stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 17,746
- 27,214
Hapo umenena mkuu.Hii ndio point ya kufungia thread.
Mkuu una source labda ya ulichokiorodhesha hapo juu? Mimi pia niligundua tabia hizo mapema sana. Halafu watu wa aina hiyo ukiona anaongea sana ujue kuna kitu anatafuta.