mpole.
 
Hizi ndio sifa za watu wakimya:
1. Sio wacheshi
2. Wana kiburi
3. Sio rahisi kukubali kosa alilo fanya
4. Ni watu waku jitenga
5. Hawapendi uguse vitu vyao
6. Ni wazuri kwa u spy / upepelezi
7. Ni watu waku jiweka local sana hata kama fedha ipo
8. Hawana muda sana wanawake.
9.
9. Akimzoea mtu huwa utani ni mwingi mpaka wengine wanajiuliza huyo amemzoeaje
 
Mkuu wewe si mpole. Ila ukimya ndiyo humfanya mtu aogopwe na wengi wenye kuogopa ni wanawake. Kwahiyo yawezekana ukawa ni mkimya, tena kama ulivyosema na ukali pia unao basi hiyo ndiyo uchangia kufanya uogopwe na aina tofauti za watu.

Ila kwa uzoefu wangu ukimya huwezafanya kuogopwa hata na wamama au wadada wakubwa.

Si hao tu, hata na wazee wenye mvi zao.
 
Hizi ndio sifa za watu wakimya:
1. Sio wacheshi
2. Wana kiburi
3. Sio rahisi kukubali kosa alilo fanya
4. Ni watu waku jitenga
5. Hawapendi uguse vitu vyao
6. Ni wazuri kwa u spy / upepelezi
7. Ni watu waku jiweka local sana hata kama fedha ipo
8. Hawana muda sana wanawake.
9.
Hahahaaa no comment...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom