MatikaC
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 1,190
- 479
Siwapendi watu wakimya kabisaa
hata mimi siwa-mind
Siwapendi watu wakimya kabisaa
Nenda Hospital mkuu kumbe una allergy duuh:what::what::what:Mimi nina aleji nao kabisa!
Asante nami ni mkimya na haujakoseaWana JF hivi ni kwanini watu wakimya (wasio waongeaji kitabia) jamii huwachukulia kama wanadharau....
Mimi mkimya Sana na sipendi mambo ya kipambuvu! nawaheshimu Sana watu wanao jiheshimu!
Kwe kwe kweMimi ni mkimya na huwa nina aibu sana. Muda mwingine huwa nawaonea aibu hata watangazaji wa kike kwenye TV
Haaa!Mi ni mkimya ila ukinizingua lazima nikupige ngumi na usipoanguka au kuzimia basi ujue we kweli mwanamke.
mi sionagi cha kuzungumza na watudah! Sijui hata inakuaje lakin utakuta kuna mtu hajanikosea wala sijamkosea lakin siwezi kukaa kupiga nae story wala kuongozana nae
hahahaaaaaaaaaaaMm nimepata majaribu sana ktk maisha yangu kwa tabia yangu ya ukimya, unaishi na watu kila m1 anakunyooshea kidole kuwa una dharau, kumbe hata kidogo???
Ilifikia hatua nikajifunza kunywa pombe nilewe ili walau nipate maneno ya kuropoka niwafurahishe walio karibu yangu!
Sio kila mtu mkimya anakuwa na dharau, big #NOO !
hiyo ni kweliyou are wrong,wakimya wengi si waogaa kama unavyosema.kuna wengine ni mazingira tu.na wanabadirika kutokana na mazingira.so naona tusigeneraalize.pia sometimes wakimya ni kwa sababu unachokionga au taaka kuongea hana interest nacho.lakini ukiingia kwenye anga zake utashangaa.